Anhaa ilete basi hata inbox hiyo mwanangu , ili jumamosi tukutane maeneo kufurahia matunda mzee .
Hapo Tunduma ukiwa na akili nyingi na ukayaweka mambo ya kimungu pembeni habari za Mungu hapendi aisee unatoboa .
Mzee kipodozi kina soko mikoa kumi na nne mpaka sasa kwa nilipofuatilia ila shida ni kuwa mbinu wamwela wanazidaka na wakizidaka basi wanapukutisha mpaka mtaji .
Hapo Vywawa nahisi watu wa Teeth wamejazana hapo kuwakamata wanaotoka boda , mwanangu alidakwa na mzigo wa milioni ishirini usiku wa manane mpaka navyoongea hapa , sisi wana ndiyo tunamfanya aishi maana hana senti wala makazi .
Oya magendo ni pesa ila sio kwa vichwa panzi ukiwa kichwa panzi njoo tuendelee na ajira za mama Samia hayo waachie watoto wa mtaa walio tayari kuutafuta utajiri kwa hali na mali.
Sent from my SM-J410F using
JamiiForums mobile app