Tunduma ni mji wa kipekee. Mapigo yake ni kama Kariakoo

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwani nimezingua mkuu?
 
Aliyemtafutia wrnyeji no mimi
 
Mkuu tunasibiri Report ya Chunya , yule Dada wa kuuza pochi mlifika nae Salama kwenye Biashara?
Kwanza samahani mkuu naona ulinitxt pm lakini pm yangu haifunguki mda sasa, kuhusu yule dada niliuza nae vipochi one week tulikua tunachukulia soko la mwanjelwa kwenye duka la jamaa mmoja anaitwa shafii then tunaenda kuuzia makongorosi aisee ule mziki sio poa vumbi la makongolosi plus jua ni hatari, inafika jioni umeuza vipochi viwili nikaona sio nikakimbiaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkuu hujanipa feedback , Mimi Jamaa yake Solo , aliyekytafutia lodge pale African?
Mkuu solo alinipa ushirikiano lakini sio kivile kwasababu hakukumbuka nilivyomuelezea kuhusu wewe jina lako hakulijua ila nilivyomuambia shabiki wa arsenal at least ikasaidia, alinipa ushirikiano wa kawaida wa kunipeleka lodge na kunionesha sehemu ya kula ila nilivyoanza kumdadisi issue za biashara pale tunduma kama alikua mzito hivi ndio maana nikaamua kuondoka kwenda chunya.
 
Chai
 
Yaani ule mji ni umechangamka kwelikweli.... Watu wanapiga biashara kwelikweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…