Ni jambo jema
Joe mimi nawafuatilia kwa karibu niko hapa NFS , lakini leo machadema yamepata watu wengi, kuna vibibi havina meno eti navyo vinasema mabadiliko lazima sijui vinyakyusa hivi vibibi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni jambo jema
HakikaJoe mimi nawafuatilia kwa karibu niko hapa NFS , lakini leo machadema yamepata watu wengi, kuna vibibi havina meno eti navyo vinasema mabadiliko lazima sijui vinyakyusa hivi vibibi
ondoa shakaKumedoda nini mbona hujaweka picha mpaka sasa
🤣Yote kwa pamoja.View attachment 2528547
Tunduma na Sumbawanga wanajitambua sio kama mikoa mingineKwa Mujibu wa Ratiba ya Mikutano ya hadhara iliyotangazwa na Chadema kanda ya Nyasa , Leo ni zamu ya Tunduma.
Labda kwa wageni na wenyeji wasahaulifu ni kwamba , Jimbo la Tunduma ni miongoni mwa majimbo machache yaliyokombolewa muda mrefu kutoka kwenye makucha ya utumwa wa ccm , huku halmashauri iliongozwa na chadema kwa karibu 100% , jambo hili liliwakasirisha watawala waoga wasio na hoja.
Taarifa za kidunia zinadokeza kwamba Tunduma ndio Jimbo la Tanzania lililoteswa kuliko yote na uongozi wa kidikteta wa awamu ya 5 , likifuatiwa na Jimbo la Hai , Hakuna kiongozi wa Chadema Tunduma ambaye hakuwahi kukamatwa na Polisi , mamia ya viongozi wa Chadema wametekwa, wameteswa , wamesweka rumande , wamefungwa kwa kesi za uongo za kubambikwa na wengine wameuawa.
Taarifa zingine zinadai kwamba kulitengwa bajeti maalum kwa vyombo vya usalama kwa ajili ya kuishughulikia Chadema Tunduma , wanausalama walisombwa kutoka Dar na kwingineko ili kuishughulikia Chadema na wanachama wake ( vyombo vya habari vya Tanzania vilijua lakini viliufyata)
Mstahiki Meya Mwafongo na viongozi wengine zaidi ya 100 waliwekwa jela kwa miaka mingi kwa kesi za uongo kutokana na udikteta wa awamu ya 5.
Sasa hatimaye leo Chadema na Kamati kuu yake wameingia Tunduma kwa kishindo.
Nashauri kabla ya Mkutano kuanza kuwe na Ukimya wa Dk 5 za kuomboleza waliouawa , kuteswa na kufungwa kwa kusingiziwa.
Usiondoke JF kwa taarifa za Uhakika
==============
UPDATES :
Hatimaye Msafara wa Chadema waingia Tunduma , Mapokezi yake haelezeki wala hayaandikiki , Umati ni mkubwa mno !
Picha na video zake zitakujia hivi punde , kama wewe ni mwanaccm na labda una shinikizo la damu usiangalie uzi huu
Mkutano wa hovyo kabisa huo. Leo tena kalewa, najuta hata kwa nn nilienda..fuatilieni mkutano wa Tunduma LIVE hapa.
[emoji16][emoji1][emoji38]Mkutano wa hovyo kabisa huo. Leo tena kalewa, najuta hata kwa nn nilienda
Naipenda sana chadema[emoji108],Tusonge mbele vibara chawa wapowapo tu hawajitambui.[emoji16][emoji1][emoji38]
Asante sana wana Tunduma ngome Pendwa ya cdm kanda ya nyanda za juu kusini.Kwa Mujibu wa Ratiba ya Mikutano ya hadhara iliyotangazwa na Chadema kanda ya Nyasa , Leo ni zamu ya Tunduma.
Labda kwa wageni na wenyeji wasahaulifu ni kwamba , Jimbo la Tunduma ni miongoni mwa majimbo machache yaliyokombolewa muda mrefu kutoka kwenye makucha ya utumwa wa ccm , huku halmashauri iliongozwa na chadema kwa karibu 100% , jambo hili liliwakasirisha watawala waoga wasio na hoja.
Taarifa za kidunia zinadokeza kwamba Tunduma ndio Jimbo la Tanzania lililoteswa kuliko yote na uongozi wa kidikteta wa awamu ya 5 , likifuatiwa na Jimbo la Hai , Hakuna kiongozi wa Chadema Tunduma ambaye hakuwahi kukamatwa na Polisi , mamia ya viongozi wa Chadema wametekwa, wameteswa , wamesweka rumande , wamefungwa kwa kesi za uongo za kubambikwa na wengine wameuawa.
Taarifa zingine zinadai kwamba kulitengwa bajeti maalum kwa vyombo vya usalama kwa ajili ya kuishughulikia Chadema Tunduma , wanausalama walisombwa kutoka Dar na kwingineko ili kuishughulikia Chadema na wanachama wake ( vyombo vya habari vya Tanzania vilijua lakini viliufyata)
Mstahiki Meya Mwafongo na viongozi wengine zaidi ya 100 waliwekwa jela kwa miaka mingi kwa kesi za uongo kutokana na udikteta wa awamu ya 5.
Sasa hatimaye leo Chadema na Kamati kuu yake wameingia Tunduma kwa kishindo.
Nashauri kabla ya Mkutano kuanza kuwe na Ukimya wa Dk 5 za kuomboleza waliouawa , kuteswa na kufungwa kwa kusingiziwa.
Usiondoke JF kwa taarifa za Uhakika
==============
UPDATES :
Hatimaye Msafara wa Chadema waingia Tunduma , Mapokezi yake haelezeki wala hayaandikiki , Umati ni mkubwa mno !
Picha na video zake zitakujia hivi punde , kama wewe ni mwanaccm na labda una shinikizo la damu usiangalie uzi huu
Tafadhali usikaribishe sukuma gang kwenye chama cha waungwana.karibu sana
asante sana..fuatilieni mkutano wa Tunduma LIVE hapa.
Utasujudu hapo burigi hadi unamfuata babu yakoUzi umedoda watu wanchoka wallahi na wanamakerere wa UFIPA.
Mwambie huyo sukuma gang wahediAcha upumbavu, hakuna aliyekulazimisha kusoma mada hizi or to comments
Dogo ukitaka kupata kisukari , endelea kupambana na CHADEMAMkutano wa hovyo kabisa huo. Leo tena kalewa, najuta hata kwa nn nilienda
huyo dogo mjinga sana !Mwambie huyo sukuma gang wahedi
Akamuulize Jiwe leo yuko wapiDogo ukitaka kupata kisukari , endelea kupambana na CHADEMA