Tunduru: JWTZ wazima wizi na mauaji ya waendesha boda, amani yarejea

Tunduru: JWTZ wazima wizi na mauaji ya waendesha boda, amani yarejea

Wewe kenge ni mwizi wa bodaboda nini!?,umewahi kupoteza ndugu kutokana na vibaka,panya road, jambazi etc!???, Katika mapambano huwa inatumika silaha yoyote,kama polisi walishindwa kazi unataka jeshi liangalie tu?,nyie ndo huwa mnatetea wezi wanaouawa Kwa risasi eti ilitakiwa wapelekwe mahakamani, wakati mwingine bora kukaa kimya kuliko kuonyesha utaahira wako.

Haijalishi siyo kazi Jeshi, ni kazi ya Polisi, ukiona Jeshi labda useme Tanzania ni failed state, lkn kazi ya Jeshi siyo kukamata Wahalifu, Jeshi anakuwa trained kulinda mipaka ya nchi dhidi ya adui mgeni na siyo mwendesha bodaboda.

Hivyo usiweke emotions zako kwenye mambo ya msingi, ni scandal kubwa sana kwa Jeshi la nchi kujishughulisha na vibaka, hiyo ni failed state!
 
Kazi ya Jeshi wakati wa amani, ni kusaidia taasisi za kiraia, hapo labda ujambazi muhamidhie maeneo mengine.

Siyo kweli, Katiba za nchi zote Duniani zinakataza Jeshi kutumika dhidi ya raia wake wenyewe, kazi ya kudili na uhalifu ndani ya nchi ni ya Polisi na vyombo vingine vya Usalama kama Magereza, Mahakama n.k. lkn siyo Jeshi!
 
Jeshi ni mwiko kutumika dhidi ya raia, kazi ya Jeshi ni kulinda raia, Watanzania wajinga sana na low IQ.

Jeshi na wanajeshi wanakuwa trained kupigana vita dhidi ya adui slide nje ya mipaka ya nchi na siyo raia wake eti wanakwenda kupiga bodaboda halafu mnasifu kwani Tanzania ni failed state hadi Jeshi lilinde amani?

Low IQ!
we unasema kwa vile halijampata ndgu yako we vijana wanaokotwa mbavu tu Jeshi la polisi hakuna wanachofanya.
 
we unasema kwa vile halijampata ndgu yako we vijana wanaokotwa mbavu tu Jeshi la polisi hakuna wanachofanya.

Hiyo siyo ishu, hapa tunaongelea nchi labda nikuulize Wanajeshi wanawafanya nini hao bodaboda baada ya kuwakamata? Polisi inajulikana na wanajua cha kufanya na Muhalifu watamkamata na kumfungilia mashitaka na kufikishwa Mahakamani sasa Mwanajeshi atafanya nini na Muhalifu ?Atamfungulia mashitaka wapi ? Kwa sheria ipi ?
 
Haijalishi siyo kazi Jeshi, ni kazi ya Polisi, ukiona Jeshi labda useme Tanzania ni failed state, lkn kazi ya Jeshi siyo kukamata Wahalifu, Jeshi anakuwa trained kulinda mipaka ya nchi dhidi ya adui mgeni na siyo mwendesha bodaboda.

Hivyo usiweke emotions zako kwenye mambo ya msingi, ni scandal kubwa sana kwa Jeshi la nchi kujishughulisha na vibaka, hiyo ni failed state!
Bado hujajibu swali, umewahi kufiwa na mtoto,baba, mama,kaka,dada au ndugu yeyote wa karibu Kwa kuuawa na vibaka,panya road, jambazi etc!??, kama hujawahi basi kaa kimya, na nina uhakika hujawahi na nisikufiche hata kama hatufahamiani humu unaonekana wewe ni mmojawapo wa watanzania SELFISH sana. Kwasababu hayajakufika unakuja na hoja za kipumbavu hapa. Swala ni wanajeshi wamemaliza tatizo la majambazi wanaoua bodaboda, kama una akili timamu ungepongeza hilo kwanza, unaleta story zako eti jeshi halitakiwi na blabla kibao. Hivi una habari waliomaliza tatizo la Kibiti ni makomandoo wa kijeshi!??,., Mkuu narudia ni bora kukaa kimya kuliko kuleta ujuaji mwingi wa kipumbavu hapa.
 
Bado hujajibu swali, umewahi kufiwa na mtoto,baba, mama,kaka,dada au ndugu yeyote wa karibu Kwa kuuawa na vibaka,panya road, jambazi etc!??, kama hujawahi basi kaa kimya, na nina uhakika hujawahi na nisikufiche hata kama hatufahamiani humu unaonekana wewe ni mmojawapo wa watanzania SELFISH sana. Kwasababu hayajakufika unakuja na hoja za kipumbavu hapa. Swala ni wanajeshi wamemaliza tatizo la majambazi wanaoua bodaboda, kama una akili timamu ungepongeza hilo kwanza, unaleta story zako eti jeshi halitakiwi na blabla kibao. Hivi una habari waliomaliza tatizo la Kibiti ni makomandoo wa kijeshi!??,., Mkuu narudia ni bora kukaa kimya kuliko kuleta ujuaji mwingi wa kipumbavu hapa.

Siwezi kupongeza uvunjifu wa Sheria, isitoshe hao Wanajeshi wamefanya nini na hao unaowaita Wahalifu? Wanajeshi wametumia Sheria gani ya nchi kudili na hao unaowaita Wahalifu?
 
Siwezi kupongeza uvunjifu wa Sheria, isitoshe hao Wanajeshi wamefanya nini na hao unaowaita Wahalifu? Wanajeshi wametumia Sheria gani ya nchi ?
Narudia kwa mara ya mwisho wewe ni SELFISH sanaa. Ungekuwa umefiwa na mtoto au mzazi/kaka/dada Kwa kuuawa na hao vibaka ndo ungejua sheria ni u.senge mwingine. Na hapa upo unatetea huo huo u.senge. Muharifu akimuua mke wako au mwanao, akitokea mtu akampiga risasi hutajali ni nani, utampongeza tu. Na wala hutakumbuka hizo story zako za kipumbavu eti sheria. Swala ni kumaliza tatizo. Hushangai kwenye huu Uzi peke yako ndo umeleta habari za sheria?,au wewe unazijua sheria za nchi kuliko hata hao wanajeshi?,nimekuuliza una taarifa kama ishu ya Kibiti waliimaliza makomandoo wa kijeshi?, Kwa hiyo kwasababu Tanzania hakuna vita basi wanajeshi wakae tu wanasubiria vita hata wakiona tatizo waache tu?,unajiona mjanja ila kiuhalisia wewe ndo una Low IQ na very low thinking capacity. Ni bora ungekaa kimya tu kuliko kuliko kuleta ujuaji kwenye maswala yanayohusu uhai wa ndugu zetu.
 
Mleta mada una uhakika na hii story yako? Mbona hatujaisikia kwenye vyombo vya habari
 
Haijalishi siyo kazi Jeshi, ni kazi ya Polisi, ukiona Jeshi labda useme Tanzania ni failed state, lkn kazi ya Jeshi siyo kukamata Wahalifu, Jeshi anakuwa trained kulinda mipaka ya nchi dhidi ya adui mgeni na siyo mwendesha bodaboda.

Hivyo usiweke emotions zako kwenye mambo ya msingi, ni scandal kubwa sana kwa Jeshi la nchi kujishughulisha na vibaka, hiyo ni failed state!
We utakuwa kibaka pia
 
Mleta mada una uhakika na hii story yako? Mbona hatujaisikia kwenye vyombo vya habari
Huwezi kuisikia popote sababu walihusishwa wanajeshi kutatua tatizo lililokuwa limewashinda polisi. Polisi wangehusika kumaliza tatizo ungeona kwenye vyombo vya habari pamoja na video mitandaoni. Kesi kama hizi huwa zinapita kinyakimya. Kama una ndugu huko ndo atakuelezea hali ilikuwaje.
 
Haijalishi siyo kazi Jeshi, ni kazi ya Polisi, ukiona Jeshi labda useme Tanzania ni failed state, lkn kazi ya Jeshi siyo kukamata Wahalifu, Jeshi anakuwa trained kulinda mipaka ya nchi dhidi ya adui mgeni na siyo mwendesha bodaboda.

Hivyo usiweke emotions zako kwenye mambo ya msingi, ni scandal kubwa sana kwa Jeshi la nchi kujishughulisha na vibaka, hiyo ni failed state!

Wakati wa vita ya Tz vs Ug, jwtz, polisi,askari magereza na hadi migambo walienda vitani.

Wee jamaa kichwani umejaza mgandamizo wa hewa ya ushuzi
 
Jeshi ni mwiko kutumika dhidi ya raia, kazi ya Jeshi ni kulinda raia, Watanzania wajinga sana na low IQ.

Jeshi na wanajeshi wanakuwa trained kupigana vita dhidi ya adui slide nje ya mipaka ya nchi na siyo raia wake eti wanakwenda kupiga bodaboda halafu mnasifu kwani Tanzania ni failed state hadi Jeshi lilinde amani?

Low IQ!
Wew jamaa nimpumbavu Yani unaona kabsa vijana wanauawa halaf unasema Ni mwiko shit kabsa Kwani wezi Hao wanaruhusiwa WAP kuua bodaboda bila hatia yyte au Wew unafadhili ununuzi wa bobdaboda za wizi shenz kabsa...
 
Asante wanajeshi wetu shupavu na sio huko tu piteni nchi nzima, msiache jiwe lolote bila kupinduliwa walahi!
Mwenye Enzi Mungu awabariki sana!
 
Wew jamaa nimpumbavu Yani unaona kabsa vijana wanauawa halaf unasema Ni mwiko shit kabsa Kwani wezi Hao wanaruhusiwa WAP kuua bodaboda bila hatia yyte au Wew unafadhili ununuzi wa bobdaboda za wizi shenz kabsa...

Mpumbavu ni wewe unayeweka emotions zako mbele badala ya logic kama Mwanamke.
Kazi ya Jeshi siyo kudili na boda boda na uhalifu, hiyo ni kazi ya Polisi na vyombo vingine vya usalama wa raia, kuna tiss, kuna wakuu wa makosa ya jinahi wote hao wana hiyo kazi ya kulinda raia na mali zao lkn siyo Jeshi.

Labda kama Tanzania ni failed state na inaongozwa na martial law ambapo Military inachukuwa nchi baada ya Serikali kushindwa na mara nyingi huwa ni dharura tu na baadaye Uchaguzi hufanyika na utawala wa kiraia kurudishwa, vinginevyo Jeshi halihusiki na kudili na vibaka!
 
Jeshi ni mwiko kutumika dhidi ya raia, kazi ya Jeshi ni kulinda raia, Watanzania wajinga sana na low IQ.

Jeshi na wanajeshi wanakuwa trained kupigana vita dhidi ya adui slide nje ya mipaka ya nchi na siyo raia wake eti wanakwenda kupiga bodaboda halafu mnasifu kwani Tanzania ni failed state hadi Jeshi lilinde amani?

Low IQ!
We ndio umefeli, shenztype. Wananchi wanaibiwa na kuuawa bado unasema failed country, ulitakaje wewe? Au we ndio mwizi mwenyewe. Shame on you!!!
 
Mpumbavu ni wewe unayeweka emotions zako mbele badala ya logic kama Mwanamke.
Kazi ya Jeshi siyo kudili na boda boda na uhalifu, hiyo ni kazi ya Polisi na vyombo vingine vya usalama wa raia, kuna tiss, kuna wakuu wa makosa ya jinahi wote hao wana hiyo kazi ya kulinda raia na mali zao lkn siyo Jeshi.

Labda kama Tanzania ni failed state na inaongozwa na martial law ambapo Military inachukuwa nchi baada ya Serikali kushindwa na mara nyingi huwa ni dharura tu na baadaye Uchaguzi hufanyika na utawala wa kiraia kurudishwa, vinginevyo Jeshi halihusiki na kudili na vibaka!
We umejaa upupu kichwani nashangaa kwanini bado unaendelea kujivua nguo, chutama kijana. Au umetoka mikoa inayoongoza kwenye udumavu, yenye vijeba wengi. Angalia na ID yako, hujakosea utaendelea kuwa kijakazi wa upumbavu. Majina hayakosei.
 
Polisi imefeli kumbe
Mpaka JWTZ inaingia kazini tafsiri yake ni Polisi imeshindwa kufanya kazi yake ipasavyo.

Polisi mnatia aibu kwenye hili
Mpaka kaka zenu waingilie kati ndo watu wapate amani wakati ni humu humu nchini kwetu
 
Back
Top Bottom