Tungejipanga kwenye Majanga kama tulivyowekeza Polisi bila shaka tusingetumia mikono kuondoa tope Hanang

Tungejipanga kwenye Majanga kama tulivyowekeza Polisi bila shaka tusingetumia mikono kuondoa tope Hanang

Hoja zenye akili kama hizi kwa kiwango chako unapaswa kuwa msomaji tuu!
Huu ni ushauri ili usiaibike na kudharaulika, kejeli na kashfa iko wapi hapo katika kuwapongeza waokoaji waliofanya kazi katika mazingira magumu kwa mikono huku viongozi zaidi ya 100 wako huko na magari ya milioni mia tano tano?
Hivi kama kila mkoa achia mbali wilaya, vifaa vya uokoaji vingenunuliwa kwa mapesa hayo yanayo nunua magari ya kifahari yasiyo na sababu za msingi vilio hivi vingekuwapo?
Watu wakisema akili za kawaida ukiziunganisha na uccm inakua disaster muwaelewe.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Uko sahihi....majanga ya asili yapo ya aina nyingi. Hata nchi zilizoendelea kuliko sisi zinapokumbwa na majanga hupelekewa misaada ya uokoaji na nchi zingine. Mfano japan 2012 ilipokumbwa na tsunami ilipelekewa misaada na uokoaji....serikali yetu inajitahidi japo kuna maeneo hawajawekeza lakini inajitahidi sana kupambana na majanga.
Kilio kikubwa hapa kwetu ni kuboresha na kujengana....nawapa wazo sasa upinzani.
Serikali imeshindwa kuendana na dunia ya sasa kwa mujibu wenu... Andaeni vijana wa uokoaji kwenye majanga kama haya mjitaftie kura. Kama mnaona ni rahisi.
Kukumbushana tu "Viongozi wa chadema wanatembelea 'chopa' achilia mbali hizo gari za 500m mnazoziimba kila siku".
 
Lucas mwashambwa amewaita kule anawataka mumuwekee picha za wana CHADEMA wakitoa misaada.

Mmeshindwa na sasa badala yake mnakuja kumdhihaki mwanajeshi akijituma ili aokoe maisha ya wana Manyara.
Wewe unadai kuua sijui mauaji? Ndicho unaona huyo askari
screenshot_2023-12-05-23-04-11-1-png.2834219
akifanya na mikono yake?

Hatahivyo, tuwekee picha ya hayo magari ya uokoaji watu kutoka kwenye matope basi?

..mnawafanya askari wetu waonekane wapumbavu.

..vijana wetu wana moyo na kazi ya uokoaji lakini wanafeli kwasababu serikali haiwapi vifaa bora.
 
Shida ni kuamini kwamba serikali wapo ontop kwenye kila kitu.

Wapo wapi wanasayansi na wasomi ambao wangeweza kushauri raia wasijenge kwenye mazingira yenye hatari ya mud floods?

..serikalini ndiko kumesheheni wanasayansi na wasomi wa masuala ya mazingira.

..kuna mpaka kitendo cha maafa. Kazi yake sio kushughulikia maafa tu, bali pia kutafuta mbinu za kuyazuia.
 
Tukio hili la kusikitisha la Hanang linanikumbusha maporomoko kama haya yaliyotokea Uganda miaka kadhaa iliyopita , watu walizikwa na udongo , huku vifaa vya uokozi vikiwa Machepeo na Sululu , kiukweli baada ya jambo lile niliona aibu sana kuzaliwa Africa , na hasa Africa Mashariki , nilijiona kama binadamu aliyeadhibiwa mno kwa kuzaliwa kwenye ukanda duni .

Sasa yanayotokea huko Hanang , achilia mbali kutia aibu lakini yanaonyesha kwamba Nchi ya Tanzania imewekeza zaidi kwenye kuumiza Raia wake badala ya kuokoa , ndio maana karibu kila kituo cha polisi kina gari la washawasha lakini Mikoa haina vifaa vya uokozi

View attachment 2834219

Shukrani kubwa kwa Wanajeshi waliofanya kazi kubwa kwa vifaa duni mno !


View attachment 2834214

NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO
sasa huyo polisi alikuwa anatafuta nini? Upuuzi mtupu
 
Ha Ha Ha

Kama kawaida ya CHADEMA....kuzodoa na kukashifu, halafu wakianza kukwaruzana wanalia ohh Polisi

Sasa hiyo ni shukurani au kukejeli?

Wekeni picha zenu mkitoa misaada basi! Hata mkiwa mmevaa Combat zenu

CHADEMA kwisha kabisa.
Mwenye jukumu la lulinda raia wake ni CHADEMA?!
 
..mnawafanya askari wetu waonekane wapumbavu.

..vijana wetu wana moyo na kazi ya uokoaji lakini wanafeli kwasababu serikali haiwapi vifaa bora.
Hebu, tuache masihara.
Katika pita pita zako mitandaoni au kupitia vyombo vikuu vya habarai Duniani, umeshawahi kuona kifaa au vifaa wanavyotumia waokoaji wakati kuna mafuriko ya matope?

Kama umeona, mosi, niwekee picha hiyo hapa na nitakuwa tayari kufuta posti hii.


pili, usinibadilishie kibao, wacha kuspini... hizo picha zilizowekwa huko juu zimewekwa kuwazodoa Wanajeshi au hapa Mjeshi, kwamba anafanya uokoaji kwa kutumia mikono. Hebu tuambie in that situation, ukatumie grader au kifaa chechote kizito, kweli hautakuwa unaenda kuzika wahanga walioko kwenye tope ambalo tayari ni zito kwao?

Ni nani anayetaka kuwafanya askari wetu waonekane wapumbavu hapa?

...hata huko mnapotaka kufanya ulinganishi, kqzi za mikono ndizo huwa zinatumika, initialy, sasa kwanini mnataka kuleta dhana potofu? to what end?

Hicho kifaa bora hapo ndio kipi?
 
Hoja zenye akili kama hizi kwa kiwango chako unapaswa kuwa msomaji tuu!
Huna huo weledi wa kupima akili ya mtu yeyote wewe. Hivi unaelewa maan ya kiwango.
Huu ni ushauri ili usiaibike na kudharaulika, kejeli na kashfa iko wapi hapo katika kuwapongeza waokoaji waliofanya kazi katika mazingira magumu kwa mikono huku viongozi zaidi ya 100 wako huko na magari ya milioni mia tano tano?
Ad hominem na hoja ya yako haina mashiko. Narudia tena, Niwekee hicho kifaa au vifaa vya hizo milioni mia tano ambacho/ambavyo kingeenda kumuokoa mtu aliyefunikwa na matope. you Stupid cunt

Hivi kama kila mkoa achia mbali wilaya, vifaa vya uokoaji vingenunuliwa kwa mapesa hayo yanayo nunua magari ya kifahari yasiyo na sababu za msingi vilio hivi vingekuwapo?
Kwa hiyo unataka kusema hivyo vifaa vingenunuliwa hayo mafuriko yasingetokea? Kwamba watu wamekufa kwa sababu vifaa vya mamilioni havikuwepo? Let's say yashatokea, ni mda gani hicho chombo au kifaa kingetumia kusafirishwa kwenda katika eneo la janga? kwenye tope, isitoshe wakiwemo watu katika tope hilo....be serious
..
Watu wakisema akili za kawaida ukiziunganisha na uccm inakua disaster muwaelewe.

Akili gani hiyo yako? iliyojaa matope? Na mimi nasema, wakati unavaa chupi lako labda ungevaa na hiyo akili yako ya KiCHADEMA
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Uko sahihi....majanga ya asili yapo ya aina nyingi. Hata nchi zilizoendelea kuliko sisi zinapokumbwa na majanga hupelekewa misaada ya uokoaji na nchi zingine. Mfano japan 2012 ilipokumbwa na tsunami ilipelekewa misaada na uokoaji....serikali yetu inajitahidi japo kuna maeneo hawajawekeza lakini inajitahidi sana kupambana na majanga.
Kilio kikubwa hapa kwetu ni kuboresha na kujengana....nawapa wazo sasa upinzani.
Serikali imeshindwa kuendana na dunia ya sasa kwa mujibu wenu... Andaeni vijana wa uokoaji kwenye majanga kama haya mjitaftie kura. Kama mnaona ni rahisi.
Kukumbushana tu "Viongozi wa chadema wanatembelea 'chopa' achilia mbali hizo gari za 500m mnazoziimba kila siku".
Bure kabisa mkuu! Hivi hao waokoaji ni vijana wa CCM mpaka useme Chadema iandae vijana wake? Basi huelewi hata unalozungumza binadamu wewe!
Watu walioko kwenye uokoaji ni Watanzania bila kujali itikadi zao, na hakuna anayewalaumu bali wanapongezwa kwa moyo safi wa kujitoa katika hilo. Tatizo ni hii serikali ya CCM ambayo imeshindwa kutuma vitendea kazi vinavyohitajika.
Suala la Chopa ya Chadema, sio kodi ya wananchi na haitokani na budget ya umma.
Jitambue basi ndugu!
 
Huna huo weledi wa kupima akili ya mtu yeyote wewe. Hivi unaelewa maan ya kiwango.

Ad hominem na hoja ya yako haina mashiko. Narudia tena, Niwekee hicho kifaa au vifaa vya hizo milioni mia tano ambacho/ambavyo kingeenda kumuokoa mtu aliyefunikwa na matope. you Stupid cunt


Kwa hiyo unataka kusema hivyo vifaa vingenunuliwa hayo mafuriko yasingetokea? Kwamba watu wamekufa kwa sababu vifaa vya mamilioni havikuwepo? Let's say yashatokea, ni mda gani hicho chombo au kifaa kingetumia kusafirishwa kwenda katika eneo la janga? kwenye tope, isitoshe wakiwemo watu katika tope hilo....be serious
..


Akili gani hiyo yako? iliyojaa matope? Na mimi nasema, wakati unavaa chupi lako labda ungevaa na hiyo akili yako ya KiCHADEMA
Hasira zikikuishia soma upya na utumie kichwa kufikiri na sio moyo!
 
Tatizo hatuna kitengo maalumu cha uokoaji mambo ya moto na haya majanga makubwa ni vitu viwili tofauti na inatakiwa watu waende shule kweli na pia wafanye kazi za vitendo hapo kwenye Tope mtu unapewa gesi unazama na pipe tu kama unazama baharini au mtoni na kamba mbili ukivuta red wanajua hatari wanaanza kukuokoa wewe sasa hizo nguo za uokoaji hakuna vifaa kwa ujumla hakuna kabisaa hata ukienda hapo utabaki kuangalia tu au kusikitika kwa kukosa vifaa....uokoaji ni taaluma wanatoa hadi degree zake ila ni kazi yenye risk kubwa ndio maana wanashauri ufanye kazi kwa muda mfupi...
 
Hasira zikikuishia soma upya na utumie kichwa kufikiri na sio moyo!
Yaani hajui kuwa vipo vifaa vya uokoaji sehemu ya tope zito namna hiyo na wapo watu wanasomea kuokoa majanga ya Land slide,Moto mkubwa na muda mwingine wanatumia Wanyama kama Mbwa kugundua mwili wa binadamu..
 
Huyo na wenzake ni wa kuhurumia

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hizo Course zipo hata hapo SA watu wanasoma na kazi zake zipo pia...shida Tanzania vyuo vyetu wamekaririshwa hata mifumo ya Course zao yaani hatuna Course ya Majanga makubwa kwenye vyuo vyetu au watu wasomee kuzama kwenye kina kirefu au kufanya uokoaji kwenye aina yeyote ya majanga kama ajali, moto na matukio mengine eti tunategemea Wanajeshi wawe waokoaji wakati hata hizo nguo za kuvaa kwenye tope au kuzima moto hawana...
 
Mlima Marapi huko Indonesia umelipuka na mpaka sasa watu 22 wamefariki
Lakini huwezi kuona police wamekaa juu ya bati za nyumba na kupiga selfie [emoji1702] wala viongozi kupishana kama kawaida tunasema wanawahamasisha vijana waokoaji

Hebu angalia clips za maafa ya Indonesia kwanza wajeda wamepelekwa kufanya kazi haswa unaona wanawabeba wahanga bila kuangalia huyu masikini au kavaa kofia ile
Wao wanahakikisha msaada unatolewa kwa nguvu zote
Vifaa wamepeleka haraka
Sisi sio masikini bali ni ukosaji wa maarifa na wizi wa baadhi ya watu wanaosababisha hata koleo tunaomba kwa majirani
Jeshi wanavyo vifaa vya kila aina na lazima kuna kambi karibu hata kama ni 200 miles yangefika tu
Kuna vitu haviko sawa kabisa
Wanasiasa wanaonekana wao na matumbo yao walivyonona tu
Hakuna kiongozi hata mmoja unayemuona kabeba machela tope limemjaa mwilini nk
Yaani wako huko wame relax tu

Ova
 
Back
Top Bottom