KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
Uchaguzi pia umekaribia. Hatushangazwi na hilo.Chama kimerudi kwa majambazi, wauaji na wezi wa kura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchaguzi pia umekaribia. Hatushangazwi na hilo.Chama kimerudi kwa majambazi, wauaji na wezi wa kura
ebwanaweeeKatibu Mkuu ajaye ni Sabaya,Chongolo amekalia kuti kavu.
Great thinkerKatibu Mkuu ajaye ni Sabaya,Chongolo amekalia kuti kavu.
Kweli Ccm ni chama cha kigaidi.Katibu Mkuu ajaye ni Sabaya,Chongolo amekalia kuti kavu.
Kiukweli JF kuna watu mna jicho!, bandiko hili ni la October 22, ndani ya mwezi mmoja tuu, tayari!, one down!, one to go!.Makonda karejeshwa. Atajiondoa kama alivyofanya mwanzoni kwa kudhani anaweza kuwatumia wenzake kufikia malengo yake.
Sipati picha watakavyofanya kazi na chawa wenzake kama vile Daniel Chongolo ambaye sasa ni bosi wake na Nape Nnauye aliyemdhalilisha wazi wazi na kumfukuzisha kazi kwa aibu bila sababu kujulikana. Time will tell.
DahKatibu Mkuu ajaye ni Sabaya,Chongolo amekalia kuti kavu.