Tuombe Mungu sana watoto wetu wasijekuwa kama mwijaku maana huku alipofikia inasikitisha

Tuombe Mungu sana watoto wetu wasijekuwa kama mwijaku maana huku alipofikia inasikitisha

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Huyu jamaa naona uchawa ndio kageuza ajira yake Rasmi.

Inasikitisha namna mtu anavyojidhalilisha kusifia binadamu wengine.

Naamini hata Mungu mwenyewe hapendi.

Napenda kumshauri huyu ndugu atafute shughuli nyingine au anaweza fungua kampuni ya PR awe msemaji wa celebrities na watu wataohitaji huduma kama zake, badala ya kujidhalilisha namna hii.

Yaani hii clip anayosifia bango la harusi ya mobeto limenisikitisha mno, na kunifanya niombee wanangu wasije kuwa machawa. Inasikitisha mno.

Badilika ndugu mwijaku bado una muda wa kufanya hivyo.


 
Anamiliki ghorofa

Ana Kazi katika media, ubalozi katika makampuni na pote wanamgombania kwa dau kubwa

Kubwa zaidi huwa anapewa hadi promotions za issues za kiserikali

Hiyo ndio reward ya kuwa kama mwijaku. Ndio standard ya kuwa influencer mwenye mafanikio Tanzania.. Ndio future ya hii generation. Pole mkuu
 
Anamiliki ghorofa

Ana Kazi katika media, ubalozi katika makampuni na pote wanamgombania kwa dau kubwa

Kubwa zaidi huwa anapewa hadi promotions za issues za kiserikali

Hiyo ndio reward ya kuwa kama mwijaku. Ndio standard ya kuwa influencer mwenye mafanikio Tanzania.. Ndio future ya hii generation. Pole mkuu
Kwa maana hyo mkuu ww unaweza kufanya kitu chochote kwasababu ya pesa si ndio hata kama ni cha udhalilishaji.
 
Sioni ni wapi mwijaku anadhalilika

Hayupo uchi
Hayupo peku

Kizuri zaidi kila anachofanya kishaandaliwa,na pesa anapatq.

Binadamu tunasumbuliwa na roho mbaya ,mtu anataka akuone ukitafuta Kwa jasho kama yeye
 
Anamiliki ghorofa

Ana Kazi katika media, ubalozi katika makampuni na pote wanamgombania kwa dau kubwa

Kubwa zaidi huwa anapewa hadi promotions za issues za kiserikali

Hiyo ndio reward ya kuwa kama mwijaku. Ndio standard ya kuwa influencer mwenye mafanikio Tanzania.. Ndio future ya hii generation. Pole mkuu
Pole yake maana huku ni kujivua utu kwa ajili ya shekeli.

Kama anafamilia naamini ndani ya mioyo hata kama wanafurahia fedha ila hawana furaha.
 
Sioni ni wapi mwijaku anadhalilika

Hayupo uchi
Hayupo peku

Kizuri zaidi kila anachofanya kishaandaliwa,na pesa anapatq.

Binadamu tunasumbuliwa na roho mbaya ,mtu anataka akuone ukitafuta Kwa jasho kama yeye
Hapa tunamsaidi kutunza utu wake maana inaelekea kasahau kuwa kama binadamu anapaswa kuwa nao.
 
Back
Top Bottom