Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Huyu jamaa naona uchawa ndio kageuza ajira yake Rasmi.
Inasikitisha namna mtu anavyojidhalilisha kusifia binadamu wengine.
Naamini hata Mungu mwenyewe hapendi.
Napenda kumshauri huyu ndugu atafute shughuli nyingine au anaweza fungua kampuni ya PR awe msemaji wa celebrities na watu wataohitaji huduma kama zake, badala ya kujidhalilisha namna hii.
Yaani hii clip anayosifia bango la harusi ya mobeto limenisikitisha mno, na kunifanya niombee wanangu wasije kuwa machawa. Inasikitisha mno.
Badilika ndugu mwijaku bado una muda wa kufanya hivyo.
Inasikitisha namna mtu anavyojidhalilisha kusifia binadamu wengine.
Naamini hata Mungu mwenyewe hapendi.
Napenda kumshauri huyu ndugu atafute shughuli nyingine au anaweza fungua kampuni ya PR awe msemaji wa celebrities na watu wataohitaji huduma kama zake, badala ya kujidhalilisha namna hii.
Yaani hii clip anayosifia bango la harusi ya mobeto limenisikitisha mno, na kunifanya niombee wanangu wasije kuwa machawa. Inasikitisha mno.
Badilika ndugu mwijaku bado una muda wa kufanya hivyo.