Tuombe Mungu sana watoto wetu wasijekuwa kama mwijaku maana huku alipofikia inasikitisha

Tuombe Mungu sana watoto wetu wasijekuwa kama mwijaku maana huku alipofikia inasikitisha

Hayo ni yale unayoyajua kua anayafanya na anapata hayo unayosema anamiliki.Huoni labda kuna mengine huyajui na yanafanywa naye,ilimradi apate sifa kua ana mafanikio?
Kuna ambao wanafanya mapenzi pia kinyume na maumbile ili muwasifie kua wana mafanikio,sijasema Mwijaku ni mmoja wao.
Kufanya mapenzi kinyume na maumbile hakumpi mtu mafanikio
 
Kiufup ni hatarii kwa taifa na hasa pale tunapokuwa na majiran smart nad well focused.
Na tunao ni swala la muda tu kama sio wajukuu basi ni watoto wetu watakuja kutulaumu kwa kulea huu ujinga wa kuyapa airtime mambo ya kijinga.
 
Back
Top Bottom