Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa KolokoloNadhani la kwangu kwa waliopita majeshini hawana maswali
NaamSawa Kolokolo
Mwanzoni nilikuwa najiita '123abc'
Huyo mpuuzi yuko UDSM, kuna siku alitaka kunipeleka kwa DEAN eti sikufanya test yake,akaniambia wewe lazima udisco ile ameingia kwa dean Mimi nikanyosha nikashuka ngazi nikaenda library nikadrop course yake nikaenda kutafuta course nyingine ambayo haijafanyishwa test nikaisajili na nikakamilisha, mbwa yule anaroho mbaya.Mimi hii sumbai kuna mpuuzi mmoja alinifanya masomo na elimu nikaiona ngumu. Sijui kwann jina lake lilikuwa linaclick kichwani paka nikajiita
kipindi nakua nili semaga kila siku nita kuwa nakula wali maharage 😆.Mimi kuzaa bado sanaa!
Kipindi nakua nilisema nikifika 20 lazima niwe na mtoto, baada ya kufika umri huo nikagundua ni utoto ndo ulinifanya kusema vile.
Mwanzo nilikua najiita Joanne JoelNaona watu wengi wananiuliza nini maana ya prakatatumba, huyu mwamba cabo snoop aliitisha sana na ule wimbo wake wa Windhoek, sijui ameishia wapi lakini mimi nimekua fans wake mkubwa miaka yote.
View attachment 2963491
Hahaha mwehu Yule. Na makobazi yake anapenda kuvaaa.Huyo mpuuzi yuko UDSM, kuna siku alitaka kunipeleka kwa DEAN eti sikufanya test yake,akaniambia wewe lazima udisco ile ameingia kwa dean Mimi nikanyosha nikashuka ngazi nikaenda library nikadrop course yake nikaenda kutafuta course nyingine ambayo haijafanyishwa test nikaisajili na nikakamilisha, mbwa yule anaroho mbaya.
Mnamsema lecturer wenu
Pia kuna yule Dr.mkurya kule geography, na mkuda mmoja archaeology mpenda sifa, ila wapo waliokua poa sana kama professor kisimtank wa course ya population huyu alikua mfupi mnene mweusi tukampachika jina la professor kisimtank, prof. Lawi,sadock,George, zoto seminar zake na lecture zake anazipanga jioni makusudi ili apige ulabu kwanza bila ulabu aingii pindi na hachangamki ila akipiga ulabu anatema kimalkia utasema amezaliwa Buckingham palace kwa akina prince Charles.Yeah
Alikuwa msumbufu saana.
😂😂😂😂😂Pia kuna yule Dr.mkurya kule geography, na mkuda mmoja archaeology mpenda sifa, ila wapo waliokua poa sana kama professor kisimtank wa course ya population huyu alikua mfupi mnene mweusi tukampachika jina la professor kisimtank, prof. Lawi,sadock,George, zoto seminar zake na lecture zake anazipanga jioni makusudi ili apige ulabu kwanza bila ulabu aingii pindi na hachangamki ila akipiga ulabu anatema kimalkia utasema amezaliwa Buckingham palace kwa akina prince Charles.