Tuoneshe asili/maana ya ID yako kwa video au picha, ya kwangu ni hii

Tuoneshe asili/maana ya ID yako kwa video au picha, ya kwangu ni hii

My name relates with what I like and love to do.
Hicho kitu Cha business, ni my favorite earth patner.

02, nyingine Ina undwa na mambo mengi kidogo, ni kitabu cha Benjamin graham.

02, Elon musk, Kuna ile speech I semaga, ili mbidi kusoma engineering ili kujua mambo, na business ili kuelewa how the commercial world works out.
Kingine tuna uchizi unao endana😆😀

03, Warren Buffett, huyu Mzee ni kisanga katika investing, so nika combine mambo ndo kupata hili jina.

FB_IMG_17133080193174051.jpg


FB_IMG_17133088484860013.jpg
FB_IMG_17133089457948202.jpg
 
wachezaji simba huwezi kusema ni wabaya ...pale simba tatizo uongozi

Haya we niambie !..:ayub lacked,che Malone,ngoma,na onana je?Hawa wabaya?tarehe 20 tukifungwa tutahakikisha viongozi hamtoki uwanjani
Mkuu,

Huyu kwenye avatar anaitwa nani,nimewahi kuziona video zake kadhaa akicheza.

Zinafurahisha sana.
 
Back
Top Bottom