Chrysanthemum
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 1,531
- 5,787
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio umeitoa kwa wizkidd broo😅😅Baba Nla
Ni baba ake na nla
Yani nla ni mwanangu
I love you Nla all the way from Gauteng ZA 🇿🇦🤗
Alinikosanisha na wachumba, sitaki kabisa kumshukuruSasa siumshukuru! Ulipata degree yako lakini?
😂😂Alinikosanisha na wachumba, sitaki kabisa kumshukuru
Kama sio yeye SASA hivi ungekuwa mke...
Sijaelewa mbonaKama sio yeye SASA hivi ungekuwa mke...
Twende slow slow Kama asingekuwa Yule mpuuzi ningekuwa mbali...nawewe ungekuwa mama totoSijaelewa mbona
Mimi kuzaa bado sanaa!Twende slow slow Kama asingekuwa Yule mpuuzi ningekuwa mbali...nawewe ungekuwa mama toto
When you get the right man, next day tuu utasema naomba nikuzalieMimi kuzaa bado sanaa!
Kipindi nakua nilisema nikifika 20 lazima niwe na mtoto, baada ya kufika umri huo nikagundua ni utoto ndo ulinifanya kusema vile.
Duh!! Threads zote humu za single mazaWhen you get the right man, next day tuu utasema naomba nikuzalie
Vipi sasaivi mkuu… bado unaishi simple life (rastaman)Back in The Days
Nikiwa mwanafunzi, Iyunga Technical School - Mbeya
Nilikuwa nikiishi maisha simple sana, nakula msosi wa shule, siwazi kutoka out, sijali fassion, najali mambo yangu tu
Kuna Madam (cute) alikuja field, nikafaulu vizuri somo lake katika mtihani wa 'Mock' akaja darasani kutaka kunijua maana sikuwa maarufu kabisa.
But aliponiona tu akasema "Kumbe ni wewe, you look "Simple, Boy"
Hiyo statement ilinipaisha sana (walosoma uboyzini wanaelewa)
Madam akasikia kuwa wana wananiita Simple Boy , naye akanibariki jina hilo. By the way maisha yangu shule yalikuwa simple sana
Since that time "Simple-boy-life" has been my nickname in most cases (some informations closed)
Movie Kali sana, acha nishushe Tena 🤒
Unadhani wote walio singo Maza walipata Kwa bahati mbaya??Duh!! Threads zote humu za single maza
Bado nimuombe mtu nimzalie? Labda iwe bahati mbaya
Wengine walitaka wenyeweUnadhani wote walio singo Maza walipata Kwa bahati mbaya??
Wewe sio kwamba huwezi kubali, hujapatikana... Ukipatikana utakuja shtuka Ngoma miezi mitanoWengine walitaka wenyewe
Mimi siwezi kukubali
LabdaWewe sio kwamba huwezi kubali, hujapatikana... Ukipatikana utakuja shtuka Ngoma miezi mitano