severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,435
- 2,402
Hapo ndicho nilikua nasema mimi kwamba jamaa ndo alikua anaanza tu na angeweza kuwa zaidi mbele, ila kifo chake kikamwongezea nyota, ila kwa alipo ishia hakustahili kuwa king.Pac alikuwa mtu hatari!! Acha awe king tu wa hip hop heshima inamfaa, mie naona yeye ndio kama alibadilisha game kutoka ile style ya kurap ambayo dunia nzima ilikuwa inatumia mpaka ikawa kila mtu anarap anavyojisikia!! Ndani ya umri mdogo alifanya mambo makubwa katika game ya hip hop!!
Mziki kama mziki ninavyotafsiri mimi mziki ili uwe mzuri aidha uwe unasikilizika(kuburudisha) ama uwe unafunza(maneno fulani kuntu) au uwe na vyote.
1. Kusikilizika music, namaanisha uwe mtamu masikioni, hapa hata km mtu haelewi mashairi, haelewi kilichoimbwa, lakini uwe mziki mtamu masikioni utapendwa, kina psy na gungnam style, sijui usiniseme kama napenda kula kina ali kiba, sijui despacito, unakuta mtu hajui kilchoimbwa au mashairi hayana kitu ila kwakuwa ni mtamu masikioni mwake unakuwa mziki mzuri
2.kufundisha, sijui nitumie neno kufundisha ama nisemeje sijui hapa nazungumzia mashairi kuwa mazuri, yaani mtu anaupenda muziki kwa mashairi na sio kusikilizika masikioni,hapa inalenga wanaoelewa mashairi, unamkuta mtu anapenda nyimbo fulani we unaweza kuita wa kawaida kumbe ni mtu anasikiliza message ya mule!
Hip hop kama hip hop imebase kwenye mziki mzuri wa aina ya pili, wasikilize kina fid q, sijui jigga, eminem, kendrick na wengineo utanielewa hapa, hata kama mziki sio mtamu masikioni ila mashairi yake tu yanamfanya mtu akakipenda kitu..
Turud kwa tupac, pac alikuwa na mziki mzuri kwa kusikilizika hata kama huelew kinachoimbwa na mashairi mazuri kwa pamoja
Sikiliza
Dear mama
I aint mad at cha
Untill the end of time
Keap ya head up
So many tears
Change
Me n my girlfriend
Nakadhalika nakadhalika.
Binafsi namuelewa mno pac anahitaji heshima yake, naamin jamaa alikufa akiwa bado hajafikia kilele chake, ndio kwnza alikuwa anasogea kwenye peak yake sijui angeipata peak yake ingekuwaje, now angekuwa na heshima zaidi, sijui kama asingekuwa mwanamuziki milionea pia, tizama toka alipoanza mpaka kifo chake jamaa alikuwa kwenye graph yake ndio kwanza anapanda.
Ila utengano wa east na west coast ulikuwepo kabla wao ndo walileta amsha amsha.Walileta msisimko kwenye hiphop, wakaigawa Marekani pande mbili ktk upande Wa vijana, Serikali ikaingilia kati hata ikaona kuna haja ya kuusambaratisha huu utengano,so kwa hayo tu yanatosha kuwaita kings of hiphop
Ndani ya muda wake mchache alifanya makubwa hiki ndio kinampa huo ufalme, katika hiyo top 3 yako tafuta mmoja tu ambae alifanya makubwa kwa muda mchache ambao tupac alifanya kazi..Hapo ndicho nilikua nasema mimi kwamba jamaa ndo alikua anaanza tu na angeweza kuwa zaidi mbele, ila kifo chake kikamwongezea nyota, ila kwa alipo ishia hakustahili kuwa king.
Madhara ya kabla ya wao hayakuwa makubwa na sura mbaya kama kipindi chao. Tena huo utengano Wa kabla sana sana uliegemea kwenye kutambiana kimashari,utajiri nk. Hawa walileta vivo vingi ktk utengano wao kitu ambacho kilikuwa tishio sana kwa serikaliIla utengano wa east na west coast ulikuwepo kabla wao ndo walileta amsha amsha.
Na serikali 2pac alikua akijihusisha sana na gangs kutokana na influence yake ilikua ni tishio sana kiusalama na kusambaza itikadi za ki thug ndo maana jela ilikua inamtafuta sana huyu jamaa.2pac alikuwa na uwezo kuliko Big. 2pac alikuwa target kwa secret society 2pac akawastukia wakaamua kumuundia zengwe na kumnyanyua BIG lengo nikuwagombanisha! Siku Assassination yake ikitokea watu wajue ni ugomvi wao ndiyo umesababisha na hilo lilifanikiwa. 2pac alikuwa kichwa sana.
Na hajaanza leoJiggah mwenye anakuambia yeye kwasasa ndo King kwasababu Biggie is no more.
sasa kama Jiggah anakubali kuwa Biggie was a King, wewe ni nani hapa Sithole kupinga hilo??Na hajaanza leo
Waliopata mafanikio zaidi hata ya Tupac kwa muda mfupi kuna Lil wayne, Eminem na hawa wangekufa ingukua zaidi ya story. Mimi sikatai kama jamaa alikua juu ila kifo chake kime mwongezea nyota sio siri kama huyu jamaa ya juzi Nipsey Hussle wengi hata hawaelewi alifanya nini kwenye game ila ndo ka boom ghafla.Ndani ya muda wake mchache alifanya makubwa hiki ndio kinampa huo ufalme, katika hiyo top 3 yako tafuta mmoja tu ambae alifanya makubwa kwa muda mchache ambao tupac alifanya kazi..
Tupac alileta mabadiliko fulani kwenye game.
Wamekufa wangapi mzee achia mbali kuwa kings, ila pia dunia ishawasahau.
Nakubali Tupac alikua mtu wa gangs sana.Madhara ya kabla ya wao hayakuwa makubwa na sura mbaya kama kipindi chao. Tena huo utengano Wa kabla sana sana uliegemea kwenye kutambiana kimashari,utajiri nk. Hawa walileta vivo vingi ktk utengano wao kitu ambacho kilikuwa tishio sana kwa serikali
Marehemu hachafuliwisasa kama Jiggah anakubali kuwa Biggie was a King, wewe ni nani hapa Sithole kupinga hilo??
Hakuna cha kubooma wala nin nipsey alichokipata ni ule mshituko wa kifo, tizama kama sasa kuna mtu anzungumizia..Waliopata mafanikio zaidi hata ya Tupac kwa muda mfupi kuna Lil wayne, Eminem na hawa wangekufa ingukua zaidi ya story. Mimi sikatai kama jamaa alikua juu ila kifo chake kime mwongezea nyota sio siri kama huyu jamaa ya juzi Nipsey Hussle wengi hata hawaelewi alifanya nini kwenye game ila ndo ka boom ghafla.
okey poaMarehemu hachafuliwi
Hapo ndicho nilikua nasema mimi kwamba jamaa ndo alikua anaanza tu na angeweza kuwa zaidi mbele, ila kifo chake kikamwongezea nyota, ila kwa alipo ishia hakustahili kuwa king.
Hapana mkuu 2pac alikuwa anawatetea sana weusi sema wazungu kuna mengi wamedanganya ili kumshusha mtu mweusi.Na serikali 2pac alikua akijihusisha sana na gangs kutokana na influence yake ilikua ni tishio sana kiusalama na kusambaza itikadi za ki thug ndo maana jela ilikua inamtafuta sana huyu jamaa.
Kweli wewe makaveli10 unajua muzik salute kwako mkuuPac alikuwa mtu hatari!! Acha awe king tu wa hip hop heshima inamfaa, mie naona yeye ndio kama alibadilisha game kutoka ile style ya kurap ambayo dunia nzima ilikuwa inatumia mpaka ikawa kila mtu anarap anavyojisikia!! Ndani ya umri mdogo alifanya mambo makubwa katika game ya hip hop!!
Mziki kama mziki ninavyotafsiri mimi mziki ili uwe mzuri aidha uwe unasikilizika(kuburudisha) ama uwe unafunza(maneno fulani kuntu) au uwe na vyote.
1. Kusikilizika music, namaanisha uwe mtamu masikioni, hapa hata km mtu haelewi mashairi, haelewi kilichoimbwa, lakini uwe mziki mtamu masikioni utapendwa, kina psy na gungnam style, sijui usiniseme kama napenda kula kina ali kiba, sijui despacito, unakuta mtu hajui kilchoimbwa au mashairi hayana kitu ila kwakuwa ni mtamu masikioni mwake unakuwa mziki mzuri
2.kufundisha, sijui nitumie neno kufundisha ama nisemeje sijui hapa nazungumzia mashairi kuwa mazuri, yaani mtu anaupenda muziki kwa mashairi na sio kusikilizika masikioni,hapa inalenga wanaoelewa mashairi, unamkuta mtu anapenda nyimbo fulani we unaweza kuita wa kawaida kumbe ni mtu anasikiliza message ya mule!
Hip hop kama hip hop imebase kwenye mziki mzuri wa aina ya pili, wasikilize kina fid q, sijui jigga, eminem, kendrick na wengineo utanielewa hapa, hata kama mziki sio mtamu masikioni ila mashairi yake tu yanamfanya mtu akakipenda kitu..
Turud kwa tupac, pac alikuwa na mziki mzuri kwa kusikilizika hata kama huelew kinachoimbwa na mashairi mazuri kwa pamoja
Sikiliza
Dear mama
I aint mad at cha
Untill the end of time
Keap ya head up
So many tears
Change
Me n my girlfriend
Nakadhalika nakadhalika.
Binafsi namuelewa mno pac anahitaji heshima yake, naamin jamaa alikufa akiwa bado hajafikia kilele chake, ndio kwnza alikuwa anasogea kwenye peak yake sijui angeipata peak yake ingekuwaje, now angekuwa na heshima zaidi, sijui kama asingekuwa mwanamuziki milionea pia, tizama toka alipoanza mpaka kifo chake jamaa alikuwa kwenye graph yake ndio kwanza anapanda.
Kidogo mkuuKweli wewe makaveli10 unajua muzik salute kwako mkuu