Nani awe king ukiwatoa hao
migos?? ndio nini hiki?Hahaha hebu fanya huo utafiti mkuu Migos kitaa wapo popular si mchezo sidhan kama kuna mtu hawajui kwa sasa
Sasa kwa kipindi kile unafikiri hip hop ilikua inaonekanaje?Sidhani kama unaujua mziki vizuri! Sidhani!
Mzee umeongea point sana hao migos hata siwajui kabisa, Mimi nilikuwa nafatilia muziki kitambo sana na ukiniuliza ngoma za zamani nakutajia zote kuanzia wakina SWV, ZHANE, QUEEN LARIFA, PAC, BIG, MASE, JUDGE AGE, ALL FOR ONE, KRISS KROSS, DMX, NA WENGINE KIBAO, lakini kwa sasa ili wimbo niujue lazima huyo msanii atoe nyimbo Kali kwelikweli, yaani mimi sasa hivi wimbo ndio unanifata sio mimi kufata nyimbo, ukweli utabaki PAC alikuwa another level kwa umri ule kutoa mingoma mikali vile, hapana kwakweli, ishu PAC alikuwa muhuni sana, Ila watu mbona hawamtaji puff dady? Huyu diddy wa Leo?Tunao Wajua migos. .ni sisi ambao hatukauki mitandaoni na ambao tu nafuatilia media mbali mbali za burudani kutoka Majuu ...Lakini mitaani migos hakuna anaye Wajua mkuu ....
Ndio maana hauwezi kukuta dala dala .Au t-shirt zenye sura zao zikiwa zimevaliwa na watu ..Pia hauwezi kukuta wakiwa wame chorwa kwenye mabanda ya wasanii au picha zao kuwa printing kwenye barbershop -- wakati hayo yalikuwa yanafanyika sana kwa watu walio itendea haki game kuanzia pac.big .Eminem. Jigga. Lil tunch. 50 cent .drake. Kanye. Etc
Yaani itoshe tu kusema kuwa migos wana pewa chance ya kuhit kwa sababu muziki wa sasa una uhaba wa kuwa na wasanii wa kali. ..
Yaani hili uliloliandika hapa mimi ndio huwa najiuliza sana huyu mtu alikuwa hatari, na amededi akiwa maarufu kwa miaka kibao jiulize alianza kusumbua liniPac kafa na miaka 26 tu... wewe mtoa mada katika hiyo age ume achieve kitu gani!? Yaani hapa najaribu kumuelezea pac kidogo..
Walikuwa Violent sana hasa Tupac na Suge Knight na waligawa jamii ya waafrika nchini Marekani....hasa makundi kama Blood and Clip vijana wakawa wanauana sana......nadhani hata vifo vyao kuna mkono wa Serikali ya Marekani
Umeona Tupac alikua mhuni sana na known clip member naweza sema PAC ni kati ya watu waliofanya hip hop uonekane mziki wa kihuni.
Tupac na Notorious BIG walikuwa violent kweli, makundi yao yalikuwa ya kihuni SanaaWalikuwa Violent sana hasa Tupac na Suge Knight na waligawa jamii ya waafrika nchini Marekani....hasa makundi kama Blood and Clip vijana wakawa wanauana sana......nadhani hata vifo vyao kuna mkono wa Serikali ya Marekani
1. NasJe wasanii watatu (3) ambao utawapa namba 1 - 3 kwa ubora kwenye hip hop ni wasanii gani?, Ukiondoa hawa wawili
1. Nas
Jay z na Eminem sio sana kwa upande wangu2. Jay Z
Mzee umeongea point sana hao migos hata siwajui kabisa, Mimi nilikuwa nafatilia muziki kitambo sana na ukiniuliza ngoma za zamani nakutajia zote kuanzia wakina SWV, ZHANE, QUEEN LARIFA, PAC, BIG, MASE, JUDGE AGE, ALL FOR ONE, KRISS KROSS, DMX, NA WENGINE KIBAO, lakini kwa sasa ili wimbo niujue lazima huyo msanii atoe nyimbo Kali kwelikweli, yaani mimi sasa hivi wimbo ndio unanifata sio mimi kufata nyimbo, ukweli utabaki PAC alikuwa another level kwa umri ule kutoa mingoma mikali vile, hapana kwakweli, ishu PAC alikuwa muhuni sana, Ila watu mbona hawamtaji puff dady? Huyu diddy wa Leo?
Wanaitwa Crips, sio 'clip'. Na Tupac hajawahi kuwa member wa gang yoyote, ndio maana alivaa red sometimes blue bandanas. Sidhani kama unajua unachokiongea, mkuu. Hakuna mwana hiphop aliyeimba masuala ya msingi kama Tupac.
Acha kumfananisha KIMBUNGA na vitu vya ajabu ajabuHao wote wawili hawamuwezi KIMBUNGA MCHAWI.........