Tupac na Biggie wanakuzwa mno

Tupac na Biggie wanakuzwa mno

Mkuu chukulia migos au Travis Scott au cardi b au Chance the rapper wakafa leo si mtasema kwa muda mfupi wame achieve makubwa. Point yangu ni kwamba isinge kua kifo leo hawa jamaa wangekua kati legends kama kina dre, snoop na ice cube.
Jiulize kwa nn muziki wa hiphop uko hoi sasa hivi siyo kama kipindi cha nyuma,sababu ni marapa wa kubwa wa sasa wameshindwa kufikia na kupita levels za kina big na PAC so hakuna jipya
 
"You claimed to be a PLAYER but I f*c*d your wife!"
 
Pac alikuwa mtu hatari!! Acha awe king tu wa hip hop heshima inamfaa, mie naona yeye ndio kama alibadilisha game kutoka ile style ya kurap ambayo dunia nzima ilikuwa inatumia mpaka ikawa kila mtu anarap anavyojisikia!! Ndani ya umri mdogo alifanya mambo makubwa katika game ya hip hop!!

Mziki kama mziki ninavyotafsiri mimi mziki ili uwe mzuri aidha uwe unasikilizika(kuburudisha) ama uwe unafunza(maneno fulani kuntu) au uwe na vyote.

1. Kusikilizika music, namaanisha uwe mtamu masikioni, hapa hata km mtu haelewi mashairi, haelewi kilichoimbwa, lakini uwe mziki mtamu masikioni utapendwa, kina psy na gungnam style, sijui usiniseme kama napenda kula kina ali kiba, sijui despacito, unakuta mtu hajui kilchoimbwa au mashairi hayana kitu ila kwakuwa ni mtamu masikioni mwake unakuwa mziki mzuri

2.kufundisha, sijui nitumie neno kufundisha ama nisemeje sijui hapa nazungumzia mashairi kuwa mazuri, yaani mtu anaupenda muziki kwa mashairi na sio kusikilizika masikioni,hapa inalenga wanaoelewa mashairi, unamkuta mtu anapenda nyimbo fulani we unaweza kuita wa kawaida kumbe ni mtu anasikiliza message ya mule!

Hip hop kama hip hop imebase kwenye mziki mzuri wa aina ya pili, wasikilize kina fid q, sijui jigga, eminem, kendrick na wengineo utanielewa hapa, hata kama mziki sio mtamu masikioni ila mashairi yake tu yanamfanya mtu akakipenda kitu..

Turud kwa tupac, pac alikuwa na mziki mzuri kwa kusikilizika hata kama huelew kinachoimbwa na mashairi mazuri kwa pamoja
Sikiliza
Dear mama
I aint mad at cha
Untill the end of time
Keap ya head up
So many tears
Change
Me n my girlfriend

Nakadhalika nakadhalika.

Binafsi namuelewa mno pac anahitaji heshima yake, naamin jamaa alikufa akiwa bado hajafikia kilele chake, ndio kwnza alikuwa anasogea kwenye peak yake sijui angeipata peak yake ingekuwaje, now angekuwa na heshima zaidi, sijui kama asingekuwa mwanamuziki milionea pia, tizama toka alipoanza mpaka kifo chake jamaa alikuwa kwenye graph yake ndio kwanza anapanda.
Hivi ni kweli 2pac hakuwa mkorofi ni wao ndio walikuwa wanamuanza.
Inasemekana jamaa ilikuwa ukilianzisha basi analimaliza.
 
Hivi ni kweli 2pac hakuwa mkorofi ni wao ndio walikuwa wanamuanza.
Inasemekana jamaa ilikuwa ukilianzisha basi analimaliza.
Ukisikiliza interviews zake, utanoti kitu, jamaa alikuwa mtu fulani mweye akili timamu na kujielewa, hakuwa mwendawazimu kama wengine wanavyomtafsiri, japo hakuna mkamilifu alikuwa na mapungufu yake kama wanadamu wengine sisi tulivyo.

Bifu zake nyingi nizijuazp mimi ni wao ndio walianza kumzingua jamaa.
 
Yaani watu wanaongelea heavy weights wa hiphop afu mtu anakuja kutaja sijui Migos.
 
BIG nadhani kweli, yeye kama yeye hakuwa vile, ila alikuwa na team ya vijana wenye flows nzuri,

Ila Pac was more than a Rapper, alikuwa ni mwanaharakti , Thinker na Futurist pia.
 
Hakuna kama Makaveli the Don mazeeee! Nyimbo zake aliwakilisha sana society aliyokulia utaskia akilia na homicide, issue ya Single mothers kama alivyo experience yeye mwenyewe, alikuwa very angry of the white man system jinsi ilivyo curse watu wa tabaka tofauti hasa Mexicans, African Americans and the rest.

Ngoma bora toka kwake,
- Letter to my unborn child
- Pain
- White man's world
- All eyez on me
- Brenda got a baby
- Killuminate
- Gangster party
- keep your head up
- Dear Mama

Na nyingine nyingi sana, jamaa alikuwa na elimu kubwa sana ya mtaa kutoka kwa ma ex-members wa black panther Akiwepo mjomba wake Platt. Suge alikuja muongezea kiburi baada ya kumpatia backup ya security, production na bills mbalimbali ikiwemo ile ya kumtoa jela.

Christopher Frank a.k.a BIG yeye alikuwa mzee wa game la biashara, flow za kiparty most of the time, reasons why Diddy amekuja kuwa tajiri na Suge kuwa na makesi shazi. Bad boyz walifocus kwenye mpunga zaidi, Death Row/ OutLawz walikuwa kimkakati zaidi na ndio maana utakuta members wa Pac waliitwa kina Gadaffi, Iddi Amin, Hussein na vitu kama hivyo.

BIG anangoma kali pia hasa kwenye album ya born again, my favourite song ni SKY IS THE LIMIT.

Hakuna kama Tupac, Hakuna kama BIG, Hakuna kama Wutang clan, hakuna kama Rakim, hakuna kama KRS ONE, hakuna kama Niggers With Altitude, hakuna kama old school.

BIG ana ngoma inasema YOU'RE NOBODY TIL SOMEBODY KILLS YOU, I guess this is the reason why jamaa wamejulikana sana hasa huku kwetu.
 
BIG nadhani kweli, yeye kama yeye hakuwa vile, ila alikuwa na team ya vijana wenye flows nzuri,

Ila Pac was more than a Rapper, alikuwa ni mwanaharakti , Thinker na Futurist pia.
We unajua kiongozi, pale Bad Boyz kulikuwa na vichwa, kina Craig Mack R.I.P, yule mtoto wa kike Heather B na wengine wengi. Tupac was bigger than Rap itself. A seed of Black panther movement, representing ghetto na mnazi mkuu wa Hennessy. Alichukia sana madawa japo alishakili kuwahi kuuza japo hakutumia maisha yake yote. Nadhani alijionea madhara yake kwa mama yake marehemu Afen Shakur.
 
Joyner Lucas - Devil's Work
Give us Tupac back take that nigga suge/

Let the legend resurrect, he gonna live for good/

I'be screaming thug life, in every different hood/

And If you only could bring back, Lord I wish you would/

Give us biggie, give us pun, give us triple X

Take that nigga Trump with you that's big threat/

There's too much powerful for a coward with no intellect/
 
Huu wimbo naupenda sana lyrics na beats zimetulia 👌🏽👌🏽👌🏽

Huwezi amini hii nyimbo ilitoka mwaka 1993 na Pac alikua na miaka 22 tu kwa wakati huo, Tupac acha kabisa.. heshima yake itabaki vizazi na vizazi
 
We si kizaz cha diamond platnumz so huwez mjua 2pac..sikiliza nyimbo ya dear mama,sikiliza ujumbe halaf jiulize kijana wa miaka 20 au 23 anaweza kua na mind ya kusema yale aliyosema
 
Legend
FB_IMG_15615947031211136.jpeg
 
Back
Top Bottom