Tupate mkataba wa uendeshi wa hospital za Bugando (TEC) na KCMC (KKKT) ili tujadili bandari vizuri

Kila kitu kina pande mbili positive na negative. Sasa tukijadili hayo swali ni je serikali yetu inauwezo wakuhudumia hao wagonjwa?
Nikukumbushe jambo moja dogo kwa usalama wa nchi?

1. Tulikuwa na viongozi wakubwa wa nchi hii ambao umauti uliwakuta wakiwa nchi jirani ( hospitali za wenzetu ). Hivi kama viongozi hao wanaumwa na wanapelekwa nje? unadhani ndani ya nchi kutakuwa na huduma yeyote ya afya hata yakuweza kuwahudumia raia wake wakiwa wagonjwa?
 
  • Mkataba baina ya serikali na hosptali/vituo vya afya vya RC unaweza kuvunjwa ikiwa pande unaotaka kuvunja utatoa 'notice' miaka 3 kabla ya tarehe ya kusudio.
  • DP kaokota dodo mbivu: BANDARI ZOTE ZA BAHARI NA MAZIWA, NA SPECIAL ECONOMIC ZONE ni Mali yake milele. Yaani kampuni inamiliki utajiri wote muhimu wa nchi, hata kama isipiendeleza miongo kadhaa.
 
Huo mkataba uletwe hadharani tuchambue vipengere vyake kwanini kanisa aneficha huo mkataba kama uko fair........kuna kilichofichwa nyuma ya pazia wananchi tunapigwa na kinisa iwe je serikali iendeshe hospitali zote za kanisa na shule wakati huo wanatoza ada kubwa kwa ajiri ya matibabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…