Tupate mkataba wa uendeshi wa hospital za Bugando (TEC) na KCMC (KKKT) ili tujadili bandari vizuri

Tupate mkataba wa uendeshi wa hospital za Bugando (TEC) na KCMC (KKKT) ili tujadili bandari vizuri

Hospital za Bugando na KCMC zinamilikiwa na makanisa na zinaendeshwa kwa ubia na serikali ya JMT. Ninafikiri mikataba yake ingetusaidia sana kwenye mjadala unaoendelea wa bandari


Peeling back the DP World's mask.
 
Zishindwe kufa hospitali za watu binafsi zije kufa za taasisi kubwa kama kanisa. Kama serikali ndio inafanya ziwepo basi unamaanisha serikali inaendesha vizuri biashara, nitajie project moja kubwa ya kanisa iliyokufa au kuendeshwa kwa hasara nikutajie projects na taasisi zaidi ya 10 za serikali zinazokula hasara na zilizokufa.
Kwani za kanisa siyo za watu binafsi!?..hujawahi sikia corporate imefikisika!?
 
Hospital za Bugando na KCMC zinamilikiwa na makanisa na zinaendeshwa kwa ubia na serikali ya JMT. Ninafikiri mikataba yake ingetusaidia sana kwenye mjadala unaoendelea wa bandari
Mmekuwa mnatibiwa huko na mnafurahia maana zina vifaa vyote. Kuanzia sasa msiende huko muende za bakwata.
 
Chuo cha Muslim Morogoro kipo Eneo na majengo ya Serikali. Mnafaa mfukuzwe
 
Kila kitu kina pande mbili positive na negative. Sasa tukijadili hayo swali ni je serikali yetu inauwezo wakuhudumia hao wagonjwa?
Nikukumbushe jambo moja dogo kwa usalama wa nchi?

1. Tulikuwa na viongozi wakubwa wa nchi hii ambao umauti uliwakuta wakiwa nchi jirani ( hospitali za wenzetu ). Hivi kama viongozi hao wanaumwa na wanapelekwa nje? unadhani ndani ya nchi kutakuwa na huduma yeyote ya afya hata yakuweza kuwahudumia raia wake wakiwa wagonjwa?
Umeongea point sana Yan pasipo kuwa n ubia wowote katika sector binafsi na serikali, serikali haiwez kuendesha miladi yote na ikafaulu Kwa kiasi Cha kujitoshereza,,kama ulivyosema viongozi wakubwa wanatoka nchini mwao wanaenda kutibiwa nje. swali ni je kwanini wanaenda nje kupata matibabu
 
Huo mkataba uletwe hadharani tuchambue vipengere vyake kwanini kanisa aneficha huo mkataba kama uko fair........kuna kilichofichwa nyuma ya pazia wananchi tunapigwa na kinisa iwe je serikali iendeshe hospitali zote za kanisa na shule wakati huo wanatoza ada kubwa kwa ajiri ya matibabu.
Kamuulize mwinyi raisi muislamu aliyesign mwaka 92 atakupa majibu ya maswali yako
 
Kwahiyo hilo ndo lina justify mkataba wa kunyoonya mali za ummah na kanisa? Lugha chafu unao tumia
Fanyeni maendeleo acheni majungu.
Jengeni mahospitali ya maana ya rufaa acheni kuchukua chumba Cha madrasa na kukufanya dispesari au shule ya sekondari! Hivi mpo siriasi nyie?
 
bugando na kcmc zote ni za serikali nyerere mungu amlaani ndio aliyewapa makanisa na serikali inalipa mishahara hapati chochote na haina ubia wala sheya, katika marais walioivuranga tanzania ni nyerere, kataifisha majumba ya waislamu kawapa NHC katuletea bakwata kuuwa uislamu, bakwata ni wakristo walivaa kanzu
Si kweli
 
I think this topic is somehow leading towards a racialism aspect..
What if DP world owners were Christians etc would this be another agenda of a particular race??
 
Chuo cha Muslim Morogoro kipo Eneo na majengo ya Serikali. Mnafaa mfukuzwe
Serikali iliwapa bure baada ya kekele kuwa ohh waislamu tunaonewa wanataka tudome vyuo ambavyo vya mfumo Kristo

Visivyosisitiza swala tano nk

Wakapewa

Chuo kikuu cha kiislamu Morogoro hata waislamu wenyewe wengi hawataki kwenda kusoma na maproffessor na wahadhiri mahiri waislamu hawataki kwenda kuajiriwa kufundisha pale

Wamejazana vyuo vya mfumo katoliki.na secular

Hawataki chuo kikichojaa mayowe ya takbiriiiii ambamo.imamu wa msikiti.na sharia ana nguvu juu ya Proffessor na Mhadhiri kwenye hatima ya wanachuo
 
Back
Top Bottom