Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Taasisi zote za kidini ziliondolewa ushuru pamoja na za kiislamu. Huo unao uita mfumo Kristu ndio unaowatolea huduma ndugu zako huko vijijini ambako hospitali za serikali hazina madaktari, vifaa na dawa.Unamdanganya nani babu!?..na kuondoa ushuru kwa bidhaa za taasisi za dini pale bandarini ni serikali ndiyo iliyotaka au ndiyo utenda kaza wa mfumo kristo!?..mawakala wa kanisa kutafuta namba ya kulipa unafuu kanisa!?
Amandla...