peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Hospital za Bugando na KCMC zinamilikiwa na makanisa na zinaendeshwa kwa ubia na serikali ya JMT. Ninafikiri mikataba yake ingetusaidia sana kwenye mjadala unaoendelea wa bandari
Kwani za kanisa siyo za watu binafsi!?..hujawahi sikia corporate imefikisika!?Zishindwe kufa hospitali za watu binafsi zije kufa za taasisi kubwa kama kanisa. Kama serikali ndio inafanya ziwepo basi unamaanisha serikali inaendesha vizuri biashara, nitajie project moja kubwa ya kanisa iliyokufa au kuendeshwa kwa hasara nikutajie projects na taasisi zaidi ya 10 za serikali zinazokula hasara na zilizokufa.
Mmekuwa mnatibiwa huko na mnafurahia maana zina vifaa vyote. Kuanzia sasa msiende huko muende za bakwata.Hospital za Bugando na KCMC zinamilikiwa na makanisa na zinaendeshwa kwa ubia na serikali ya JMT. Ninafikiri mikataba yake ingetusaidia sana kwenye mjadala unaoendelea wa bandari
Umeongea point sana Yan pasipo kuwa n ubia wowote katika sector binafsi na serikali, serikali haiwez kuendesha miladi yote na ikafaulu Kwa kiasi Cha kujitoshereza,,kama ulivyosema viongozi wakubwa wanatoka nchini mwao wanaenda kutibiwa nje. swali ni je kwanini wanaenda nje kupata matibabuKila kitu kina pande mbili positive na negative. Sasa tukijadili hayo swali ni je serikali yetu inauwezo wakuhudumia hao wagonjwa?
Nikukumbushe jambo moja dogo kwa usalama wa nchi?
1. Tulikuwa na viongozi wakubwa wa nchi hii ambao umauti uliwakuta wakiwa nchi jirani ( hospitali za wenzetu ). Hivi kama viongozi hao wanaumwa na wanapelekwa nje? unadhani ndani ya nchi kutakuwa na huduma yeyote ya afya hata yakuweza kuwahudumia raia wake wakiwa wagonjwa?
Kamuulize mwinyi raisi muislamu aliyesign mwaka 92 atakupa majibu ya maswali yakoHuo mkataba uletwe hadharani tuchambue vipengere vyake kwanini kanisa aneficha huo mkataba kama uko fair........kuna kilichofichwa nyuma ya pazia wananchi tunapigwa na kinisa iwe je serikali iendeshe hospitali zote za kanisa na shule wakati huo wanatoza ada kubwa kwa ajiri ya matibabu.
Nikukumbushe hata jamiiforum waliyoanzisha ni wakristo kwa hiyo ni vizuri waislamu mkawa na forum yenuHuna jibu,matusi mwiko lakini mzinzi
Fanyeni maendeleo acheni majungu.Kwahiyo hilo ndo lina justify mkataba wa kunyoonya mali za ummah na kanisa? Lugha chafu unao tumia
Si kwelibugando na kcmc zote ni za serikali nyerere mungu amlaani ndio aliyewapa makanisa na serikali inalipa mishahara hapati chochote na haina ubia wala sheya, katika marais walioivuranga tanzania ni nyerere, kataifisha majumba ya waislamu kawapa NHC katuletea bakwata kuuwa uislamu, bakwata ni wakristo walivaa kanzu
Huyo anayewadanganya hii ndio njia ya kujibu hoja za wanaopinga huo mkataba wenu, anawavunja vunja. Hamjui tu, hana nia njema na nyie wala taifa.
Waje wenyewe.WajibuKwani Waislamu hawana hospitali nzuri kubwa za maana? Tuanzie hapo
Serikali iliwapa bure baada ya kekele kuwa ohh waislamu tunaonewa wanataka tudome vyuo ambavyo vya mfumo KristoChuo cha Muslim Morogoro kipo Eneo na majengo ya Serikali. Mnafaa mfukuzwe