Tupatiane True Story yoyote ila iwe Fupi na Precise

Tupatiane True Story yoyote ila iwe Fupi na Precise

🤣🤣😁🤣🤣🤣🤣🤣
Yaaan baada ya kumaliza kidato Cha nne nikafaulu na kujiunga kidato Cha tano advance nilikuwa kawaida mno natamani hata kesho nimalize niondoke nishachoka Ila ndo sikuwa na namna inabidi nivumilie......

Nimemaliza naenda JKT julai huko 😂..... Muda sio mrefu nawaza hivi matokeo nisipofaulu itakuaje na home wananiamni sinto waangusha niliwaza sana.....


Jamaangu mmoja tulikuwa naye JKT baada ya matokeo kanifata kaniambia you did the best 👊..... Basi hapo nikasema sasa hapa nshamaliza kazi 😂
 
Hako kasura kanafaa kawe kanadeka tu, kanafaa kubembelezwa.

Thanks.
 
Mwaka 2018 nikiwa form five nilinaswa na kiongozi mkuu wa shule nikiwa na simu. Hiyo ni baada ya kuwa ilitangazwa kwamba students wote tusalimishe simu zetu. Mzee mzima nikakaza sisalimishi simu. Miezi karibu 5 hivi snitch akanichomea utambi Kwa leader kua nna simu jamaa akaweka mtego nikanaswa nayo. Adhabu ilikuwa suspension wiki 2 istoshe kihomeboy mbali. Nikapelekwa Kwa second master asiye na ajizi nikiwa na simu yangu nikajua nitafukuzwa. Ajabu ticha akanisifu akiniambia Kwa vitisho mkwara na mteru niliowapiga dogo Baki na simu yako. Leader usimguse dogo. Nikashangaa sana
2018 nipo kazini (hii ofisi) nikiwa na mwaka wa sita ofisini..!!!

Kweli nimezeeka..!!!

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Mkuu siku zinakimbia sana. Wale ulioukuwa ukiwaona wakubwa Sasa ni wazee kabisa. Umri wao wa zamani uko nao wewe.
Nikikumbuka stori kadha wa kadha za miaka ya nyuma ni kama juzi but ni miaka 10,7, 6 imepita....
But si mbaya kikubwa uhai!
 
Mwaka 2018 nikiwa mkoa mmojawapo wa Kanda ya Kati. Nilidownload app ya tinder(kama sijakosea) nikaletewa list ya warembo ambao wako karibu na mimi aisee nikachagua kamoja karembo sana .
Chati nako,badilishana namba,nilipiga anapokea demu sauti nzuri tumekubaliana aje. Saa Tano usiku kanipigia simu kuwa anapanda boda wamefika naona mtu kajifunika shuka la kimasai,nikazamisha geto.
Lahaulaaaa kutoa shuka hivi dume lenzangu linalegeza sauti,nikamuuliza na wewe vipi,umefikaje hapa!? Akaniambia ndiye tuliyekuwa tunawasiliana nikamwambia toka nitakuua Bure akawa anabisha aisee nilichomoa Sime akatimka mbio.
Alivyotoka nikasema nini mimi kuhangaika kote huku Hadi kuleta mashoga geto???😂😂😂
 
H
Mwaka 2018 nikiwa mkoa mmojawapo wa Kanda ya Kati. Nilidownload app ya tinder(kama sijakosea) nikaletewa list ya warembo ambao wako karibu na mimi aisee nikachagua kamoja karembo sana .
Chati nako,badilishana namba,nilipiga anapokea demu sauti nzuri tumekubaliana aje. Saa Tano usiku kanipigia simu kuwa anapanda boda wamefika naona mtu kajifunika shuka la kimasai,nikazamisha geto.
Lahaulaaaa kutoa shuka hivi dume lenzangu linalegeza sauti,nikamuuliza na wewe vipi,umefikaje hapa!? Akaniambia ndiye tuliyekuwa tunawasiliana nikamwambia toka nitakuua Bure akawa anabisha aisee nilichomoa Sime akatimka mbio.
Alivyotoka nikasema nini mimi kuhangaika kote huku Hadi kuleta mashoga geto???😂😂😂
ahahahabahabahahahhahahahahah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤢🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 realMamy aiseee nimechekaa usiikuu huu wote🤣🤣🤣
 
Mwaka 2018 nikiwa mkoa mmojawapo wa Kanda ya Kati. Nilidownload app ya tinder(kama sijakosea) nikaletewa list ya warembo ambao wako karibu na mimi aisee nikachagua kamoja karembo sana .
Chati nako,badilishana namba,nilipiga anapokea demu sauti nzuri tumekubaliana aje. Saa Tano usiku kanipigia simu kuwa anapanda boda wamefika naona mtu kajifunika shuka la kimasai,nikazamisha geto.
Lahaulaaaa kutoa shuka hivi dume lenzangu linalegeza sauti,nikamuuliza na wewe vipi,umefikaje hapa!? Akaniambia ndiye tuliyekuwa tunawasiliana nikamwambia toka nitakuua Bure akawa anabisha aisee nilichomoa Sime akatimka mbio.
Alivyotoka nikasema nini mimi kuhangaika kote huku Hadi kuleta mashoga geto???😂😂😂
Sauti ilikuaje mkuu ,kama ile ile uliyopiga simu au au ya kidume???🤣 Aiss
 
H

ahahahabahabahahahhahahahahah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤢🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 realMamy aiseee nimechekaa usiikuu huu wote🤣🤣🤣
Alijitahidi kubana pua,mambo ilisikika vizuri tu ila kupeleka ndani Sasa 😂😂😂
 
Katika kuvimbiana na muhuni mmoja nikajikuta nimemkata makofi.
Alivyopanic tu akili ikaniambia toa kitambulisho Msogezee Machoni kabisa huku ukimwambia anajua wewe Ni Nani ?

Jamaa Alikuwa hajui kusoma cjui au hakuona vizuri kutokana na ule ukaribu wa kitambulisho na njicho.

Angejua kilikuwa kitambulisho Cha The Amazon College angeniua siku ile.
Me fala Sana unajua.😂
Utoto tu umeandika.... Hakuna la maana.unaiga iga tu stories za watu.
 
nmetoka zangu bush kwetu,nmeenda arusha field,siku moja mzee kanibless na ka hela,sasa niende nikatoe nikakutana na jamaa njiani.

Akanisalimia vizur nikamjibu,akaniuliza unaijua hospital kwa jina la happy?,nikamwambia hapana,mara akaja mzee akasema,binti yangu mm naumwa kwaio nahitaji kufika kwenye hio hospital.

Kumbe navosemeshwa dawa ndo inaingia,saa ngapi nisianze kuwafata na kuwapeleka kwenye hospital nisiyoijua,bahat kuna mtu alinisemesha dawa yao ikaisha nguvu,nikawaambia nyie m mwanafunzi inabid nirud mwalimu ananisubiri,wakanambia sio vizur binadamu inabid kusaidiana,,weeee mie huyooo nkavuka barabara kurud nilikotoka🙌🏾.
 
nmetoka zangu bush kwetu,nmeenda arusha field,siku moja mzee kanibless na ka hela,sasa niende nikatoe nikakutana na jamaa njiani.

Akanisalimia vizur nikamjibu,akaniuliza unaijua hospital kwa jina la happy?,nikamwambia hapana,mara akaja mzee akasema,binti yangu mm naumwa kwaio nahitaji kufika kwenye hio hospital.

Kumbe navosemeshwa dawa ndo inaingia,saa ngapi nisianze kuwafata na kuwapeleka kwenye hospital nisiyoijua,bahat kuna mtu alinisemesha dawa yao ikaisha nguvu,nikawaambia nyie m mwanafunzi inabid nirud mwalimu ananisubiri,wakanambia sio vizur binadamu inabid kusaidiana,,weeee mie huyooo nkavuka barabara kurud nilikotoka🙌🏾.
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔

Aiseee , huyo mtu mwingine alikusemesshaje mkuu, alikuita? Alikusalimia??
 
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔

Aiseee , huyo mtu mwingine alikusemesshaje mkuu, alikuita? Alikusalimia??
walikua kitu kimoja,so jamaa wa kwanza alidai yule wa pili alkua ni baba ake,, kwaio anataka akatibiwe hapo,, ingawa hawakuja kwa pamoja,uyo mwingine alikuja akitembea taratibu kama mgonjwa akasalimia fresh na kutoa maelezo.

Huyo alosababsha dawa kuisha alinisalimia kwaio kile kitendo kikaniamsha akili.
 
Aiseee Mungu alikuokoa
walikua kitu kimoja,so jamaa wa kwanza alidai yule wa pili alkua ni baba ake,, kwaio anataka akatibiwe hapo,, ingawa hawakuja kwa pamoja,uyo mwingine alikuja akitembea taratibu kama mgonjwa akasalimia fresh na kutoa maelezo.
ee
 
Kipindi iko sekondari tulikua na mwl anaitwa Mwl Shirima alikua anaogopeka sana, zamu yake ilikua ikifika basi ni mchakamchaka hakuna kupoteza muda. Kengele ikigonga tu basi kama muda wa mapumziko umeisha anataka kuona wanafunzi wote mbio darasani akikuona unatembea ni mboko.

kuna siku iyo baada ya kengele kugongwa backbenchers kama kawaida yetu ni kudunda tu mdogomdogo wengine wanakimbia kama wamefungiwa mota miguuni, katika hali ya kushtukiza tulishangaa kusikia sauti ya mwl shirima ikiita kwa nguvu "youu, youu.. stand up" ilibidi tukimbie kwenda class huku kila mtu akiangua kicheko kwa staili yake 😂
 
Back
Top Bottom