Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣 Kanini hako tena mkuuKuna jamaa yangu ni mtu wa kufuga fuga .Basi alikuwa analalamika ana uhaba wa njiwa weusi .Kuna jamaa akampa kimzizi aweke kwenye maji wanayokunywa.Aisee kila njiwa wakitotoa ni weusi balaa.Mbona alikatupa mwenyewe.
Bruh 😂👊 ukimwambia kuwa ?Kariakoo juzi Kati jamaa nikiwa nimebeba kibegi mgongoni jamaa akanifuata kwa nyuma akawa anafungua zipu kwakua Mimi ni mafia / ninja / mbabe/ zee korofii/ mtukutu wa nyaigera e.t.c
Nikageuka fasta nikashika mkono ukiwa kwenye begi nikamwambia kwa kumaanisha ntamalizana na wewe hapa hapa chap chap
NTAKUTOBOA MACHO sasaivi na mtu yeyote asijue.
Jamaa likawa linatetemeka na nikaliacha linaondoka kwa fadhaa kubwaa sanaa
Ki shule shule! Tumetoka class tunawahi kuoga then turudi kula chakula uck.
Sasa kulikuwa na vyoo vya juu ya ghorofa na vingine vipi chini! Ridochi hiyo Eckenforde
Mimi nikawahi choo kimoja ila Nikakuta kimefungwa afu kama Kuna mtu ndani maana nilikuwa naskia maji yamefunguliwa kwenye ndoo!
Nikamwambia yule wa ndani! Oya Chap chap utoke niingie! Nikaa nje namsubiria atoke! Tena nilikuwa na jamaa angu hapo nje.
Gafla maji yakafungwa! Nikajua mtu yule kamaliza ili atoke! Malango ukafunguka na hakuna mtu ndani!
Weee! Tulitoka ndukiiii! Mambo ya Tanga hayo
UmetuchokaNilikuwa na jirani yangu kila siku nasikia anapiga miluzi, nikajua ni burudani tu.!!
Na miluzi inazidi sana siku akiwa na demu, mimi tena na umbea wangu nikaanza kufatilia jirani anaimbaga nyimbo gani kupitia miluzi?!!
Maana kuna muda miluzi inachanganya km nyimbo za wakongo… inaanza mdogo mdogo mara mluzi unakolea mpk unatoka nje ya beat..!! Baadae kidogo unakuwa km anasonya fyuuuuu KIMYA.
Hilo suala lilinitatiza sana sipati jibu, muda ukapita nikapata mpangaji wa kike jina lake Isha. Ile nyumba ni ya kwetu nilikuwa naishi na bibi yangu..!!
Mpangaji kachangamka anaongea km kameza kiredio, akaanza kunisimulia matatizo yake na mumewe mpk akakimbia ndoa na kuja kupanga ili kuanza upya maisha yake..!!
KISA CHA KWANZA
Wakati anaolewa na huyo mumewe mwanajeshi, walikuwa kila wakiwa faraghani mume wake akikaribia kufika mshindo analamba middle finger kisha anamchomeka kwenye tupu yake ya nyuma..!!
Mkewe akawa anamshangaa!! Hivi ndio vinini tena?!! Na kwakuwa Isha ni mgeni wa mapenzi akajua ndo mahaba yalivyo..!! Akawa katulia hasemi chochote..!!
Sasa hiyo siku mume wake gari limewaka raha zimemzidia kashainua mashabiki kwa shangwe, Isha akaona ngoja na mimi nijiongeze nimfurahishe zaidi mume..!!
Mwanaume wakati anajipanga afanye jambo lake Isha akamuwahi kalamba middle finger kamchomeka mumewe awweeh 😹😹😹😹
Asikwambie mtu mjeda aliruka akamwambia “Yani nimejipiga bao mwenyewe?” UTANITAMBUA LEOOOO
Alimpiga Isha kisha akampeleka kwenye reli akamfunga ili kiberenge kikipita kimkanyage..!
Nimechoka kutype 🤣
Joanah hio ni sura yako kwenye profile pic?😂😂😂njiwa alitoa nauli lakini?
Hii dunia ina maajabu!!
🤣🤣😁🤣🤣🤣🤣🤣Nakumbuka kipindi nimeanza form one nimefika shule basi tushamaliz admit wazee wanaondoka nika wa hug fresh tuu..... Nimekaa km dk kumi najikuta natokwa na machozii tuu aaani mpaka nikawa najiuliza mwenyewe
Nimeenda bwenini hapo nshazoea mazingira ya shule sasa, jioni moja tukiwa prep kiongozi wa taaluma akasema kesho nahitaji watu wa kutoa morning speech
Basi nikawa shortlisted..... Kesho yake mimi huyo.....
Good morning school......
Assembly::: wanacheka sana Tena sana i was funny aseeh yaani nilikuwa nikisimama au nikishika maiki yaani wanafurahi sana ......
Siku moja tushazoeana na washikaji nywele ndefu navopenda nywele ndefu sasa wakniambia njoo tukupunguze Mimi nikakubali
Kesho yake ticha mmoja kaniona akaniuliza Kwan mbona uko hivi kichwani umejiona ?
Nikamjibu::: ndiyo
Nani kakunyoa nikamwambia sijui nimejikuta asubuhii niko hivyo
Kisa kingine
Jamaangu mmoja akawa ni mtu wa dini ya kiislamu basi akawa anaweka hela kwenye msahafu akiamini atakayeiba atapatwa na masahibu
Ngoja aamke asubuhii akute msahafu hakuna na hela hakuna
😂😂😢......
🤣🤣🤣😋😋😋Mwaka 2018 nikiwa form five nilinaswa na kiongozi mkuu wa shule nikiwa na simu. Hiyo ni baada ya kuwa ilitangazwa kwamba students wote tusalimishe simu zetu. Mzee mzima nikakaza sisalimishi simu. Miezi karibu 5 hivi snitch akanichomea utambi Kwa leader kua nna simu jamaa akaweka mtego nikanaswa nayo. Adhabu ilikuwa suspension wiki 2 istoshe kihomeboy mbali. Nikapelekwa Kwa second master asiye na ajizi nikiwa na simu yangu nikajua nitafukuzwa. Ajabu ticha akanisifu akiniambia Kwa vitisho mkwara na mteru niliowapiga dogo Baki na simu yako. Leader usimguse dogo. Nikashangaa sana
Mungu mkubwa home palikuwa safari ya 2 days na nauli zaidi ya 80000. Aibu kubwa nimetumwa kusoma nikajiingiza kuchati na shem enu🤣🤣🤣😋😋😋
Mizimu ya nyumbani ilikuwa na ww
HahahahhahahKatika kuvimbiana na muhuni mmoja nikajikuta nimemkata makofi.
Alivyopanic tu akili ikaniambia toa kitambulisho Msogezee Machoni kabisa huku ukimwambia anajua wewe Ni Nani ?
Jamaa Alikuwa hajui kusoma cjui au hakuona vizuri kutokana na ule ukaribu wa kitambulisho na njicho.
Angejua kilikuwa kitambulisho Cha The Amazon College angeniua siku ile.
Me fala Sana unajua.😂
Ulifanya technique bora kabsiaKatika kuvimbiana na muhuni mmoja nikajikuta nimemkata makofi.
Alivyopanic tu akili ikaniambia toa kitambulisho Msogezee Machoni kabisa huku ukimwambia anajua wewe Ni Nani ?
Jamaa Alikuwa hajui kusoma cjui au hakuona vizuri kutokana na ule ukaribu wa kitambulisho na njicho.
Angejua kilikuwa kitambulisho Cha The Amazon College angeniua siku ile.
Me fala Sana unajua.😂
muongo.stori haina mbele wala nyumaNilikuwa na jirani yangu kila siku nasikia anapiga miluzi, nikajua ni burudani tu.!!
Na miluzi inazidi sana siku akiwa na demu, mimi tena na umbea wangu nikaanza kufatilia jirani anaimbaga nyimbo gani kupitia miluzi?!!
Maana kuna muda miluzi inachanganya km nyimbo za wakongo… inaanza mdogo mdogo mara mluzi unakolea mpk unatoka nje ya beat..!! Baadae kidogo unakuwa km anasonya fyuuuuu KIMYA.
Hilo suala lilinitatiza sana sipati jibu, muda ukapita nikapata mpangaji wa kike jina lake Isha. Ile nyumba ni ya kwetu nilikuwa naishi na bibi yangu..!!
Mpangaji kachangamka anaongea km kameza kiredio, akaanza kunisimulia matatizo yake na mumewe mpk akakimbia ndoa na kuja kupanga ili kuanza upya maisha yake..!!
KISA CHA KWANZA
Wakati anaolewa na huyo mumewe mwanajeshi, walikuwa kila wakiwa faraghani mume wake akikaribia kufika mshindo analamba middle finger kisha anamchomeka kwenye tupu yake ya nyuma..!!
Mkewe akawa anamshangaa!! Hivi ndio vinini tena?!! Na kwakuwa Isha ni mgeni wa mapenzi akajua ndo mahaba yalivyo..!! Akawa katulia hasemi chochote..!!
Sasa hiyo siku mume wake gari limewaka raha zimemzidia kashainua mashabiki kwa shangwe, Isha akaona ngoja na mimi nijiongeze nimfurahishe zaidi mume..!!
Mwanaume wakati anajipanga afanye jambo lake Isha akamuwahi kalamba middle finger kamchomeka mumewe awweeh 😹😹😹😹
Asikwambie mtu mjeda aliruka akamwambia “Yani nimejipiga bao mwenyewe?” UTANITAMBUA LEOOOO
Alimpiga Isha kisha akampeleka kwenye reli akamfunga ili kiberenge kikipita kimkanyage..!
Nimechoka kutype 🤣
🤣🤣Ki shule shule! Tumetoka class tunawahi kuoga then turudi kula chakula uck.
Sasa kulikuwa na vyoo vya juu ya ghorofa na vingine vipi chini! Ridochi hiyo Eckenforde
Mimi nikawahi choo kimoja ila Nikakuta kimefungwa afu kama Kuna mtu ndani maana nilikuwa naskia maji yamefunguliwa kwenye ndoo!
Nikamwambia yule wa ndani! Oya Chap chap utoke niingie! Nikaa nje namsubiria atoke! Tena nilikuwa na jamaa angu hapo nje.
Gafla maji yakafungwa! Nikajua mtu yule kamaliza ili atoke! Malango ukafunguka na hakuna mtu ndani!
Weee! Tulitoka ndukiiii! Mambo ya Tanga hayo
Hii ni chai wakati mwanzisha thread kasema zile za kweli.Ki shule shule! Tumetoka class tunawahi kuoga then turudi kula chakula uck.
Sasa kulikuwa na vyoo vya juu ya ghorofa na vingine vipi chini! Ridochi hiyo Eckenforde
Mimi nikawahi choo kimoja ila Nikakuta kimefungwa afu kama Kuna mtu ndani maana nilikuwa naskia maji yamefunguliwa kwenye ndoo!
Nikamwambia yule wa ndani! Oya Chap chap utoke niingie! Nikaa nje namsubiria atoke! Tena nilikuwa na jamaa angu hapo nje.
Gafla maji yakafungwa! Nikajua mtu yule kamaliza ili atoke! Malango ukafunguka na hakuna mtu ndani!
Weee! Tulitoka ndukiiii! Mambo ya Tanga hayo
Tafuta vitafunio Sasa kama umepata chaiHii ni chai wakati mwanzisha thread kasema zile za kweli.