Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee na ametulia kabisa au nawe unaleta story za vijiwenKuna mwanamke alikuwa dadapoa nilikuwa mteja wake kwa muda mrefu sasa hivi ndio wife
...😂😂😂..Huyu jamaa mtata kweli kweli...Inawezekana kwenu mliwaki kufuga majini. Au kulikuwa na waganga wa kutoa mimba.View attachment 1561164View attachment 1561165
Nna jina langu lingine...nilimwambia naitwa gerald ilo jina la id hapo....aisee tumesonga weee nikakolea kushift sasa from uongo name to real name ikabd nimwambie ujue nn??Ulimwambia unaitwa Kelvin[emoji38]
Jina hilo linatumika sana na wazandiki
Acha uongo mkuu binadamu wote kuna watu ambao wanaondoka maishani mwako automatic unachomlaumu jamaa apo ni nini maana hakumuacha na ukimwi wala mtoto bidada amepata matatizo ndyo lakin siyo kuwa jamaa ndyo kamsababishia kuwa na miaka 29 haimaanishi kuwa wewe ndyo ujiachie utakavyo kuachwa na mkeo siyo sababu ya wewe kunywa pombe na kuchakata k ovyo alafu badaye uje kimbebesha mkeo lawama kisa alikuachaEbwanaee ka muvi hivi [emoji849][emoji849]
Umemfanyia vibaya huyo nesi, kuna siku utazilipia hizo gharama za mateso yake, amini
Si kitu poa.. huwa namuonea huruma mno. Lkn sikua na namna na sina namna mpaka sasa. Sababu nmeshaoa na mke nilieoa sina kasoro yoyote naiona kwake. Ni mke bora kabisa..Nimeshangaa anavyohadithia kuhusu nurse.
As if ni kitu poa.
Hapana boss.. nmesimulia tuu... ila namuonea huruma binti as long as hajawah nikosea.... ni wife material na mtu poa.. lkn mmgefanyaje kwa mazingira hayo??Kwa kweli ni atakuwa na moyo mgumu sana mpaka anapata nguvu ya kuadithia hivi, au labda ndio wale wanaojiita mabaharia na kwa kufanya mpaka yakatokea hayao anaona ndio ubaharia.....anyway dunia ni mapito.
Not at all.. I love her na najisikia vibaya mno kuhusu yeye. Na huwa najaitahidi kumwambia popote atakapokwama anambie me ntampa sapoti. Na nina utayari kwa lolote ataloomba. Ni vile tuu hajawah nambia..It's seems you are not sorry to your x na unafurahia majanga yake?
Unahisi ningefanya nini kwa mazingira hayo?? Ningemuacha mama mwenye minba?Ebwanaee ka muvi hivi [emoji849][emoji849]
Umemfanyia vibaya huyo nesi, kuna siku utazilipia hizo gharama za mateso yake, amini
Kosa lako ninaloliona hapa ni kumfata demu mwingine huku uko na mwingine. Nafikiri ulipaswa kuchagua moja tu. Kuwa na msimamo kuwa upo na huyu mwingine akatafute maisha mengine.Hapana boss.. nmesimulia tuu... ila namuonea huruma binti as long as hajawah nikosea.... ni wife material na mtu poa.. lkn mmgefanyaje kwa mazingira hayo??
Siku zote ukweli unatuweka huru, putting yourself first is not a selfish (kama aliamua kua na mwingine sio kosa ila alitakiwa kumuambia yule wa kwanza ukweli) mapema kabisa.Kosa lako ninaloliona hapa ni kumfata demu mwingine huku uko na mwingine. Nafikiri ulipaswa kuchagua moja tu. Kuwa na msimamo kuwa upo na huyu mwingine akatafute maisha mengine.
Hayo mengine ni makosa yake. Huwezi kukata tamaa sababu you are 29 na umeachwa. Wala kufika 30 sio sababu ya kufanya mwanamke hakubali mwanaume mradi katamka ndoa.
Pengine alipangiwa mwanaume bora kuliko wewe lakini pupa ikampeleka pabaya.
Kuna umuhimu mkubwa sana wa kukaa ndani ya misingi ya dini au mila na desturi zetu. Otherwise effect kama hizi ni kubwa sana.
Miaka ya nyuma kidogo kuna jamaa yangu alienda mbeya huko vijijini ndani ndani kuna mishe gani sijui alikua anapiga huko. Sasa jamaa kutokana na hali ya kule baridi na nini akakamatia guluguja moja matata akawa anasogeza nalo siku kiaina. Mara paap.. likanasa ujauzito! Jamaa kapambana nalo sana litoe likagoma kabisaa na likaamua kuhamia geto anapokaa mshkaji likadai limefukuzwa kwao.Katika maisha ya vijana wengi mahusiano mengi yanakiwaga ni mwanaume kumtamani zaidi mwanamke hivyo mwanamke hugeuzwa chombo cha kustarehesha viungo vya mwanaume,
Hapo mwanaume nae mara nyingi anakuwa na plan zake kwamba hapa najipigia tu, nikimchoka naenda kwengine.
Hali inaweza kuwa tofauti mwanaume ukakolea kweli kweli kwa huyo binti unaemchukulia poa ambae huwa unajipigiaga tu,
Baada ya muda waweza kuta mazingira yamekufanya tu uvute kabisa jiko ndani.
Tupe mkasa wako
Dah huyo guluguja embu weka na picha tuone usikute ndio naishi na shape kama iyoMiaka ya nyuma kidogo kuna jamaa yangu alienda mbeya huko vijijini ndani ndani kuna mishe gani sijui alikua anapiga huko. Sasa jamaa kutokana na hali ya kule baridi na nini akakamatia guluguja moja matata akawa anasogeza nalo siku kiaina. Mara paap.. likanasa ujauzito! Jamaa kapambana nalo sana litoe likagoma kabisaa na likaamua kuhamia geto anapokaa mshkaji likadai limefukuzwa kwao.
Jamaa kuona ivyo akaona isiwe tabu akali taimu akabeba vitu vyake vichache akaliachia geto yeye akarudi zake chuga maskani. Maisha yakaendelea kama kawaida jamaa akasahau kabisa kuhusu lile guluguja tukawa tunagombania magoli kitaa.
Siku ya siku tumekaa zetu kibarazani tunapiga stori mbili tatu na mwana mara tunaona polygon shape moja ina tumbo kubwaa inakuja uelekeo wetu. Kadri ilivyokua inatusogelea ndio mwana anazidi kuwa mwekundu maana jamaa alikua mweupe. Aisee jamaa hakuamini lile guluguja limekuja likiulizia mpaka likafika home!! Jamaa ndio kukalishwa na wazee pale akabanwa akakubali kweli yeye ni mhusika. Basi ikabidi jamaa awe mpole tuu na guluguja lake sasa atafanyaje? Mtoto amekuja kuzaliwa yaani ni fotokopi huulizi kitu. Mpaka leo tunavyoongea jamaa yuko na guluguja lake maisha yanaenda.
Miaka ya nyuma kidogo kuna jamaa yangu alienda mbeya huko vijijini ndani ndani kuna mishe gani sijui alikua anapiga huko. Sasa jamaa kutokana na hali ya kule baridi na nini akakamatia guluguja moja matata akawa anasogeza nalo siku kiaina. Mara paap.. likanasa ujauzito! Jamaa kapambana nalo sana litoe likagoma kabisaa na likaamua kuhamia geto anapokaa mshkaji likadai limefukuzwa kwao.
Jamaa kuona ivyo akaona isiwe tabu akali taimu akabeba vitu vyake vichache akaliachia geto yeye akarudi zake chuga maskani. Maisha yakaendelea kama kawaida jamaa akasahau kabisa kuhusu lile guluguja tukawa tunagombania magoli kitaa.
Siku ya siku tumekaa zetu kibarazani tunapiga stori mbili tatu na mwana mara tunaona polygon shape moja ina tumbo kubwaa inakuja uelekeo wetu. Kadri ilivyokua inatusogelea ndio mwana anazidi kuwa mwekundu maana jamaa alikua mweupe. Aisee jamaa hakuamini lile guluguja limekuja likiulizia mpaka likafika home!! Jamaa ndio kukalishwa na wazee pale akabanwa akakubali kweli yeye ni mhusika. Basi ikabidi jamaa awe mpole tuu na guluguja lake sasa atafanyaje? Mtoto amekuja kuzaliwa yaani ni fotokopi huulizi kitu. Mpaka leo tunavyoongea jamaa yuko na guluguja lake maisha yanaenda.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] guluguja oyeeeeeeMiaka ya nyuma kidogo kuna jamaa yangu alienda mbeya huko vijijini ndani ndani kuna mishe gani sijui alikua anapiga huko. Sasa jamaa kutokana na hali ya kule baridi na nini akakamatia guluguja moja matata akawa anasogeza nalo siku kiaina. Mara paap.. likanasa ujauzito! Jamaa kapambana nalo sana litoe likagoma kabisaa na likaamua kuhamia geto anapokaa mshkaji likadai limefukuzwa kwao.
Jamaa kuona ivyo akaona isiwe tabu akali taimu akabeba vitu vyake vichache akaliachia geto yeye akarudi zake chuga maskani. Maisha yakaendelea kama kawaida jamaa akasahau kabisa kuhusu lile guluguja tukawa tunagombania magoli kitaa.
Siku ya siku tumekaa zetu kibarazani tunapiga stori mbili tatu na mwana mara tunaona polygon shape moja ina tumbo kubwaa inakuja uelekeo wetu. Kadri ilivyokua inatusogelea ndio mwana anazidi kuwa mwekundu maana jamaa alikua mweupe. Aisee jamaa hakuamini lile guluguja limekuja likiulizia mpaka likafika home!! Jamaa ndio kukalishwa na wazee pale akabanwa akakubali kweli yeye ni mhusika. Basi ikabidi jamaa awe mpole tuu na guluguja lake sasa atafanyaje? Mtoto amekuja kuzaliwa yaani ni fotokopi huulizi kitu. Mpaka leo tunavyoongea jamaa yuko na guluguja lake maisha yanaenda.