Tupe mkasa wako ulivyoishia kumuoa uliyedhani utapiga na kusepa

Polygon shape daaaaa.

Ya kwake sijui ni ipi
 
Duuh! Huna chochote kinachosuta moyo au? Daah! Anatia huruma sana huyo Nesi
Huyu nesi naye ni mzembe sana, ameshindwa kupima jamaa ukimwi? Nimewahi kukutana na manesi kama mara 2. Yaani tukishazoeana kinachofuata anakuja na test kit ya HIV tunapima wote, tena mara 2 au 3 ndo zinaanza mechi za mchangani za pekupeku.
 
Du.ila ipo siku utakuja kulipa karma
 
Karidhika kabisa na alichofaya.[emoji849] asipolipa yy hata kwa watoto wake.
Malipo yapo.
Nimeumia kwa ajili ya nesi[emoji24]
 
Mkuu TheChoji samahani, unamwita nani Guluguja?
 
Hayo masihara ndo mi siyatakagi kwenye mahusiano kama mwanamke sina malengo nae ni kwamba sina malengo nae,nikimpata napiga si maliZi mwezi naachana nae juu kwa juu bila sababu...


Siku ya kwanza nilivyomuona mke wa wangu moyoni nilisema nikiwa na mwanamke km huyu nitadumu nae kwenye mahusiano sikuwa na mambo ya kubahatisha na nilimwambia toka mwanzo sitaki mimba mpk nakuoa na nilivyomuoa nilikwambia sitaki mimba mpk ifike miezi ambayo ndo ntk mtoto wangu azaliwe....


Mi sinaga bahati mbaya kabisaaa na wala sizitaki nakuangalia straight najua kbs wewe ni type yangu au wewe ni hit and run.Nitahakiki tabia tu ila nikikuona nje ndani uwaga sina shida napo sana kikubwa nikukubali tu ulivyo...
 
Mkuu Clinker belite nimesikitishwa sana na feedback yako kuhusu nesi,imeniuma mno,,but anyway hatujui mengi,ila as far as am concerned nimeona hujataja kama nesi alikuwa na tatizo lolote kwenye uhusiano wenu,

hivyo naomba uutambue ukweli huu ufuatao,kwenye Maisha huwa kuna kanuni,kanuni za Maisha ambazo hazijaandikwa mahala popote lakini zipo na zinafanya kazi,na zina majibu yasiyobadilika kamwe nenda uendako,duniani pote.

KAMWE USICHEZE NA HISIA ZA MTU nimeandika kwa herufi kubwa na nikabold kuonesha msisitizo,

mkuu hii ni mbaya sana,hakuna ambaye amewahi kucheza na hisia za mtu aliwahi kubaki salama hata mara moja labda afe

hivyo na wewe mkuu,kama kweli nesi wa watu hakufanya kosa lolote kwenye mahusiano yenu na feedback ndo hiyo unayotupa as if hukuwa wa kwanza kuyavunja mahusiano yenu,nahofia sana kinachokuja huko mbeleni kwako.(unless otherwise story iwe tofauti na hukuiweka wazi hapa)
 
Mhm hapa nimejifunza kitu....kumbe strategy ya kugegeda ma.la.ya ndio yenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…