Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,595
- 6,264
Mimi ni star inamaana hamna aliesoma na mimi huku mbona stori yangu sioni
Kweli kbsKule wanafatiliana sana tabia, kusemana na kuonyana. Vichwa vilivyopinda hukimbia ili kukwepa usumbufu huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakasirika sanaAlaaaah ina maana huyu. Jemes delicious na umber rutty hawajasoma na mtu yoyote humu JF wacha niendele kusoma comment bac.
Wewe Mr benfika tulia machalii zako wa R wanakuja kwa hapo fasi
Still a kidYou wanna battle or rat-a-tat-tat rattle?
You goatherder, go take care of your cattle
I lay laws like Cato, my blows are fatal
Come against me, boy I got forces liek NATO
You pitter-patter, I eat you like Sato
You wanna battle or rat-a-tat-tat rattle?
You goat herder, go take care of your cattle
I lay laws like Cato, my blows are fatal
Like I was coached by Cus D'Amato
Come against me, boy I got forces like NATO
You pitter-patter, I eat you like Sato
Saddle your...aaah
Tukutane kule, hit me with your best lyricsYou wanna battle or rat-a-tat-tat rattle?
You goatherder, go take care of your cattle
I lay laws like Cato, my blows are fatal
Come against me, boy I got forces liek NATO
You pitter-patter, I eat you like Sato
You wanna battle or rat-a-tat-tat rattle?
You goat herder, go take care of your cattle
I lay laws like Cato, my blows are fatal
Like I was coached by Cus D'Amato
Come against me, boy I got forces like NATO
You pitter-patter, I eat you like Sato
Saddle your...aaah
Huyu kisandu kabla ya kutiwa nguvuni, alikuwa mwalimu wa GS pale Mkolani secondary Mwanza, namjua vzr san tofaut na hapa Jf.
Nilimfundisha huyu, Geography. Kipindi nilikuwa teacher!!Irene Uwoya Green Acres, alikuwa sijui hesabu asubuhi ikifika anachukua safari Langu anakopi exercise the.
Kuna siku Mwl kuna siku Mwl alimuambia akaelekeze ubaoni kidogo ajikojolee.
Naikumbuka chata ya Maloga na Mangwair.Tena Mazengo sekondari na wakaacha machata yao mule.
Ulifundisha green acres?
Ata sisi wa Benjamin tumepata kidogo heshima kama yenuswagger boyz wale wakina zamba? walmpga mtungo mtoto wa madam gonda, sema dogo alkua pin asee alkua jangwan hakua mchoyo afu ukzngatia dogo kpnd hcho ndo barehe imechanganya w2 waliish nae sn
kipnd chetu mlokoz ndo alikua jau sn nakumbuka kuna sku nltoka nikaenda kkoo wakat wakurud ckupta kule kwnye boda la uwanjan nkapta getin dah! nkakutana nae mzee wng nilchokpata ni historia
kusoma Azaboi ni heshma sio ktaa tu hata barabarn ukkatza ni heshma afu madem ndo km wote nldaka sn watoto wa jangwa, zanak, benja n.k
Aliyemuelewa huyu jamaa afafanue plzIrene Uwoya Green Acres, alikuwa sijui hesabu asubuhi ikifika anachukua safari Langu anakopi exercise the.
Kuna siku Mwl kuna siku Mwl alimuambia akaelekeze ubaoni kidogo ajikojolee.
Mimi nilisoma na mdogo wake Patrick simwingaIzzo b
Emmanuel simwinga
Mbozi sec then southern highland (form four-2005)
Alikaa iromba
Until alihamia dar
Sent using Jamii Forums mobile app
kaoa au kaolewa?Naima si ndio kaoa Samagoal.
Nimesoma na kaka yake mkubwa miaka ya 90 mtoni kwa mama merry
Star wa nini?Kuna huyu dogo anaitwa Kituga yupo hapo kwa AliKiba, Jamaa nilimuacha madarasa mawili pale Shule ya Uhuru, alikua mjanja mjanja sana na vile alikua mtoto wa K/Koo.. Now ni Star
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu ukiwauliza unamjua kituga watakuuliza ndo nan ila jamaa anadai kawa star daah .. Wakat uyo kituga hamfikii hamorapa kwa ustar hata nusuStar wa nini?