Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu


Zinde yule msela mavi wa kuwapiga makonda?
 
2010 naingia Tandika sec, namkuta Hamisa mobetto yupo form 2 asee yule demu alikua hatulii anapiga misele shule nzima na viswaswadu wenzie.
Siku za dini utamkuta kwa walokole anaimbisha kwaya hadi nilijuaga mlokole kumbe wapi.
Mobeto 2010 alikuwa form 3, shule ya msingi amesoma Muungano temeke.
 
Hiki ndo kisa Cha kugombana na Evancy aliponikuta Ghetto na mdogo ake Nancy_ CowObama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…