Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Hakuna watu nawaonaga mapimbi kama watuma salamu redion 😂😂 chesco mzee wa matunda na manka mushi
bila kumsahau mzee lawena msonda maana mi namsikiaka tangu nipo mtoto.. 😀 😀 😀 😀
 
Izzo b
Emmanuel simwinga
Mbozi sec then southern highland (form four-2005)
Alikaa iromba
Until alihamia dar
Kijiwe niaje!

Ni wengi ambao tunawajua watu wakiwa maarufu ila ni wachache zaidi tunaowajua kabla ya kuwa maarufu aidha kwa kusoma nao, kujuana nao, kucheza nao utotoni, n.k

Binafsi kwa huku Mbeya namkumbuka Izzo Business alikuwa ni mtu moja mchangamfu ila muziki wake alionekana na watu lazima wengi kama muhuni, huku sisi vijana wadogo tukiwa tunatamani angalau kuwa na urafiki nae au kuchana mistari kama yeye, miaka ya 2005 nakumbuka alifanyiwa interview na Mbeya Tv basi ile interview niliirekodi kwenye mkanda wa deki, huo mkanda ulizunguka sana mitaani watu wamcheki Izzo B anavyohojiwa.

Nakumbuka pia alifahamika shule kibao za sekondari kama Sangu tukitoka alikuwa na washkaji zake na vile alivyo staa wa Mbeya tulipenda sana kampani yake.

Wasanii wengine nliowajua kwa juu juu kuna msamiati huyu alieimba yeye na Rapcha "Moto Unaweka" nae wa mbeya alisomaga mbalizi nahisi, ila alikuwa mtoro na mzee wa wida.

Karibuni, muwe mnatia nyama basi, sio unasema tu umesoma au kufahamiana na fulani, jaribu kuelezea kwa undani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Am not sure this is true but
Roma kasoma pcm pale old moshi then akafukuzwa kulikua n mgomo nadhan was 2006 au 2005,yeye na karibia hlf ya darasa wakapelekwa shule inaitwa magamba(ilikua chuo) sijajua hii isagara amesoma lini nbut sidhan pia kama ni busraa kukubishia
Nimesona na ROMA mkatoloki pale USAGARA SEC wakati huo yeye ni basketballer anaetegemewa na shule huku mm ndo mwanamuziki bora zaidi pale.
Nakumbuka alikuwa anakuja kunipa ushauri akiwa na ANTONIO NUGAZ huyu wa Clouds (msemaji wa YANGA)
Jamaa walikuw wananikubali sana japo kuwa walinitangulia kidogo ila walinitambua mchango wangu.

Hata ile ngoma ya Roma (TANZANIA ) tumeplay kwa first time mahome SAHARE SEPOCHO 1

Ila chukushangaza wenzangu wametoboa mimi kibarua changu KUBET

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Abbot hakua na umaarudu wowote mbeya
Labda pandahill
Sikusoma na Izzo B ila alikuwa Mwana sana alikuwa family ya kawaida nampongeza kapambana sana Namjua tangu anaanza yeye kama yeye kwa kipaji chake from 0 zero to hero kwa kusaidiwa na Marehemu Mbuzax na Quick Racka aka Aboti huyu Tuna undugu kidogo yeye Mtoto wa kishua hajasota chochote enzi hizo Mbeya ukitaja watuma salaam maarufu unatutaja Sisi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] dmx ulikuwa wamfahamu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama atakuwa anamkumbuka. DMX alianza form 1 mwaka 2003, 2004 form 2 akafeli, akarudia, tukasoma naye, then tukamaliza naye 2007, kwahiyo badala ya kumaliza form 4 mwaka 2006 akamaliza 2007. Kijana alikuwa mkorofi sana. Generation ya azania kutoka 2001 mpaka 2007, ilikuwa na watu maarufu kama wakina Zinde, Mpeta Bizzo, Reddish Brown, Kipande shebby, Kisamo (Msanii), G sparker, Dogo Tifu, Michael Jonhson Nguli (mchambuzi wa michezo Azam), Kuna mtu anaitwa Popo, BMB na wengine kibao wazee wa kitengo mawe.
 
Sidhani kama atakuwa anamkumbuka. DMX alianza form 1 mwaka 2003, 2004 form 2 akafeli, akarudia, tukasoma naye, then tukamaliza naye 2007, kwahiyo badala ya kumaliza form 4 mwaka 2006 akamaliza 2007. Kijana alikuwa mkorofi sana. Generation ya azania kutoka 2001 mpaka 2007, ilikuwa na watu maarufu kama wakina Zinde, Mpeta Bizzo, Reddish Brown, Kipande shebby, Kisamo (Msanii), G sparker, Dogo Tifu, Michael Jonhson Nguli (mchambuzi wa michezo Azam), Kuna mtu anaitwa Popo, BMB na wengine kibao wazee wa kitengo mawe.
Lebo ya kijani..tumemaliza mwaka mmoja ila nilikuwa jirani yako..ila dmx alivyofeli form2 kidogo alipunguza utata..unakumbuka sekeseke la kuwapiga makonda baada ya kufariki yule dogo wa form1..sijui tulikuwa form 3 vile au form..sikumbuki vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lebo ya kijani..tumemaliza mwaka mmoja ila nilikuwa jirani yako..ila dmx alivyofeli form2 kidogo alipunguza utata..unakumbuka sekeseke la kuwapiga makonda baada ya kufariki yule dogo wa form1..sijui tulikuwa form 3 vile au form..sikumbuki vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani tulikuwa form 3. Yes ni kweli kijana alipofeli form 2 alipunguza utata kidogo mana jina lilikuwa kubwa mwili mdogo.
 
Nimesoma na deus kaseke &Walter chilambo s/m jitegemee mbeya, deusi alikuwa mtundu mno comedy nyingi ukae naye usicheke utakuwa na
matatizo,alikuwa anapenda kunionea[emoji30]kipaji cha kucheza mpira..
Walter alikuwa anapendwa na wasichana hatarii..yaani ukiwa naye hee unajiona wewe ndo queen wa darasa[emoji1787] hadi walimu walikuwa wanampenda alikuwa na nyota ya kupendwa

Sent using Jamii Forums mobile app
wewe nzovwe,kalobe au halengo unatokea
 
Wengine tumesona na Kinjekitile Ngwale enzi za vita vya MajiMaji.

For real ninesoma na Diplomatz na Y Thang wa Kwanza Unit Tambaza.


Sent using Jamii Forums mobile app
Teh! teh! wazee wa Tamba Clan. Mkuu kiranga kwenye ule uzi wa vurugu za tambaza, ulipokuwa unamuelezea Puza fala ulinikumbusha mbali sana. Nakumbuka ilikuwa mwaka 1993 au 1994 hivi nilikuwa na miaka kama 6 hivi, baada ya kutokea zile vurugu kuna mwanafunzi mmoja wa Tamba Boys alikimbizwa na polisi akaja akakimbilia kwa dada yake maeneo ya ilala. Akaingia ndani akajifungia akajificha juu ya dali. Basi wazee walikuja wakavunja mlango wakampandia huko huko wakaondoka naye. Nikikumbuka huwa nacheka sana.
 
Teh! teh! wazee wa Tamba Clan. Mkuu kiranga kwenye ule uzi wa vurugu za tambaza, ulipokuwa unamuelezea Puza fala ulinikumbusha mbali sana. Nakumbuka ilikuwa mwaka 1993 au 1994 hivi nilikuwa na miaka kama 6 hivi, baada ya kutokea zile vurugu kuna mwanafunzi mmoja wa Tamba Boys alikimbizwa na polisi akaja akakimbilia kwa dada yake maeneo ya ilala. Akaingia ndani akajifungia akajificha juu ya dali. Basi wazee walikuja wakavunja mlango wakampandia huko huko wakaondoka naye. Nikikumbuka huwa nacheka sana.
Tulikuwa na fujo sana.

Sasa hivi watu madaktari, mainjinia, wachungaji, watu wa familia...

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Back
Top Bottom