uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,679
- 4,283
Kama unaenda kwa sunga.sio center paleLabda miono ndani ndani hukooo lakini pale karibu Sasa kwa hiyo bei itamlazimu afunge na kuomba na kuwapiga upofu na dhiki wamiliki wauze Bei aitakayo.
Kule mbele ya miono maeneo ya Mandamazingara kwenyewe kumeshapanda vile barabara ya east Afrika yapita hapo.
Msamehe sio kosa lake ni kosa la exposure.1,000,000 heka 10 pwani?
Yah uzi mzuri, mimi niko Dodoma ninahiaji kiwanja cha bei rahisi pia kwa ajili ya ,makaziHello wanajukwaa,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Naomba tupeane connection za maeneo ambayo kuna viwanja au mashamba makubwa kwa bei nafuu kwaajili ya uwekezaji au ujenzi.
Mimi binafsi niko Dar, natamani sana kupata eneo au shamba lenye rutuba nzuri angalau ekari 10 pembezoni mwa jiji au katika mkoa wa Pwani kwa gharama ya wastani wa milioni moja (1,000,000Tsh) ili nikajichimbie huko nilime na kufuga. Maeneo ninayopendelea ni kama Kisarawe, Chanika (ndanindani huko), Bagamoyo, Wilaya ya Kibaya, Mkuranga n.k.
Asanteni
Budget yako milion ngapi?Yah uzi mzuri, mimi niko Dodoma ninahiaji kiwanja cha bei rahisi pia kwa ajili ya ,makazi
Wapi huko mkuu?Nilishanunua ekari 6na nusu kwa laki 3 so maeneo yapo
Share experience yako kwa hapo miono mkuu. Tunaweza kujifunza na sisi pia tusiopajuaLabda miono ndani ndani hukooo lakini pale karibu Sasa kwa hiyo bei itamlazimu afunge na kuomba na kuwapiga upofu na dhiki wamiliki wauze Bei aitakayo.
Kule mbele ya miono maeneo ya Mandamazingara kwenyewe kumeshapanda vile barabara ya east Afrika yapita hapo.
Hello wanajukwaa,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Naomba tupeane connection za maeneo ambayo kuna viwanja au mashamba makubwa kwa bei nafuu kwaajili ya uwekezaji au ujenzi.
Mimi binafsi niko Dar, natamani sana kupata eneo au shamba lenye rutuba nzuri angalau ekari 10 pembezoni mwa jiji au katika mkoa wa Pwani kwa gharama ya wastani wa milioni moja (1,000,000Tsh) ili nikajichimbie huko nilime na kufuga. Maeneo ninayopendelea ni kama Kisarawe, Chanika (ndanindani huko), Bagamoyo, Wilaya ya Kibaya, Mkuranga n.k.
Asanteni
Mimi ninalo lipo Mkoa wa Tanga nje kidogo ya jiji , eneo makorola kama upo tayari nitafute.Hello wanajukwaa,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Naomba tupeane connection za maeneo ambayo kuna viwanja au mashamba makubwa kwa bei nafuu kwaajili ya uwekezaji au ujenzi.
Mimi binafsi niko Dar, natamani sana kupata eneo au shamba lenye rutuba nzuri angalau ekari 10 pembezoni mwa jiji au katika mkoa wa Pwani kwa gharama ya wastani wa milioni moja (1,000,000Tsh) ili nikajichimbie huko nilime na kufuga. Maeneo ninayopendelea ni kama Kisarawe, Chanika (ndanindani huko), Bagamoyo, Wilaya ya Kibaya, Mkuranga n.k.
Asanteni
Kabuku iko wapi?Shamba ekari 10 lipo Kabuku, umbali boda 1k. Pazuri kulima mazao mbalimbali, wengine wameanza kulima Mkonge linauzwa 4ml Tzs
Aje MKAMBANdio mkuu kuna vijiji mkuranga ndanindani huko kuna mashamba nasikia yanauzwa mpama 100k kwa ekari moja, sina idea ni kijiji gani nilisikia kwa watu sehem ambapo sikupata mda wa kuwadadisi
Ukifanikiwa kupata tujuzane ili na sisi tujiungeHello wanajukwaa,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Naomba tupeane connection za maeneo ambayo kuna viwanja au mashamba makubwa kwa bei nafuu kwaajili ya uwekezaji au ujenzi.
Mimi binafsi niko Dar, natamani sana kupata eneo au shamba lenye rutuba nzuri angalau ekari 10 pembezoni mwa jiji au katika mkoa wa Pwani kwa gharama ya wastani wa milioni moja (1,000,000Tsh) ili nikajichimbie huko nilime na kufuga. Maeneo ninayopendelea ni kama Kisarawe, Chanika (ndanindani huko), Bagamoyo, Wilaya ya Kibaya, Mkuranga n.k.
Asanteni
Kabuku iko wapi?
Kunafikikaje huko?mashamba bei gani?Aje MKAMBA