Tupeane connection za mashamba/viwanja vya gharama nafuu

Tupeane connection za mashamba/viwanja vya gharama nafuu

Labda miono ndani ndani hukooo lakini pale karibu Sasa kwa hiyo bei itamlazimu afunge na kuomba na kuwapiga upofu na dhiki wamiliki wauze Bei aitakayo.

Kule mbele ya miono maeneo ya Mandamazingara kwenyewe kumeshapanda vile barabara ya east Afrika yapita hapo.
Kama unaenda kwa sunga.sio center pale
 
Hello wanajukwaa,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Naomba tupeane connection za maeneo ambayo kuna viwanja au mashamba makubwa kwa bei nafuu kwaajili ya uwekezaji au ujenzi.

Mimi binafsi niko Dar, natamani sana kupata eneo au shamba lenye rutuba nzuri angalau ekari 10 pembezoni mwa jiji au katika mkoa wa Pwani kwa gharama ya wastani wa milioni moja (1,000,000Tsh) ili nikajichimbie huko nilime na kufuga. Maeneo ninayopendelea ni kama Kisarawe, Chanika (ndanindani huko), Bagamoyo, Wilaya ya Kibaya, Mkuranga n.k.

Asanteni
Yah uzi mzuri, mimi niko Dodoma ninahiaji kiwanja cha bei rahisi pia kwa ajili ya ,makazi
 
Labda miono ndani ndani hukooo lakini pale karibu Sasa kwa hiyo bei itamlazimu afunge na kuomba na kuwapiga upofu na dhiki wamiliki wauze Bei aitakayo.

Kule mbele ya miono maeneo ya Mandamazingara kwenyewe kumeshapanda vile barabara ya east Afrika yapita hapo.
Share experience yako kwa hapo miono mkuu. Tunaweza kujifunza na sisi pia tusiopajua
 
Hello wanajukwaa,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Naomba tupeane connection za maeneo ambayo kuna viwanja au mashamba makubwa kwa bei nafuu kwaajili ya uwekezaji au ujenzi.

Mimi binafsi niko Dar, natamani sana kupata eneo au shamba lenye rutuba nzuri angalau ekari 10 pembezoni mwa jiji au katika mkoa wa Pwani kwa gharama ya wastani wa milioni moja (1,000,000Tsh) ili nikajichimbie huko nilime na kufuga. Maeneo ninayopendelea ni kama Kisarawe, Chanika (ndanindani huko), Bagamoyo, Wilaya ya Kibaya, Mkuranga n.k.

Asanteni

Nenda kisiju huko ni wilayani mkuranga..! Maeneo yapo mengi sanaa huko with a very fertile land
 
Hello wanajukwaa,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Naomba tupeane connection za maeneo ambayo kuna viwanja au mashamba makubwa kwa bei nafuu kwaajili ya uwekezaji au ujenzi.

Mimi binafsi niko Dar, natamani sana kupata eneo au shamba lenye rutuba nzuri angalau ekari 10 pembezoni mwa jiji au katika mkoa wa Pwani kwa gharama ya wastani wa milioni moja (1,000,000Tsh) ili nikajichimbie huko nilime na kufuga. Maeneo ninayopendelea ni kama Kisarawe, Chanika (ndanindani huko), Bagamoyo, Wilaya ya Kibaya, Mkuranga n.k.

Asanteni
Mimi ninalo lipo Mkoa wa Tanga nje kidogo ya jiji , eneo makorola kama upo tayari nitafute.
 
Hello wanajukwaa,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Naomba tupeane connection za maeneo ambayo kuna viwanja au mashamba makubwa kwa bei nafuu kwaajili ya uwekezaji au ujenzi.

Mimi binafsi niko Dar, natamani sana kupata eneo au shamba lenye rutuba nzuri angalau ekari 10 pembezoni mwa jiji au katika mkoa wa Pwani kwa gharama ya wastani wa milioni moja (1,000,000Tsh) ili nikajichimbie huko nilime na kufuga. Maeneo ninayopendelea ni kama Kisarawe, Chanika (ndanindani huko), Bagamoyo, Wilaya ya Kibaya, Mkuranga n.k.

Asanteni
Ukifanikiwa kupata tujuzane ili na sisi tujiunge
 
Ila wakuu kuna hector na acre si ndiyo?
 
Back
Top Bottom