Daah hakika ushukuriwe mkuu ulianzisha huu uzi hatimaye nimeweza kuitumia VLOOKUP kwa kutafuta grades View attachment 439524[/QUOT
Mkuu,
Unapotumia VLOOKUP function, epuka kutumia TRUE mwishoni mwa formula na daima tumia FALSE. 'Option' ya TRUE huwa inatafuta kile unachokitaka na kama itakikosa, basi itakuletea kinachoelekeana na ulichokuwa unatafuta wakati 'option' ya FALSE itakuletea kile tu unatafuta na kama hakipo Excel itakufahamisha kuwa hakipo
Karibu tena.
Ziko kwenye excel or word
Kama ziko kwenye word fanya hivi:-
1. Insert>header> sasa kwenye header utachagua uandike kichwa cha habari na kinaonekana kila page
Ahsante mkuu ila ipo kwenye excel na nimetengeneza kitu kama kichwa cha habar kwenye kila column ambazo ninatumia kama reference ya kuingiza data so nikiprint inatoka page ya kwanza tu page zingine zinaleta data bila kua na column yenye kichwa cha habariZiko kwenye excel or word
Kama ziko kwenye word fanya hivi:-
1. Insert>header> sasa kwenye header utachagua uandike kichwa cha habari na kinaonekana kila page
Hilo group najiunga vp?Kuna video nimeitengeneza kule Kwenye Group... Nitazidi kuelezea endelea kufuatilia
Hilo group najiunga vp?
Ingia playstore download telegram then ingia kwenye hii link Excel/SpreadsheetsTZHilo group najiunga vp?
Ahsanteh mkuu na hii z sore hpo kwenye video kwa group ina kazi gani ni kufanya standardization au ni vipi maan nmeona kuna mtu alikuwa ana 48 ikaja 40 sasa je ni kazi yake kupunguza tu au na kuongeza ebu nichambulie hapo mkuu upande wa z score
MKuu haujanijibu swalilangu umemjibu mkuu hapo juu labda tuanzena hii picha nashindwa kutafuta z-score ya kila mwanafunzi kwa masomo kumi na moja hapa angalia. Na hii 10z+50 ndo ilivyo costant mkuu katika kufanya standardization au vipi mkuu?Zote zipo kwenye kudni moja la Spreadsheets... tofauti ni ndogo sana mfano hizo za google sheets lazima uwe online ndio ufanye kazi na Excel ya Microsoft sio lazima
OkAhsante mkuu ila ipo kwenye excel na nimetengeneza kitu kama kichwa cha habar kwenye kila column ambazo ninatumia kama reference ya kuingiza data so nikiprint inatoka page ya kwanza tu page zingine zinaleta data bila kua na column yenye kichwa cha habari
Napenda kutoa pongezi za dhati kwa bw. Ethos kwa msaada anaotupatia nilikuwa kapa kwenye kutumia Program jedwali lakini kwa msaada wake hadi sasa hv nimepata ABC Kuhusu exel. Mungu akuzidishie moyo wa majitoleo uzidi kutuelimisha.
z score hutumiwa na walimu ku standardize alama za kila somo...hapo unatakiwa ufanye separately... 10z+50 hiyo nimepewa na mdau wa Elimu wakati anauliza swali lake ndugu Ta CastorM
MKuu haujanijibu swalilangu umemjibu mkuu hapo juu labda tuanzena hii picha nashindwa kutafuta z-score ya kila mwanafunzi kwa masomo kumi na moja hapa angalia. Na hii 10z+50 ndo ilivyo costant mkuu katika kufanya standardization au vipi mkuu?
View attachment 441006
Nataka hiyo column ya site id, site name itokee kila page nitakayoprintOk
Nenda
Insert> header & footer kisha chagua footer
Kama mimi nimeandika "Baba wa Mapaka" hivyo hiyo itajitokeza kila page.
Thanks
Mkuu kwa mara nyingine naomba mwongozo wa jinsi kurekebisha alama za watahiniwa katika somo la JIOGRAFIA I mean z-score kwa kutumia ms exelView attachment 439828