Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes ni Kweli.. Google Sheet Kwenye simu ina changamoto kidogo... Hasa Aina ya simu pia... Kwenye Tablet inakuwa rahisi zaidi ila usikate tamaa..Mkuu Ethos ninakufuatilia kwa karibu zaidi, nipo na telegram pia ila kutumia Google sheet naona kuna changamoto ya user friendleness hasa kuselect items zinazoinvolve table nzima kama unatumia simu
Yes ni Kweli.. Google Sheet Kwenye simu ina changamoto kidogo... Hasa Aina ya simu pia... Kwenye Tablet inakuwa rahisi zaidi ila usikate tamaa..
Ukipata muda kidogo Kwenye Computer endelea kujifunza
Asante Kwa Swali lako zuri ambalo litafanya na wengine wajifunzeSamahani Ethos nataka kujua, Nina document yangu ipo kwenye Excel lakini nikiprint haziji na page namba, nataka kujua kuweka page namba kwenye Excel ili niki print na page namba zitokee.
Mkuu hiyo financial statement inapatikana kwa simu?TIP OF THE DAY :
Tumia Google Sheet Kwenye simu yako sio lazima. Uwe na Computer
Ingia play store andika Google Sheets halafu pakua..
Anza kufuatilia vitu vidogo vidogo wadau wanavyouliza hapa hata kama ukiwa safarini au kijiweni unapiga story..
Waswahili wanasema haba na haba hujaza kibaba...
Ukisha ipakue Kuna templates ambazo zimeshatengenezwa unaweza ukacheza nazo kupata maujuzi pia..
Kuna ya Calendar, Attendance Kwa walimu na hata Financial Statements Kwa wahasibu
Nitazielezea huko mbeleni
Enjoy!
Mkuu msaada kwenye hii kitu hapo ili kufanya jumla ya bei iwe hapo chi na jumla ya mauzo na jinsi ya kuweka TZS katika hizo hela hapo kwa kutumia kanuni mkuu,ahsantehKuna video nimeitengeneza kule Kwenye Group... Nitazidi kuelezea endelea kufuatilia
Hapo chini mwisho kabisa andikaMkuu msaada kwenye hii kitu hapo ili kufanya jumla ya bei iwe hapo chi na jumla ya mauzo na jinsi ya kuweka TZS katika hizo hela hapo kwa kutumia kanuni mkuu,ahsantehView attachment 437887
Nikifanya hivo mkuu inanipa jibu 0Hapo chini mwisho kabisa andika
=SUM (E3:E8)
Hapo sawa mkuu...naomba na mimi niunge mkuuNimekuwa nikipokea PM nyingi.. Kutokana na kubanwa na Majukumu mengine itakuwa sio rahisi kuwasiliana na mtu Kwenye simu...
Tutumie uzi huu kuuliza maswali na pia hakikisha upo kwenye Group la telegram ambapo nitaweka video fupi mara Kwa mara ili kurahisisha uelewa...
Asanteni sana!