Tupeane maujanja ya Excel

Tupeane maujanja ya Excel

Learn programming, specifically Visual Basic for Applications (Excel VBA). Andika macros for any problem you want automated. Utaonekana mchawi mbona....
Ni idea nzuri... Tutagusia huko mbeleni
 
mkuu hapo kwenye E11 andika =VLOOKUP(A10,A1😀8,4,FALSE)
b1678bfd32b3600d1b88da01eae20052.jpg
 
mkuu hapo kwenye E11 andika =VLOOKUP(A10,A1:E8,4,FALSE)
 
Naomba kuuliza nawezaje kuandaa division ya mwanafunzi kwa kutumia grade? Mfano division I,II,III,IV,FLD
Swali zuri sana...

Endelea kufuatilia... Naanda video yake... Kuna vitu vingi vya kufanya Kwa pamoja
 
Naombeni msaada wakuu nataka 23.33 roundoff ije 24 na c 23
 
Wadau,

Kujua Excel Spreadsheets ni muhimu sana...

Tunaweza tukashirikishana tricks mbalimbali katika Excel hapa ili tujifunze wote..

Unaweza pandishwa CHEO au Kupata kazi kirahisi Kwa kujua EXCEL vizuri.. Watanzania wengi udhaifu wao upo hapo.. So Unaifanya WEAKNESS hiyo kuwa Strength kwako.Kwenye Ofisi yeyote mtu ambaye haogopi excel huwa anaonekana ni kichwa sana.. unaweza pia ukamvutia bosi wako kama utaijua kumshinda yeye na atakufanya rafiki yako ili usimuumbue...

Kwenye Interview ndio utawamaliza kabisa ..ukikutana na viherehere wakakuchokoza hapo ndio unawaonesha ujuzi wako wote... wengi huwa hawaijui kwasababu ya uvivu... Kwa hiyo usiogope..Niliwahi ulizwa swali na panelist kwenye Interview nikaenda deep mpaka akaogopa maana kuna vitu alikuwa havijui na yeye akaamua apotezee hilo swali akarukia kitu kingine kukwepa aibu..

Weka Trick yako hapo chini ili wengine wafaidi au kama unaswali uliza nitakujibu mimi au wadau wengine...

Ingependeza sana pale unapokwama uulize swali hapa.. Ili tujadiliane vitu ambavyo ni useful katika mazingira yetu ya shule au kazini...

Dunia ya sasa sio lazima uende darasani.. Unaweza tumia muda wako na MB zako vizuri mtandaoni na ukaongeza Ujuzi polepole

**Kama unatafuta kazi na umeandika Kwenye CV kwamba una ujuzi na Excel fuatilia huu uzi na group uwe updated na vitu mbalimbali ili usije umbuka siku ukiwa unafanya written au Oral Interview

** Nitakuwa naelezea Common questions ambazo waajiri hupenda kuuliza kukupima uelewa wako katika Spreadsheets.. Ni Muda na MB zako tu.. Sihitaji kingine...

Please NOTE

** Usiulize kitu unachokijua kupima watu Bali andika trick unayoijua ili wengine wafaidi na kama unaswali ULIZA wataalam tutakusaidia



PS:
Kama upo Telegram unaweza Ingia Kwenye Public Channel ipo hapo chini Kwa vitu ambavyo haviwezekani kuelezewa hapa vizuri..Kama video na files. Ni public channel ya kusoma na Sio sehemu ya chatting!


gonga hapo >>>> Excel/SpreadsheetsTZ

Naomba kuwasilisha!

Ethos
Mada nzuri sana
 
Mkuu Ethos naomba msaada, zile number nilivyosplit denominator na numerator nikifanya average ya hizo number inanigomea
 
Mkuu Ethos naomba msaada, zile number nilivyosplit denominator na numerator nikifanya average ya hizo number inanigomea
Fanya Avarage yake mwishoni chini...

=AV(A1:A100)
 
Pia kwa mfano kwenye hiyo screenshot hapo juu post [HASHTAG]#357[/HASHTAG] hapo kwenye column c nataka niweke actual age but nikiweka formula nikipata majibu mawili ninavyohighlist nidrug zilete majibu ya hizo nyingine za chini inacalculate tofauti cjui kwa nin
 
Back
Top Bottom