Ndiyo maana niliapa kuwa sintokuja kuoa
Kweli nimeamini, kila mtu anapewa kutokana na uwezo wake wa kustahamili mambo. Katika vitu vinanikera ni kuishi na mtu wa aina hiyo, utatamani kuhama nyumba coz hakuna amani. Yaani kuangalia tu TV iwe nongwa, au kulalama tu ovyo kwa kila utendalo..mmmh...
..I thank God for giving me such a humble woman...! Hanaga ujinga wa kitoto kitoto...
mlie mkuyati alafu umfanye mapenzi siku nzima alafu uone kama ana tatizo lingine , labda kiu ya penzi alafu anashindwa tu kusema ,,
Cha ajabu wanaume wenye wanawake visokolokwinyo namna hiyo wanakuaga na upendo nao hawafurukuti he he he ila wenye wake wenye nidhamu na vyeti vya nidhamu kabatini wanaruka ruka kama popcorn pole sana....solution kubwa ni kuget busy na mambo mengine as long as ushamjua tabia yake usimpe attention kiivo huu ni nusu ya ushauri nusu nyingine nakupm
Mbona dawa yao ndogo tu. Tengeneza kifaa kinachofanana na mwiko kifiche mahali.
Akianza kulalama ww usimjibu kuwa kimya tu, kama anandelea kuongea ww nenda sehem ulipouficha ule mwiko. Uchukue taratiibu halafu msogelee huku ukiwa umeuficha. Akiwa anaendelea kulalama utoe huo mwiko mtandike nao huko kwenye kimdomo chake hasa mashavuni zibua kama mara tatu huku ukiwa kimya bila kuongea kitu. Utamwona baada ya wiki harudii. Haina hata ya kurumbana na wanawake wa aina hyo hao n kipigo tu
dini hairuhusu kabisa aisee halafu anasema akiondoka kukimshinda atakuja kuomba msamaha, hivyo hata ukitimua kuna kurudi. Kikubwa labda kutimuliwa mbele ya mashahidi.
Amen, nawe utafute sasa...hii safi sana.Glory be to Almighty God. Muendelee vyema
Unampenda na anajua ndo maana anaku-control, simama kama mwanaume i.e. kama unaangalia TV-taarifa ya habari akisema anataka kuangalia filamu n.k mwambie naangalia taarifa ya habari(short n clear) akianza kulalama mwambie afunge mdomo aache ubinafsi.
Akisema anaenda kwao mwambie aende(nakuhakikishia hataenda, na akienda hatakaa!!! )
Mungu alipotuambia tuishi nao kwa akili alikuwa na maana kubwa sana ambayo bahati mbaya wengi wetu hatuijui.
Pole Sana Mkuu Unahitaji Hekima Na Busara Ya Ziada Kuishi Na huyo Mtu maadam umemuelewa Alivyo
Pia jaribu Muwe mnahudhuria Kwenye Semina Za wanandoa may be zinaweza mbadilisha
Mbona dawa yao ndogo tu. Tengeneza kifaa kinachofanana na mwiko kifiche mahali.
Akianza kulalama ww usimjibu kuwa kimya tu, kama anandelea kuongea ww nenda sehem ulipouficha ule mwiko. Uchukue taratiibu halafu msogelee huku ukiwa umeuficha. Akiwa anaendelea kulalama utoe huo mwiko mtandike nao huko kwenye kimdomo chake hasa mashavuni zibua kama mara tatu huku ukiwa kimya bila kuongea kitu. Utamwona baada ya wiki harudii. Haina hata ya kurumbana na wanawake wa aina hyo hao n kipigo tu
Wapi kwenye biblia? Nimependa huo mstari Mkuu....