Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #101
Nilikuwa nikipata kiu, nagonga tule tumaji tuchunguKwa tuliozoea kunywa maji bas kiu cha soda sijui kitatoka wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa nikipata kiu, nagonga tule tumaji tuchunguKwa tuliozoea kunywa maji bas kiu cha soda sijui kitatoka wapi?
😂🚶🚶Nilikuwa nikipata kiu, nagonga tule tumaji tuchungu
🥃🥃
Epuka kakaa vijiwe vya wanywa soda, wekeza kwenye matunda na tangawiziWatu wengi sana wanapambana na uraibu wa sigara, pombe na madawa ya kulevya. Lakini wakishaushinda uraibu huo hujikuta wameangukia kwenye uraibu mwingine hatari lakini usio ongelewa. Uraibu huo sio mwingine ila unywaji wa soda, hasa mazingira yenye joto kama mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Tanga , Lindi na Mtwara
Soda hasa za Pepsi na Coca Cola (baridiiiiii) hushuka vizuri sana kipindi cha joto kali. Ubaridi, usukari na ladha ya kupurudisha huleta msisimko fulani amazing mwilini. Msisimko huu ukikunogea unakufanya uwe teja wa soda.
Wengi walioacha kunywa pombe hujikuta wanaangukia kwenye urahibu huu na kuwa mateja kabisa.
Tupeane mbinu mbalimbali za kuushinda urahibu wa soda, maana rafiki yangu baada ya kuacha pombe sasa kwa siku ni lazima agonge Pepsi baridi tatu, anasema yeye bila Pepsi siku haijaisha.
Endelea kula ili ufeKitu kingine kitimoto yaan nisipokula siku yabgu haiendi. Mpaka nimepima nimekutwa na mafuta mengi kwenye damu naiogopa sasa hivi
Na alkasusi au sio jombaa?Epuka kakaa vijiwe vya wanywa soda, wekeza kwenye matunda na tangawizi