HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Uongopespsi na coca zinaleta ugonjwa wa kisukari
Uongo
Uongoo bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongopespsi na coca zinaleta ugonjwa wa kisukari
kama hamna fridge? maana kununua maji naonaga hasaraKunywa maji ya baridi sana kila mara unapopata hamu ya soda,fanya hivo kila siku baada ya mwezi mmoja njoo ulete mrejesho.
unaweza ukapata na bado ukanywa , mfano mimiUkianza kupata stomach burns utaacha hivo vitu mwenyew
ugali?? 🤣🤣🤣 yani mimi nikila ugali ndo natafuta soda iliko yani vinarandana sana hasa nikila vitu vya michuzi, naonaga pepsi inakata shombo1)Akikisha chakula chako kikuu kiwe ugali,hapo soda kwisha habari yake. ugali ni adui namba moja wa kinywaji cha soda
2) asilimia 80% ya kiu au hamu ya soda tunayo pata siyo ya kweli ...kama ukipata kiu au hamu ya soda basi kabla ya kunywa soda kunywa maji kwanza kisha ukiona hamu ya soda bado ipo ndipo nunua soda unywe, very simple and perfect method [emoji108] it work 100%
🤣tena ukila vitu vya michuzi kuna kqshombo flani unajiskia kama ukakate na pepsiMimi nikimaliza kula ugali ndo napata kiu ya Pepsi balaa ili nisukumizie ukae sawa
Kila kitu kikizidi ni hatariNikuambie kitu, hata maji haya maji yanayotiririka ukiyazidisha mwilini yanaleta athari kubwa tu. Nina bro wangu yeye alikuwa anakunywa hadi lita 5 kwa siku, siku akajisikia vibaya, kwenda hospital akaambiwa apunguze unywaji wa maji, asizidishe lita 3, hasa ukizingatia anakaa sana zaido ya kutembea.
Kunywa juisi ya makataperaj
Ngoja nijaribu hii njia iasee nimeshindwa kabisa kuacha kunywa pepsi
🤣🤣 au komoniKunywa juisi ya makatapera
Unayafahamu Mangubwisya?🤣🤣 au komoni
Muwe mnaweka na vithibitisho na vyanzo vyake ili kupunguza mijadala.Soda ni hatari kwa kuleta kisukari hasa fanta orange na milinda zote
dah umenikumbusha mbali haya matunda nayajua yanaota pembeni ya mito ila siku sidhani kama yapoUnayafahamu Mangubwisya?
Dawa hii hapa kakaWatu wengi sana wanapambana na uraibu wa sigara, pombe na madawa ya kulevya. Lakini wakishaushinda uraibu huo hujikuta wameangukia kwenye uraibu mwingine hatari lakini usio ongelewa. Uraibu huo sio mwingine ila unywaji wa soda, hasa mazingira yenye joto kama mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Tanga , Lindi na Mtwara
Soda hasa za Pepsi na Coca Cola (baridiiiiii) hushuka vizuri sana kipindi cha joto kali. Ubaridi, usukari na ladha ya kupurudisha huleta msisimko fulani amazing mwilini. Msisimko huu ukikunogea unakufanya uwe teja wa soda.
Wengi walioacha kunywa pombe hujikuta wanaangukia kwenye urahibu huu na kuwa mateja kabisa.
Tupeane mbinu mbalimbali za kuushinda urahibu wa soda, maana rafiki yangu baada ya kuacha pombe sasa kwa siku ni lazima agonge Pepsi baridi tatu, anasema yeye bila Pepsi siku haijaisha.
Angalia mboga unayotumia kulia ugali ...ndimu au limao ni muhimu kwenye mboga ya ugali au kachumbali yenye ndimu au limaoMimi nikimaliza kula ugali ndo napata kiu ya Pepsi balaa ili nisukumizie ukae sawa
Hauhitajiki uthibitisho wowote ule mkuu,wewe piga zako soda bariiiiidi bila shida yoyote.Muwe mnaweka na vithibitisho na vyanzo vyake ili kupunguza mijadala.
Kwa hiyo nami nikiibuka na hoja kuwa kufanya mapenzi kuna madhara, bila kumbatisha "tabu zake", ndonakuwa nimemaliza?
Kumbe jibu langu linakufaa nimekujibu kabla ya kuona hii komenti utakuta jibu mapishi mabovu ugali viendane na mapishi sahihi ya mboga ndimu au limao ni muhimu na kachumbalikama hamna fridge? maana kununua maji naonaga hasara
unaweza ukapata na bado ukanywa , mfano mimi
ugali?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani mimi nikila ugali ndo natafuta soda iliko yani vinarandana sana hasa nikila vitu vya michuzi, naonaga pepsi inakata shombo
[emoji1787]tena ukila vitu vya michuzi kuna kqshombo flani unajiskia kama ukakate na pepsi
Ubahili kaka hahahaWewe labda unakisukari au ni ubahili ndiyo imekufanya hivyo [emoji1787][emoji1787]
Mkuu Bujibuji nimejifunza neno jipya la kiswahili leo urahibu. Kumbe ndo addiction kwa kiingereza.Watu wengi sana wanapambana na uraibu wa sigara, pombe na madawa ya kulevya. Lakini wakishaushinda uraibu huo hujikuta wameangukia kwenye uraibu mwingine hatari lakini usio ongelewa. Uraibu huo sio mwingine ila unywaji wa soda, hasa mazingira yenye joto kama mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Tanga , Lindi na Mtwara
Soda hasa za Pepsi na Coca Cola (baridiiiiii) hushuka vizuri sana kipindi cha joto kali. Ubaridi, usukari na ladha ya kupurudisha huleta msisimko fulani amazing mwilini. Msisimko huu ukikunogea unakufanya uwe teja wa soda.
Wengi walioacha kunywa pombe hujikuta wanaangukia kwenye urahibu huu na kuwa mateja kabisa.
Tupeane mbinu mbalimbali za kuushinda urahibu wa soda, maana rafiki yangu baada ya kuacha pombe sasa kwa siku ni lazima agonge Pepsi baridi tatu, anasema yeye bila Pepsi siku haijaisha.
Hongera sana. Kujifunza hakuna mwisho mkuuMkuu Bujibuji nimejifunza neno jipya la kiswahili leo urahibu. Kumbe ndo addiction kwa kiingereza.