UNSPECIFIED
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 792
- 2,609
Wengine tupo kwenye mkwamo;
Jioni Jägermeister/Konyagi
Asubuhi soda.
Hatujaja kulinda Dunia
Jioni Jägermeister/Konyagi
Asubuhi soda.
Hatujaja kulinda Dunia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi niliamua tu, kuwa Sasa naacha soda, since 2003 till today soda NEHIWatu wengi sana wanapambana na uraibu wa sigara, pombe na madawa ya kulevya. Lakini wakishaushinda uraibu huo hujikuta wameangukia kwenye uraibu mwingine hatari lakini usio ongelewa. Uraibu huo sio mwingine ila unywaji wa soda, hasa mazingira yenye joto kama mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Tanga , Lindi na Mtwara
Soda hasa za Pepsi na Coca Cola (baridiiiiii) hushuka vizuri sana kipindi cha joto kali. Ubaridi, usukari na ladha ya kupurudisha huleta msisimko fulani amazing mwilini. Msisimko huu ukikunogea unakufanya uwe teja wa soda.
Wengi walioacha kunywa pombe hujikuta wanaangukia kwenye urahibu huu na kuwa mateja kabisa.
Tupeane mbinu mbalimbali za kuushinda urahibu wa soda, maana rafiki yangu baada ya kuacha pombe sasa kwa siku ni lazima agonge Pepsi baridi tatu, anasema yeye bila Pepsi siku haijaisha.
Hongera sanaMi niliamua tu, kuwa Sasa naacha soda, since 2003 till today soda NEHI
Mimi nikimaliza kula ugali ndo napata kiu ya Pepsi balaa ili nisukumizie ukae sawa1)Akikisha chakula chako kikuu kiwe ugali,hapo soda kwisha habari yake. ugali ni adui namba moja wa kinywaji cha soda
Tukimaliza masomo ya sekondari ama chuo bila kusomea kozi ya MD na kuwa wataalamu wa afya, saazingine tunaishi kitaa kwa kujishuku shuku sana na kujishitukia sana ujue!Watu wengi sana wanapambana na uraibu wa sigara, pombe na madawa ya kulevya. Lakini wakishaushinda uraibu huo hujikuta wameangukia kwenye uraibu mwingine hatari lakini usio ongelewa. Uraibu huo sio mwingine ila unywaji wa soda, hasa mazingira yenye joto kama mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Tanga , Lindi na Mtwara
Soda hasa za Pepsi na Coca Cola (baridiiiiii) hushuka vizuri sana kipindi cha joto kali. Ubaridi, usukari na ladha ya kupurudisha huleta msisimko fulani amazing mwilini. Msisimko huu ukikunogea unakufanya uwe teja wa soda.
Wengi walioacha kunywa pombe hujikuta wanaangukia kwenye urahibu huu na kuwa mateja kabisa.
Tupeane mbinu mbalimbali za kuushinda urahibu wa soda, maana rafiki yangu baada ya kuacha pombe sasa kwa siku ni lazima agonge Pepsi baridi tatu, anasema yeye bila Pepsi siku haijaisha.
Nikuambie kitu, hata maji haya maji yanayotiririka ukiyazidisha mwilini yanaleta athari kubwa tu. Nina bro wangu yeye alikuwa anakunywa hadi lita 5 kwa siku, siku akajisikia vibaya, kwenda hospital akaambiwa apunguze unywaji wa maji, asizidishe lita 3, hasa ukizingatia anakaa sana zaido ya kutembea.View attachment 2480410
Tujaribu kuhamia kwenye maji safi na salama yaliyoongezwa kipande cha limao 🍋 na chumvi ya mawe kodogo tu
Aisee1)Akikisha chakula chako kikuu kiwe ugali,hapo soda kwisha habari yake. ugali ni adui namba moja wa kinywaji cha soda
2) asilimia 80% ya kiu au hamu ya soda tunayo pata siyo ya kweli ...kama ukipata kiu au hamu ya soda basi kabla ya kunywa soda kunywa maji kwanza kisha ukiona hamu ya soda bado ipo ndipo nunua soda unywe, very simple and perfect method [emoji108] it work 100%