Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Lovely message!Drink beer save soda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lovely message!Drink beer save soda
kweli mimi imenisaidia sana hii method,1)Akikisha chakula chako kikuu kiwe ugali,hapo soda kwisha habari yake. ugali ni adui namba moja wa kinywaji cha soda
2) asilimia 80% ya kiu au hamu ya soda tunayo pata siyo ya kweli ...kama ukipata kiu au hamu ya soda basi kabla ya kunywa soda kunywa maji kwanza kisha ukiona hamu ya soda bado ipo ndipo nunua soda unywe ....very simple and perfect method [emoji108] it work 100%
Na mbadala wake iwe nini, guys sinywi bia, nakunywa wine mara moja sana, sinywi spirits au very rare. Sinywi juice za mo wala azam. Niambie niwe nakunywa nini!Huu ni uteja. Mbaya zaidi soda inauzwa bei ndogo sana
Na mbadala wake iwe nini, guys sinywi bia, nakunywa wine mara moja sana, sinywi spirits au very rare. Sinywi juice za mo wala azam. Niambie niwe nakunywa nini!
Na mbadala wake iwe nini, guys sinywi bia, nakunywa wine mara moja sana, sinywi spirits au very rare. Sinywi juice za mo wala azam. Niambie niwe nakunywa nini!
Tukiwa tunafanya mazoezi je itasaidia kupunguza athari?HFCS sukari bandia kazini plus sodium benzoate haponi mtu hasa wale wateja was kila siku.
Kwanini hadi tufike huko?Kunywa tu mpk pale utakapopigwa kisukari na kushindwa kudindisha, mbunye utazisikia kwny Bomba.
Hongera sanaNlikua mgonjwa wa kupenda soda ila nikiweza jidhibiti Kila nilipotamani soda nilikunywa maji namshukuru Mungu sahz nmeacha kabisa soda. Na hii ni baada ya kuwa na uzito mkubwa nikaogopa kuumwa
Akifuata huu ushauri kila siku atakuja kukuambia Koo linamuuma.Kunywa maji ya baridi sana kila mara unapopata hamu ya soda,fanya hivo kila siku baada ya mwezi mmoja njoo ulete mrejesho.
Drink beer serve mbunyeDrink beer save soda
Watu wengi sana wanapambana na uraibu wa sigara, pombe na madawa ya kulevya. Lakini wakishaushinda uraibu huo hujikuta wameangukia kwenye uraibu mwingine hatari lakini usio ongelewa. Uraibu huo sio mwingine ila unywaji wa soda, hasa mazingira yenye joto kama mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Tanga , Lindi na Mtwara
Soda hasa za Pepsi na Coca Cola (baridiiiiii) hushuka vizuri sana kipindi cha joto kali. Ubaridi, usukari na ladha ya kupurudisha huleta msisimko fulani amazing mwilini. Msisimko huu ukikunogea unakufanya uwe teja wa soda.
Wengi walioacha kunywa pombe hujikuta wanaangukia kwenye urahibu huu na kuwa mateja kabisa.
Tupeane mbinu mbalimbali za kuushinda urahibu wa soda, maana rafiki yangu baada ya kuacha pombe sasa kwa siku ni lazima agonge Pepsi baridi tatu, anasema yeye bila Pepsi siku haijaisha.
Soda gani ambayo haileti kisukari?pespsi na coca zinaleta ugonjwa wa kisukari
Ngoja nijaribu hii njia iasee nimeshindwa kabisa kuacha kunywa pepsiTujaribu kuhamia kwenye maji safi na salama yaliyoongezwa kipande cha limao 🍋 na chumvi ya mawe kodogo tu
Wengi mpk wafike huko ndio somo litaeleweka.Kwanini hadi tufike huko?
Taratibu uwezo wa mwili kujipambania dhidi ya magonjwa unapungua ndio Akina waumwa ini + Figo wanaanziaga huko.Tukiwa tunafanya mazoezi je itasaidia kupunguza athari?