X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
Siwezi kudanganya hulijui jeshi vizuri...!bro unavyosema utadhani ni kweli. milioni nne kwa ajili ya upongo, na anayetaka kukupatia naye ni pongo hawa wa mishahara ya laki saba bado pancha kibaaaao!?
bro unavyosema utadhani ni kweli. milioni nne kwa ajili ya upongo, na anayetaka kukupatia naye ni pongo hawa wa mishahara ya laki saba bado pancha kibaaaao!?
Siku Akiingia Kwenye System Ya Jeshi Au Serikalini Tu Nadhani AtaelewaSiwezi kudanganya hulijui jeshi vizuri...!
Sawa sawaHapana Nakazia Maarifa Mkuu... Mambo Yataenda Fresh Tu
Sisi tulitembea tuu mkuu tukiwa na binduki.. ila sasa tulitembea umbali mrefu.. pata picha mnatembea 11 mpaka sa tano mnapiga tea hapo mnatembea tena mpk sa 11 jioniNi kwata ama inakua Kuna nn uko porini hadi wanapaogopa sana duh
Kwa Mfano Intake Ya J3 Mchakato ulikuwa mrefu.... Ajira Zilitangazwa Mwezi Wa 12 Mwezi Wa 1 Katikati Hapo Usaili Kisha Post Za Awamu Ya Kwanza Kuitwa Kambini Zikatoka Mwezi Wa 4
SO MCHAKATO NI MREFU KIDJ3 ndo nn mkuu?
Kwamba Unataka kusema mwenye nyota mbili hana connection mpka kakutafuta ww?!!π€Hapana Mimi sikupata ila niliwahi kuwalia pesa watu kama 15 kwa nyakati tofauti tofauti hivi ambao nilimpigia simu MATANGA akawa sajili jeshiniππ...!
Hao jamaa Hadi Leo ni maaskari mwenye cheo kidogo ni sergeant...mmoja amefariki mwanzoni mwa mwaka huu alikuwa anaitwa inspector NYOMBI {R.I.P}
Hao mamwamba niliwapiga pesa wakajiunga na POLISI Hadi Leo wanaamini kuwa Mimi ni mtu mwenye cheo kikubwa sana kumbe nilikuwa natumia fursa ya MATANGA MBUSHI
Mwaka juzi Kuna mmoja kati ya hao alikuwa yupo teyari anipe 4 milioni ili nimuunganishie ndugu yakeπππ
Kama nilivyo muunganishia yeye na huyu jamaa ana nyota 2πππ
Nikamwambia tuu ukweli hivi sasa uwezo huo Sina nipo nje ya system πππ
Me Nachoamini Jeshini Mtu Anaweza Kuwa Na Cheo Kidogo Ila Akawa Na Influence/Ushawishi Mkubwa Sana Wa Wewe Kupata Ajira Ndani Ya System...K
Kwamba Unataka kusema mwenye nyota mbili hana connection mpka kakutafuta ww?!!π€
Yaaani naonaga wanazingua tuu...Me Nachoamini Jeshini Mtu Anaweza Kuwa Na Cheo Kidogo Ila Akawa Na Influence/Ushawishi Mkubwa Sana Wa Wewe Kupata Ajira Ndani Ya System...
Jeshini Usimdharau Mtu, Anaweza Kuwa Constable/Coplo Ila Anaweza Kukupa Connection Ya Ajira Kuliko Wenye Vyeo Vikubwa...
anakopesheka sh ngapi. marejesho watakata sh ngapi kwa mshahara kiduchu huoHakuna kazi yenye marupu rupu mengi kama POLISI...haswa POLISI nilie mzungumzia ana nyota 2 na mtu yeyote akisha kuwa serikalini hata kama ana lipwa 200,000/ ujue anakopesheka kwenye taasisi yoyote...!
Kaka za nn tena ukigoma auSisi tulitembea tuu mkuu tukiwa na binduki.. ila sasa tulitembea umbali mrefu.. pata picha mnatembea 11 mpaka sa tano mnapiga tea hapo mnatembea tena mpk sa 11 jioni
Jua kali na mnakua kwenye msururu bado huko njiani mnakutana na ambush... .
Fimbo zinatembea kinoma noma..
Siraha unakuta ni nzito wanataka ubebe bila kamba...
Maisha ya polini yalikua sio poa aisee kulala mda mchache..
Kaa yenu nyie ni ya kupiga goti moja assume tuu. Magoti inafikia kipindi yalikua yanauma mno
Fimbo za nn tena au mlikua mnagomaπSisi tulitembea tuu mkuu tukiwa na binduki.. ila sasa tulitembea umbali mrefu.. pata picha mnatembea 11 mpaka sa tano mnapiga tea hapo mnatembea tena mpk sa 11 jioni
Jua kali na mnakua kwenye msururu bado huko njiani mnakutana na ambush... .
Fimbo zinatembea kinoma noma..
Siraha unakuta ni nzito wanataka ubebe bila kamba...
Maisha ya polini yalikua sio poa aisee kulala mda mchache..
Kaa yenu nyie ni ya kupiga goti moja assume tuu. Magoti inafikia kipindi yalikua yanauma mno
Kuna mda mnaambiwa muwe mna kloo sasa kipindi mna kloo unakuta mpo wengi hvo wanachotakaa muwe fasta hvo hapo ndo fimbo zinapoanza wanaoshika fimbo ni wale service man.Dahv
Kaka za nn tena ukigoma au
Fimbo za nn tena au mlikua mnagomaπ
iyo ni jeshini au?Kuna mda mnaambiwa muwe mna kloo sasa kipindi mna kloo unakuta mpo wengi hvo wanachotakaa muwe fasta hvo hapo ndo fimbo zinapoanza wanaoshika fimbo ni wale service man.
Naposema fimbo sio vigongo hapana ila ni mikwaju ya kawaida tu ila kwa lile wenge mnakua mnaogopa sana.
Mda huo unafanya yote upo na binduki yako..
Sasa ole wako badae bunduki yako ikutwe haina kifaa fulani.. oyaa weeeh utajutra
Ndio mkuu JKT kule..... Ahahaha ndo mana nikasema kwenye ishu ya mazoezi mbona kama police wanafanana na ya kule jkt..H
iyo ni jeshini au?
K
Kwamba Unataka kusema mwenye nyota mbili hana connection mpka kakutafuta ww?!!π€
Ni hatar kwakweli vp kuhusu kuchimba mahandaki au hiyo kule hamnaKuna mda mnaambiwa muwe mna kloo sasa kipindi mna kloo unakuta mpo wengi hvo wanachotakaa muwe fasta hvo hapo ndo fimbo zinapoanza wanaoshika fimbo ni wale service man.
Naposema fimbo sio vigongo hapana ila ni mikwaju ya kawaida tu ila kwa lile wenge mnakua mnaogopa sana.
Mda huo unafanya yote upo na binduki yako..
Sasa ole wako badae bunduki yako ikutwe haina kifaa fulani.. oyaa weeeh utajutra
anakopesheka sh ngapi. marejesho watakata sh ngapi kwa mshahara kiduchu huo
Yapo watu wanne mnachimba mahandaki ya mfumo wa T au L mengine nimesahau ila hapo kwenye kuchimba ni shughuli maana kuna seh mu ngumu alafu mda wa kuchimba mchache.Ni hatar kwakweli vp kuhusu kuchimba mahandaki au hiyo kule hamna
Aisee ni atr πYapo watu wanne mnachimba mahandaki ya mfumo wa T au L mengine nimesahau ila hapo kwenye kuchimba ni shughuli maana kuna seh mu ngumu alafu mda wa kuchimba mchache.
Alafu wanapita kukagua hakuna kiumbe kuwa juu juu ahahah
Apo usiombe upangwe na wadada wote π€Aisee ni atr π
Me Nachoamini Jeshini Mtu Anaweza Kuwa Na Cheo Kidogo Ila Akawa Na Influence/Ushawishi Mkubwa Sana Wa Wewe Kupata Ajira Ndani Ya System...
Jeshini Usimdharau Mtu, Anaweza Kuwa Constable/Coplo Ila Anaweza Kukupa Connection Ya Ajira Kuliko Wenye Vyeo Vikubwa...