X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
Ndio mkuu JKT kule..... Ahahaha ndo mana nikasema kwenye ishu ya mazoezi mbona kama police wanafanana na ya kule jkt..
Maana kukimbia kule ni daily ili ule lazima upige rout kwanza
Mkuu kama ulikuepo aiseee yaani tulikua tuna maindi kukaa na mdada....Apo usiombe upangwe na wadada wote 🤔
Kawaida sana ila ishu ya kukimbia daah hiyo ndo ilikua hatari mkuu..Aisee ni atr 😁
Dah akiwa bonge apo ndo kimbembe duh we acha tuu sema uvumilivu muhimuMkuu kama ulikuepo aiseee yaani tulikua tuna maindi kukaa na mdada....
Yaani hata ile ya kubebana oyaa unakuta mnaambiwa detail change kama upo na mdada ahahaha utajuta
Yaaah uvumilivu muhimu...Dah akiwa bonge apo ndo kimbembe duh we acha tuu sema uvumilivu muhimu
Hamna waliokufa kwenye intake yenuKawaida sana ila ishu ya kukimbia daah hiyo ndo ilikua hatari mkuu..
Yaan usingizi mnanyimwa pluss kukimbia maisha yanakua magumu sana
Ya mahandaki au ya kubebanaYaaah uvumilivu muhimu...
Hivo huwa najiuliza kuna stage ngumu jeshini kama ile...?
Wapo ila akufa kwa sababu ya mazoezi ila ni ishu nyingine tuu.Hamna waliokufa kwenye intake yenu
Yaani ile ishu ya uzalendo, kuruta mpaka kuwa mgambo....Ya mahandaki au ya kubebana
Wanakimbia duhWapo ila akufa kwa sababu ya mazoezi ila ni ishu nyingine tuu.
Tena aliyekufa ni mmoja aliumwa utumbo mpana yule jamaa..
Ila waliotoroka ni wengi ahahah nilikua mchora ramani...
Yaan kwenye ramanj walinitegemea sana kwa wale ambao baada ya result wakakimbia
Me nikienda Bora ni kufa na kupona aise ila kukimbia hapana kwakweliWanakimbia duh
Yaaah wengi walitoroka...Wanakimbia duh
Ukiona mtu anakimbia jua kashajua kuwa pale anateseka tu hakuna kitu atapataMe nikienda Bora ni kufa na kupona aise ila kukimbia hapana kwakweli
Dah sema bro me napenda kichiz valangati za jeshi yaani ni kitu kipo moyoni kichiz Ila nikikumbuka Kua cpo sawa Kwa asilimia 100 dah nachokaa kabisaYaaah wengi walitoroka...
Kuna mwingine walimdaka aiseee alipewa doso
Mpaka kujua upo unfit itachukua mda sana mkuu...Dah sema bro me napenda kichiz valangati za jeshi yaani ni kitu kipo moyoni kichiz Ila nikikumbuka Kua cpo sawa Kwa asilimia 100 dah nachokaa kabisa
Unajua nn kuhusu nafas ya kuingia ni uhakika shida ni kwamba Kwasasa mgongo unanipa shida na alienambia atafanya Kila liwezekanalo niende ccp ckumwambia ila kiukweli Nina hof huenda ikawa ngumu kutoboa kule nikaoshia kati nikarud tenaMpaka kujua upo unfit itachukua mda sana mkuu...
So usiogope wala nn wee tulia tuingie mzigoni..
Kingine kule usije ukawa unajionesha kuwa upo na kitu flan wee komaa tuu
Kitu gani unazani kwako kitakua shida mkuu...?Unajua nn kuhusu nafas ya kuingia ni uhakika shida ni kwamba Kwasasa mgongo unanipa shida na alienambia atafanya Kila liwezekanalo niende ccp ckumwambia ila kiukweli Nina hof huenda ikawa ngumu kutoboa kule nikaoshia kati nikarud tena
Yeah ni hicho tuu ila kwata inaenda na hata kukimbia naweza nikaforceKitu gani unazani kwako kitakua shida mkuu...?
Kukimbia kwako ngumu..?
Yaaani matiz kama vile push up dah inakua kipengereYeah ni hicho tuu ila kwata inaenda na hata kukimbia naweza nikaforce
Basi usikhofu hakuna kipya kingine mkuu hapa ni ishu tuingie kwenye system ya maokoto tuu hvo kudoji pia kupo mkuuYeah ni hicho tuu ila kwata inaenda na hata kukimbia naweza nikaforce