Wabongo ni wajinga kweli, kama juzi kati kuna mTanzania mmoja nilikuwa nabishana nae, namuambia watoto wa matajiri wana akili kuliko watoto wa masikini kwa asilimia kubwa, na pia mtoto wa mtu mwenye uwezo kiuchumi ana exposure kubwa na pia probability ya maisha yake mbeleni kuja kuwa bora na asilimia za kutengeneza career yake ni kubwa.
mtu anabisha.
Namuambia hata uduni wa chakula tu unapelekea mtoto akili yake kuwa butu, inabidi ifike wakati wa Tanzania mfahamu kwamba umasikini sio sifa ni laana.
Unakuta mtu anampeleka mtoto shule ilimradi kisa na yeye alisomea huko, kama una uwezo hata kumpeleka mtoto shule ada yake ni Mil 12 kwa mwaka mpeleke mtoto, tuacheni ujinga.
Sehemu kubwa watoto wanapata marafiki huko na kuwa na connection.