Kama ni Mdau wa nyimbo muangalie huyu upcoming artist anaitwa treyzah ana nyimbo kali kinomaMiss bantu
Mimi nilianza kusoma posts za humu toka 2017 nikajoin twende twende tuNilijoin rasmi 2023, toka 2018 nasoma tu nacheka, nilikuwa siamini kama siku moja nitakuja kureply humu. Kwanza nilijua labda JamiiForums haipo tena duniani
Alafu zile simu zinaingia hadi facebook, mimi nilikuwa nasoma kwenye tekno T558 ya mzee natumia opera mini, nadownload na zile Jar games kama mission impossible III, gangster 5, splinter cell 4 double agent, Maya, zuma, rambo, MotoGP, real football, nimecheza sana nikiwa std 7 mpaka form two fundi simu aliuza simu yangu nilikuwa naipenda sana πDaah aisee tunatoka mbali mkuu, mimi nilianza na tecno t301 mkuu nikawa naingia pale internet service then naandika JAMIIFORUMS inasearch gugo naiona inaletwa pale naingia nasoma stry za akina gentamycine na akina deep pond japo naona siku hizi haandiki posts nikawa nasoma kama posts 4 hivi kisimu kimeisha chaji hapo mpka kesho mkuu ππππ
Daah mkuu kumbe unazijua hizo java games ππππAlafu zile simu zinaingia hadi facebook, mimi nilikuwa nasoma kwenye tekno T558 ya mzee natumia opera mini, nadownload na zile Jar games kama mission impossible III, gangster 5, splinter cell 4 double agent, Maya, zuma, rambo, MotoGP, real football, nimecheza sana nikiwa std 7 mpaka form two fundi simu aliuza simu yangu nilikuwa naipenda sana π
Mimi nacheza MpK leo assassins creed games kwenye hii simuAlafu zile simu zinaingia hadi facebook, mimi nilikuwa nasoma kwenye tekno T558 ya mzee natumia opera mini, nadownload na zile Jar games kama mission impossible III, gangster 5, splinter cell 4 double agent, Maya, zuma, rambo, MotoGP, real football, nimecheza sana nikiwa std 7 mpaka form two fundi simu aliuza simu yangu nilikuwa naipenda sana π
Sana, nimetumia sana www.waptrick.com huko ndiko nilijua hadi eBooks, asee utundu mwingi niliujulia kwenye ile simuDaah mkuu kumbe unazijua hizo java games ππππ
Mimi huwa natamani nipate tena simu zile zinazoinstall java games, ni download nikumbushie, ila sipati tu yaaniM
Mimi nacheza MpK leo assassins creed games kwenye hii simu
Waptrick Nimetumi Sana na dedomil mkuu sema saivi nipo nadownload games zile za java kwenye smartSana, nimetumia sana www.waptrick.com huko ndiko nilijua hadi eBooks, asee utundu mwingi niliujulia kwenye ile simu
Unaweza cheza yale magemu kwenye smart yako mkuuMimi huwa natamani nipate tena simu zile zinazoinstall java games, ni download nikumbushie, ila sipati tu yaani
Unatumiaje kwenye smart mzee? Nipe ujanjaWaptrick Nimetumi Sana na dedomil mkuu sema saivi nipo nadownload games zile za java kwenye smart
Niliwahi kusearch mtandaoni kipindi hicho kiingereza kinanipiga chenga, sikuelewa hata. Sijawahi tena kukumbuka kusearch aseeeUnaweza cheza yale magemu kwenye smart yako mkuu
unaingia plMimi huwa natamani nipate tena simu zile zinazoinstall java games, ni download nikumbushie, ila sipati tu yaani
Sema unaingia play store
afu unaandika j2me loader
afu unaidanlodi hiyo app
unaingia pl
Asee umenikumbusha mbali sana, sema hiyo dedomil ndo naiskia leo, nilizoeaga Waptrick lakini siku hizi inaleta maruerieUkishadownload j2me. Loader unaiacha ifanye install then unaingia dedomil. Net unasearch gemu ulitakalo likija basi unadownload screen size ya 240*340 basi ukiwa umewasha data unalinstall kupitia hiyo app mchezo kwishaaa
Yupo YouTube?Ka
Kama ni Mdau wa nyimbo muangalie huyu upcoming artist anaitwa treyzah ana nyimbo kali kinoma
Anayo moja inaitwa turn away nimependa alivoimba kwa hisia
Mzee wa wire tune πππ
Yes nenda gugo andika dedomil. Net ingia sehemu ya search games
Yes nenda gugo andika dedomil. Net ingia sehemu ya search games
Mimi nilikuwa natumia kudownload miziki na pilauWaptrick Nimetumi Sana na dedomil mkuu sema saivi nipo nadownload games zile za java kwenye smart