Tupia hapa maneno mazuri ya kumwambia umpendae

Tupia hapa maneno mazuri ya kumwambia umpendae

Nilijoin rasmi 2023, toka 2018 nasoma tu nacheka, nilikuwa siamini kama siku moja nitakuja kureply humu. Kwanza nilijua labda JamiiForums haipo tena duniani
Mimi nilianza kusoma posts za humu toka 2017 nikajoin twende twende tu
 
Daah aisee tunatoka mbali mkuu, mimi nilianza na tecno t301 mkuu nikawa naingia pale internet service then naandika JAMIIFORUMS inasearch gugo naiona inaletwa pale naingia nasoma stry za akina gentamycine na akina deep pond japo naona siku hizi haandiki posts nikawa nasoma kama posts 4 hivi kisimu kimeisha chaji hapo mpka kesho mkuu 😂😂😂😂
Alafu zile simu zinaingia hadi facebook, mimi nilikuwa nasoma kwenye tekno T558 ya mzee natumia opera mini, nadownload na zile Jar games kama mission impossible III, gangster 5, splinter cell 4 double agent, Maya, zuma, rambo, MotoGP, real football, nimecheza sana nikiwa std 7 mpaka form two fundi simu aliuza simu yangu nilikuwa naipenda sana 😭
 
Alafu zile simu zinaingia hadi facebook, mimi nilikuwa nasoma kwenye tekno T558 ya mzee natumia opera mini, nadownload na zile Jar games kama mission impossible III, gangster 5, splinter cell 4 double agent, Maya, zuma, rambo, MotoGP, real football, nimecheza sana nikiwa std 7 mpaka form two fundi simu aliuza simu yangu nilikuwa naipenda sana 😭
Daah mkuu kumbe unazijua hizo java games 😂😂😂😂
 
M
Alafu zile simu zinaingia hadi facebook, mimi nilikuwa nasoma kwenye tekno T558 ya mzee natumia opera mini, nadownload na zile Jar games kama mission impossible III, gangster 5, splinter cell 4 double agent, Maya, zuma, rambo, MotoGP, real football, nimecheza sana nikiwa std 7 mpaka form two fundi simu aliuza simu yangu nilikuwa naipenda sana 😭
Mimi nacheza MpK leo assassins creed games kwenye hii simu
 
Ukishadownload j2me. Loader unaiacha ifanye install then unaingia dedomil. Net unasearch gemu ulitakalo likija basi unadownload screen size ya 240*340 basi ukiwa umewasha data unalinstall kupitia hiyo app mchezo kwishaaa
 
Sema unaingia play store
afu unaandika j2me loader
afu unaidanlodi hiyo app
unaingia pl

Screenshot_20240914-014439.jpg


Tayari mkuu 😂
 
Ukishadownload j2me. Loader unaiacha ifanye install then unaingia dedomil. Net unasearch gemu ulitakalo likija basi unadownload screen size ya 240*340 basi ukiwa umewasha data unalinstall kupitia hiyo app mchezo kwishaaa
Asee umenikumbusha mbali sana, sema hiyo dedomil ndo naiskia leo, nilizoeaga Waptrick lakini siku hizi inaleta maruerie
 
Back
Top Bottom