Tupia hapa maneno mazuri ya kumwambia umpendae

Lakini utakuta mdada anamcheat hadi poet kama huyu, watu hawajali hadi feelings za persona.
 
Maneno Matamu #3


Nimeuambia MOYO nikuone wewe pekee kila unaposukuma Damu.

Kwa nini nisiwe na kiherehere unaponijia akilini mwangu.

Mpenz sitaki anambie mwingine jinsi gani nikupende,Nimejiwekea sheria sitokuacha uende.

Njoo unikande....Maumivu taratibu na mtima uutibu.
 
Ngoja na mimi nimtengenezee shairi FaizaFoxy ila sitaki comment za kijinga kwenye shairi langu

To FaizaFoxy , With Love
In the quiet whispers of the dawn's first light,
I find the echoes of our hearts entwined,
In every star that glimmers through the night,
I see the love we’ve carved, forever signed.

FaizaFoxy, you are the melody I hum,
A song that lingers in the tender air,
In every beat, in every breath, you come,
A presence warm, a touch beyond compare.

Through seasons changed and days that swiftly pass,
Our love has danced through storms and calm, serene,
In every moment, like fine, fragile glass,
We’ve built a world where only we have been.

Your laughter is a sunbeam’s golden trace,
Your smile, a beacon lighting up the dark,
In every gaze, in every soft embrace,
I find the spark that makes my spirit spark.

So here’s to us, to every shared delight,
To every dream we’ve woven side by side,
In Faiza’s name, our love shines ever bright,
A boundless sea, an everlasting tide.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…