Tupia jina la mwalimu aliyekuwa mnoko shuleni/chuoni kwenu

Tupia jina la mwalimu aliyekuwa mnoko shuleni/chuoni kwenu

Dr. Mwaijande mzumbe Dcc ni balaaa, alinikamatia almost nusu ya class kny public policy huyu jamaa hafai hata kwa bure
 
wa ngaleku primary school huyu anaitwa malamsha ni chapombe mbaya kwa umarufu wake wa kipigo aliitwa 'sukuma dawati' sasa akitaka kukupa kipondo anakwambia ingiza kichwa kwenye dawati by then jiwe mgongoni sasa kinachofuata stiki mpaka unahisi huna makalio
 
mwalimu sapula. sawala primary
na baiskeli yake ya sasa mtanikoma unoko
 
Shule ya msingi mengeni kuna mwalimu alikuwa ana itwa kiwoli a.k.a komredi kipepe
 
Shule ya msingi mengeni kuna mwalimu alikuwa ana itwa kiwoli a.k.a komredi kipepe

Hahahahahahah.....eti Komredi Kipepe--huyu, bila shaka, alikuwa mtata kuliko maelezo!
 
wa ngaleku primary school huyu anaitwa malamsha ni chapombe mbaya kwa umarufu wake wa kipigo aliitwa 'sukuma dawati' sasa akitaka kukupa kipondo anakwambia ingiza kichwa kwenye dawati by then jiwe mgongoni sasa kinachofuata stiki mpaka unahisi huna makalio

Hahahahahaha!....huyu alikuwa DIKTETA si mchezo!
 
dah aisee mnela mwana alikuwa kiboko,nakumbuka form one yangu nilitega paredi la asubuhi,nimetulia zangu azimio cell c,nikawa nacheki darini nawaambia masela hapa nikimsikia mnela napanda palee,ila namaliza tu mnela yuko mlangoni,daah nilichimba visiki wiki nzima karibu na masandube kule

Hahahaha! Mkuu, inaonekana hata wewe ulikuwa mtundu balaa--hao walimu wanoko kwa kweli ulikuwa ukiwapa wakati mgumu sana. Kama vile nakuona jinsi ulivyokuwa ukichumbua hivyo visiki. Umenikumbusha mbali-- hata mimi wakati nikiwa Sekondari ya Nyansincha niliwahi kupewa adhabu ya kuchimba siki moja kubwa sana na mwalimu Elias Nyangi (alikuwa mwalimu wa Bible Knowledge).
 
Kinondoni Secondary School alikuwepo Mwalimu Shariff miaka hiyo. Sina hakika kama bado yupo. Huyu kama kungekuwa na mashindano ya unoko naona angenyakua kombe. Lakini pia JKT kulikuwa na maafande wanoko enzi hizo. Nakumbuka wakati nimepitia Mgulani JKT (831 JK) alikuwepo Meja Njogoro, ambaye alikuwa ni naibu kamanda wa kikosi (second in command au 2IC). Huyu alikuwa akikutana na wewe smart area lazima akutoe kasoro na kukupa adhabu ya kuruka kichura au kukata michongoma.
 
Kili boys second tulikuwa na ticha mmoja akiitwa kichefuchefu alikuwa mnoko sana.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Primary- Mwalimu Walisimba, mnoko huyu balaa
O-level- Kilawa B., huyu ni aibu
A-level- Mama Kitembe, Man Shida na Kihongosi, hawa dunia ilikua salama bila uwepo wao,
Chuo- Maseminar leader karibu wote wakiongozwa na Sabato Nyamsenda, Prof. Nyirabu alibana nusu nicarry.


Mama kitembe???,,
Bagabeach high school
 
Back
Top Bottom