Gogo la choo
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 708
- 292
Israel nkongo mujuni tambaza high school!
Zuberi Hamisi aka Zediii.....Mbomayi Kati Primary School. Alikua anachapa km vile anampiga punda!
Mwalimu Msemakweli Milambo High school aka Shule ya wanaume miaka ya 80 !
wa ngaleku primary school huyu anaitwa malamsha ni chapombe mbaya kwa umarufu wake wa kipigo aliitwa 'sukuma dawati' sasa akitaka kukupa kipondo anakwambia ingiza kichwa kwenye dawati by then jiwe mgongoni sasa kinachofuata stiki mpaka unahisi huna makalio
dah aisee mnela mwana alikuwa kiboko,nakumbuka form one yangu nilitega paredi la asubuhi,nimetulia zangu azimio cell c,nikawa nacheki darini nawaambia masela hapa nikimsikia mnela napanda palee,ila namaliza tu mnela yuko mlangoni,daah nilichimba visiki wiki nzima karibu na masandube kule
Primary- Mwalimu Walisimba, mnoko huyu balaa
O-level- Kilawa B., huyu ni aibu
A-level- Mama Kitembe, Man Shida na Kihongosi, hawa dunia ilikua salama bila uwepo wao,
Chuo- Maseminar leader karibu wote wakiongozwa na Sabato Nyamsenda, Prof. Nyirabu alibana nusu nicarry.