teddy bear
Member
- Apr 24, 2014
- 8
- 3
Okonkwo wa kibasila alikuwa noma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okonkwo wa kibasila alikuwa noma
Mwalimu Gamba wa Tarime Sec
Mr. Kiddu Emmanuel...daah au Mr. Mkandawire..hatariiii
musoma tech(alliance) kulikuwa na mwl.mikomangwa alikuwa ni noma.. lakini alikomeshwa baada kupigwa mimba mabinti zake wawili
Morega Mongate a.k.a DUDE,alikuwa second muster enzi hzo Mara sec huko musoma mara! Sa hv yupo ndanda sec mtwara.nahisi kwa shule zilizokuwa na walimu wanoko kwa tanzania nzima huyu jamaa bdo angekuwa kiranja wao.toka nipo pale 2004 up to 2007 wanafunzi walisha fanya kila mbinu kama migomo kila baada ya miez kadhaa kwa miaka yote,kumvizia kumua,kumpiga mawe,lakini watukumuweza!.jamaa kama komando kipensi
Jamani naona huyu Okwonko wa Kibasila amepata kura nyingi. Alikuwa noumer sana ati? Unoko wake ulikuwaje vile? Bila shaka huyu atakuwa mwalimu wa English literature. Au sio?