Tupia jina la mwalimu aliyekuwa mnoko shuleni/chuoni kwenu

Tupia jina la mwalimu aliyekuwa mnoko shuleni/chuoni kwenu

Mwendi tiluganilwa mwl wa math bwabuki sec balaa sana mkelewe huyo. Kashaija richard mwl wa geografia bwabuki sec noma hiyo wadau ! Wakinijua tu wataniombea repeat/supp ili wankomoe. Ila nawashukuru wamenfikisha parefu.
 
mwalimu abdu wa hesabu keko magurumbasi primary school
 
Mr. Kiddu Emmanuel...daah au Mr. Mkandawire..hatariiii

Hee, kumbe na Mkandawile (yule mwalimu maarufu wa tuition ,Dar) naye alikuwa mnoko? Jamani acheni utani....mwalimu anayekata shule vile anapata wapi muda wa kufanya unoko? Au huyu ni Mkandawile mwingine?
 
musoma tech(alliance) kulikuwa na mwl.mikomangwa alikuwa ni noma.. lakini alikomeshwa baada kupigwa mimba mabinti zake wawili

Hahahahahaha....alikomaje! Kumbe utemi wake ulikuwa kwa wanafunzi tu, akifika nyumbani anakuwa mdogo kama piriton?
 
Jamani naona huyu Okwonko wa Kibasila amepata kura nyingi. Alikuwa noumer sana ati? Unoko wake ulikuwaje vile? Bila shaka huyu atakuwa mwalimu wa English literature. Au sio?
 
Mwalimu Mgimwa--Mkwawa High School. Huyu mwalimu alikuwa discipline master. Ni kimwalimu fulani kimbilikimo hivi--kifupifupi. Lakini hiyo shughuli yake ilikuwa baraaaa!
Basi siku moja, kiMgimwa na na Mwalimu mmoja wa Maths anaitwa Mwaipaja, akaamua kuzama eneo moja linaitwa Makanyagio--hapa ndipo wanafunzi watoro walipokuwa wakienda kujificha wakinywa pombe moja ya Kihehe inaitwa ULANZI.

Basi siku hiyo Mgimwa na swahiba wake Mwaipaja (huyu naye alikuwa mnoko sana) wakaamua kuzama huko Mkanyagio na kuwaibua hao 'wahalifu' wakinywa ulanzi. Wakakamatwa wazima wazima, na kuswagwa kama kondoo hadi assembly ground. Walichapwaje!!!!!!!!!!!!!! Walichapwa mpaka wakajuta kusoma shule. Chezea Mgimwa wewe!
 
Kombe aka makamba jeki kibohehe duh si utani viboko saba hapohapo bila kusogea pembeni
 
Morega Mongate a.k.a DUDE,alikuwa second muster enzi hzo Mara sec huko musoma mara! Sa hv yupo ndanda sec mtwara.nahisi kwa shule zilizokuwa na walimu wanoko kwa tanzania nzima huyu jamaa bdo angekuwa kiranja wao.toka nipo pale 2004 up to 2007 wanafunzi walisha fanya kila mbinu kama migomo kila baada ya miez kadhaa kwa miaka yote,kumvizia kumua,kumpiga mawe,lakini watukumuweza!.jamaa kama komando kipensi
 
Morega Mongate a.k.a DUDE,alikuwa second muster enzi hzo Mara sec huko musoma mara! Sa hv yupo ndanda sec mtwara.nahisi kwa shule zilizokuwa na walimu wanoko kwa tanzania nzima huyu jamaa bdo angekuwa kiranja wao.toka nipo pale 2004 up to 2007 wanafunzi walisha fanya kila mbinu kama migomo kila baada ya miez kadhaa kwa miaka yote,kumvizia kumua,kumpiga mawe,lakini watukumuweza!.jamaa kama komando kipensi

Huyu Morega Mongate nilimwacha pale Mara Sec. Aisee kama ulivyosema alikua mnoko kupindukia. Kwao ni maeneo ya njiapanda ya kwenda mwisenge na mjini
 
Jamani naona huyu Okwonko wa Kibasila amepata kura nyingi. Alikuwa noumer sana ati? Unoko wake ulikuwaje vile? Bila shaka huyu atakuwa mwalimu wa English literature. Au sio?

we kuna mtu alikua anaitwa wajadi miaka ya tisini jitegemee kwanza alikus anakula bange then ndo anaingia kuchapa na mwenzake anaitwa bashaka cjui yupo wapi sasa. cku moja walitupigisha kwata mpk unabingirita chn tukachafuks kesho tukaja na nguo hzo hzo
 
Back
Top Bottom