Meljons
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 3,105
- 1,406
We inaonekana ulikuwa mwana Agrey au makongoro west
magembe west
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We inaonekana ulikuwa mwana Agrey au makongoro west
mikoroti wa mapinduzi primary, unakunja saba unakula bakora. mayo - udsm.
mwaipaja ndiye yule alikuwa mwanariadha wa makongoro west?
Mwanza sec kulikuwa na ki discipline master hicho pambaffff kabisa
kilikuwa kinanikera yani kuwa discipline anajiona kama vile afisa elimu
namchukia hadi kesho alikuwa na unoko wa kifamba sana
anaitwa mkumbo
Hee, kumbe na Mkandawile (yule mwalimu maarufu wa tuition ,Dar) naye alikuwa mnoko? Jamani acheni utani....mwalimu anayekata shule vile anapata wapi muda wa kufanya unoko? Au huyu ni Mkandawile mwingine?
Morega Mongate a.k.a DUDE,alikuwa second muster enzi hzo Mara sec huko musoma mara! Sa hv yupo ndanda sec mtwara.nahisi kwa shule zilizokuwa na walimu wanoko kwa tanzania nzima huyu jamaa bdo angekuwa kiranja wao.toka nipo pale 2004 up to 2007 wanafunzi walisha fanya kila mbinu kama migomo kila baada ya miez kadhaa kwa miaka yote,kumvizia kumua,kumpiga mawe,lakini watukumuweza!.jamaa kama komando kipensi
Kuna siku nilikutana nacho chuo eti kinanitabasamia mie niliweka wa mbuzi kama sikjuikile kijamaa kijinga sana kimtu kifupi afu kinakera mbaya bora kiliienda kusoma..kilikua kinaboa
Julius Nyerere - Pugu Sec enzi hizo ahhh noumer
Kuna siku nilikutana nacho chuo eti kinanitabasamia mie niliweka wa mbuzi kama sikjui
kjinga sana....
Benard Ngozye Azania
Morega Mongate a.k.a DUDE,alikuwa second muster enzi hzo Mara sec huko musoma mara! Sa hv yupo ndanda sec mtwara.nahisi kwa shule zilizokuwa na walimu wanoko kwa tanzania nzima huyu jamaa bdo angekuwa kiranja wao.toka nipo pale 2004 up to 2007 wanafunzi walisha fanya kila mbinu kama migomo kila baada ya miez kadhaa kwa miaka yote,kumvizia kumua,kumpiga mawe,lakini watukumuweza!.jamaa kama komando kipensi
Huyu Morega Mongate nilimwacha pale Mara Sec. Aisee kama ulivyosema alikua mnoko kupindukia. Kwao ni maeneo ya njiapanda ya kwenda mwisenge na mjini
Dah!acha kabisa, mongate ni mkosi,nimezinguana nae sana,sana,nadhani kati ya wanafunzi ambao hatawasahau nimo. Ila siku hizi ni mshkaji wangu,nishakutana nae hapa dar zaidi ya mara 3 hadi akanipa namba yake ya sim akaniambia yuko huko kusini. MOREGA MONGATE.