Sahihi kabisa mkuu sijui kama ile nidhamu bado wameidumisha mpaka sasa au la ila enzi zetu ilikuwa nomaHakuna shule yenye walimu wakali kama jitegemee wakikushindwa wanakusakizia wanajeshi ambao ndio kama walezi na wenye shule. Wengi mmeongea lakini hakuna shule inayogusa pale kwa walimu na walezi wakali.
mzumbe high school ,kulikuwana mwalimu wibonire, alikuwa mzuri sana kufundisha solo la physics kidato cha tano na sitaKatika shule/chuo hakosekani mwalimu msumbufu na ambaye huwafuatilia sana wanafunzi hata ktk mambo madogo madogo na kuwapa adhabu za ajabu ajabu.
Leo nataka tuwakumbuke walimu hawa pamoja na kujikumbusha vituko walivyowahi kuvifanya.
Mimi shuleni kwetu Mara Sekondari kulikuwa na mwalimu mmoja aliyeitwa Jigge. Basi siku moja kuna wanafunzi walitoroka kwenda mjini bila ruhusa. Na kibaya zaidi, walipokuwa huko mjini wakafanya fujo na kuharibu mali za wananchi.
Taarifa zao zikafika shuleni. Ilikuwa jioni na kiza kilikuwa kimeanza kukolea. Mwalimu Jigge akapiga kengere. Wanafunzi wote tuliokuwepo shuleni tukakusanyika bwaloni na akaanza kuchuka roll call.
Ili kumkomesha mwalimu huyu, pamoja na kuwanusuru wale wanafunzi 'wahalifu' waliokuwa wamefanya tukio mjini, wanafunzi wakapanga kuzima umeme main switch na kumpopoa kwa mawe. Ghafla tu, umeme ulipozimika, mwalimu alichomoka kama mshale na kutokomea kizani. Wanafunzi walimtupia mawe lakini, kwa ile speed aliyochomoka, hakuna jiwe lililompata. Ana bahati sana.
Alipiga bakora mpaka leo nina kovu lake mkononi aise[emoji125] [emoji125] [emoji125]Ndyamkama yule ticha mwache tu ukiingia kumi na nane zake umeisha, halafu kuna Afande anaitwa Ismail. Huyo akikushika kantini kama ulichelewesha muda wa kurudi basi unapigwa bakora A maana kisha unaambiwa uite mzazi. Mzazi akija anaambiwa mwanao unampa hela nyingi za kutumia hadi anahonga madem ndiyo maana anachelewa kutoka breki.
Hahahahaha! Huyo mwalimu ilikuwa shiiiida...yaani siku yoyote iliyopita yeye anajua inaitwa YESTERDAY? Kaaaaazi kwelikweli!Kuna mwalimu mmoja enzi za olevel yeye alikua hajui kiingereza ,ukiwa na kesi yoyote ile kwake ukimpiga ngeli atakusamehe,sasa kna siku kaingia class akasema wote tusimame juu,anauliza swali ndo una kaa,akaniuliza hvi "(kataja jina langu) what we learn yesterday ?" Akimaanisha alhamis iliyopita tulijifunza nn ? ,hii ilikua j3 na mara ya mwisho aliingia class alhamis[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
siyo alikuwa Kitila....Mwanza sec kulikuwa na ki discipline master hicho pambaffff kabisa
kilikuwa kinanikera yani kuwa discipline anajiona kama vile afisa elimu
namchukia hadi kesho alikuwa na unoko wa kifamba sana
anaitwa mkumbo
Hahaaa mwalimu Kitoko, umenichekesha kweli. Nilikuwa naishi mitaa ya jirani na TRM Sec enzi hizo haha, sifa zake zilikuwa zinavuma lolmwl donge mwenge high xul,mwl kitoko tarime high xul,mwl malilika korogwe primary xul kahama,mwl doto old shy
Donge na wanoko wenzie kina muna,huyo Mr.kayombo a.k.a horsepower alikua na mkwara balaa ila kuna cku alitolewa nishai na "kizibo" alinikoma [emoji16][emoji16][emoji16]hapo mwenge huyo donge alikuwa pimbi sana hasa ikiwa zamu yake kumi na moja yupo mabwenini mkakimbie mchakamchaka na kuna f.a.l.a. mwingine alikuwa anajiita horsepower
Donge ganja zilikua zinampeleka race,kuna mwl.Bernard a.ka nyoronyoro alikua mkuda pia Mr.Ole saitabao a.k.a mtaalam usiombe uingie anga zake (Mwenge Sec)mwl donge mwenge high xul,mwl kitoko tarime high xul,mwl malilika korogwe primary xul kahama,mwl doto old shy
Mama nkya jangwani secondary
Ni mganda huyu??Mr. Kiddu Emmanuel...daah au Mr. Mkandawire..hatariiii