Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Hahahahhahahahah umenichekesha sana..... "Mnanuka ulalo (in kimario's voice" hahahhababababab baby nadhani tumemaliza pamoja. Si umesoma pale O'level????
nimesoma advance labda umesoma na akina Irene Msuya na Angel ha ha kwa mama kimaryio pametisha unamkumbuka noma la head mama na Urasa kwenye kuangalia tv katuruhusu badae alitubutua mateke kupta mlangoni sasa nimekumbuka mbali