Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Hahahahhahahahah umenichekesha sana..... "Mnanuka ulalo (in kimario's voice" hahahhababababab baby nadhani tumemaliza pamoja. Si umesoma pale O'level????
nimesoma advance labda umesoma na akina Irene Msuya na Angel ha ha kwa mama kimaryio pametisha unamkumbuka noma la head mama na Urasa kwenye kuangalia tv katuruhusu badae alitubutua mateke kupta mlangoni sasa nimekumbuka mbali
Hahahahhaha yeah....nilikua na kina Irene Msuya enzi hizo....Dah Urassa hahahhahahahahah jamani unanikumbusha mbali
yani Irene Msuya ilikuwa full kutuchekesha darasani yan Urrasa nikimkumbuka alipga mateke katuambia tukae kwenye vle vidude vya library nikikumbuka maisha yale
Hahahahahahhaha uuuh.... its funny looking back
Na Mwenzake Ayoub Mchomeaaaaaaah aaaaaaahaaaaaa ... kuna sku almkmbza mwanafunz mpaka barabaran kutokea shulen. sku nyngne mwanafunz alkmbzwa kuzunguka shule yote. alpoona mwalmu bado yupo akapanda ukuta na kutokea muhmbl
Kadege michael-udsm
Kadege michael-udsm
Hahhahahahah nlishagawahi kukataa kuchapwa...tulikua hatujadeki dorm...kachapa dorm zima kasoro mimi nikadindisha.....alichukiaje....akanipeleka kwa wale wanoko kina Sheshui na Kimario...nkajifanya nipo period siwezi kuchapwa matakoin
Wanaomjua Alemson Kaiza au (Njuguti) Rulenge Secondary school. Naendelea kufanya maombi ili nije nimsamehe kabla sijafa. Nashindwa kuisahau siku aliponitandika viboko 25 kwa siku moja day and night bila kosa. Hata namkumbuka marehemu Headmaster Niwa Mtongole aliyeniepusha na balaa hilo Mungu amlaze mahali pema peponi. Mwalimu huyo alikitaka kunisaspend. Ni miaka kama Ishirini lakini haifutiki akilini mwangu. Hata hivyo nikibahatika kukutana naye naweza kumsamehe baada ya kumkumbusha. Naamini hakumbuki kwa sababu alikuwa anatembeza kiboko ile mbaya kwa watu wengi sana.
nimesoma advance labda umesoma na akina Irene Msuya na Angel ha ha kwa mama kimaryio pametisha unamkumbuka noma la head mama na Urasa kwenye kuangalia tv katuruhusu badae alitubutua mateke kupta mlangoni sasa nimekumbuka mbali
Hii ilikuwa enzi za mwalimu Peter Makuri?