Tupia member ambaye yuko banned kwa sasa

Yeah, unachosema ni kweli mkuu.

Ndio mana naona threads nyingine huwa na views nyingi kuliko hata comments.

I love JF.
Memba wengi wanaview Tu, then wanasepa

Mfano jukwaa la siasa kama Una moyo mwepesi utagombana na kila memba Kwa kweli
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]


[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] Huku hapanifai huku
Huku ndio kwenyewe
 
Naomba niseme machache,
Jf ni sehemu ambayo wanapita watu wengi na wa kila aina kujifunza na kupata habari. Tujitahidi kuelemisha hii jamii ili kupata ukombozi wa jamii ya mpya. Tuzishinde hisia zetu hasa kwenye makwazo na kuonyeshana umwamba bila sababu za msingi.
Nina mwaka wa 10 hapa ndani sijawai "kuchomwa"
Shukrani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…