Tupia member ambaye yuko banned kwa sasa

Tupia member ambaye yuko banned kwa sasa

Naamini nina ban, maana kuna majukwaa nikipeleka pua yangu.. nakutana na bango kuubwa kuwa sina permission

Hahahah, jukwaa la kikubwa sio wote wanaruhusiwa mkuu.

Peleka ombi kwa Invisible akufungulie utaweza kuingia mkuu.

Karibu Sana.
 
Kuna walioweka picha za nifah kwenye uzi flan wakala ban wapo waliokua wanatukana yote yamesababishwa na forex
Salaaaaaaam.

Well, tumekuwa tukiwasiliana na wadau wenzetu mbalimbali humu jamvini na pia hata kutaniana kwa hapa na pale ili mradi masaa yapite tu.

Kuna muda utani unazidi hasira zinapanda na jazba zinaongezeka na hatimaye member kutoa kauli zinazosababisha kuwa Banned.

Sio mbaya tukijua members wenzetu ambao wako Banned na hata sababu iliyopelekea kupigwa BAN ili tujue wanastahili au wameonewa ili nasi tusipatwe na BAN kutofanya kama walichofanya.

Kwa kuanza naanza na

Jestkilla na Matola.

Sjui ni nini kilisababisha wakapigwa BAN hawa bandugu.
 
Ndio nae pia

Hakuna aliyekereka kwa bidada kuajiriwa TMT bali kuna comments zake za kudiss single momz (na kufananisha watoto wao na laana na uzinzi)ziliwakera baadhi ya wadada na pia alikua na bifu na baadhi ya watu so wakatumia chance hio kumuweka hadharan wote wamfahamu.
Naskia mzee wa USA babe mmoja wao ati. Si wamuache tu bidada apige kazi TMT jameni. Khaaaa.
 
Back
Top Bottom